Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Wazee toeni somo vizuri bas kuhusu hii chia seeds na wengi tunaweza kuwa interested na kufanya hii biashara
 
isije ikawa kama zile mambo za mayai ya kware....
 
Option 1
Huu ni wakati wa likizo na vijana wengi wapo mtaani, tumia nafasi hii kuwavuta kwako. Unaweza kwenda kununua Toys za mtumba laki tatu, kwenye laki inayobakia nunulia box za kufungia zawadi na gift papers. Hakikisha unabakiza hela ya kutosha kununua betri na kumlipa fundi wa kurepair zilizoharibika. Hizi ukiuza hukosi milioni mbili, sema utatumia miezi miwili kuuza na biashara itasimama tena January na Feb
Opt 2
Tumia hiyo hela kulipia uwanja wa shule hapo mtaani kwenu, tafuta wadada wawili na wakaka wawili wenye njaa ya mafanikio kama wewe. Nifuate DM tuangalie uwezekano wa kuweka vifaa vya watoto kuchezea kwenye huo uwanja, tuna vitu vya kisasa kuanzia jumping castles, swings, merry ground, climbers, hadi inflatable pools. Hapa unaweza kufanya kwa muda mfupi tena hutokuwa na mamlaka maana ni biashara yetu wewe utakuwa na asilimia zako kadhaa kwa kutupatia eneo na wasaidizi.
 
Wazee toeni somo vizuri bas kuhusu hii chia seeds na wengi tunaweza kuwa interested na kufanya hii biashara
Kitu hakifahamiki lkn unaambiwa kina faida kubwa.. Hao wateja utawapataje?
 
Uza glass ptotecta na makava ya simu
Tena uzitembeze mwenyewe hadi ukue
1. Glass za kawaida 800 utauza 3000 adi 5000
2. Glass za 3d na 5d 4000 utauza 10000 na 15000
3. Makava ya kike na kiume clasic 4000 utauza 10000 na 15000


Nina Tsh 400,000/= (laki nne) nahitaji ushauri nifanye biashara gani ambayo inaendana na pesa hii ili nipate faida nzuri. Sio lazima iwe biashara, inaweza ikawa kitu kingine chochote kile cha kunipatia pesa (faida).
Nipo Ubungo Msewe, Dar Es Salaam
 
Mimi ni mwanachuo wa UDOM kinachopatikana Dodoma. Mimi pia ni mtoto wa mkulima hivyo namshukuru Mungu nimepata mkopo. Sasa wakuu kwa pesa ya mkopo ndani ya miezi miwili Mimi nimepiga tathmini naona laki 2 inanitosha kwa matumizi sasa nilikuwa nawaza January nikipata ile pesa ya chakula nianzishe mradi wa kuniingizia kipato ampapo ntakuwa na laki 3, ila nin a laki nyingine hivo jumla ntakuwa na mtaji wa laki NNE. Jee ni biashara gani ndogo ambayo kwa huo mtaji naweza anzisha na kumuweka mtu angalau kunizalishia hata 5000-10000 per day. Ushauri wenu unahitajika kusudi nikimaliza chuo niwe na pakuanzia wakuu. Natanguliza shukrani kwenu wote.
 
Tuwasiliane whatsap nikupe mchongo 0622 296251
 
Shambani wapi Mkuu
 
jihadhari,fatilia mjadala kwa makini utagundua kuna multiple ID zinajaribu kuwavuta watu na kuwachota akili....usije ukaingia kichwa kichwa.just buy your time to research....unakumbuka mayai ya kware?
Nipe namba yako ya simu tuwasiliane
 
Nunua balo la mitumba grade AA mwaga nje ya eneo unapoishi.....wanunuzi watazifuata wenyewe,within a week utakua umepata faida mara mbili ya mtaji.

NB: Nguo za kike(skirts na top) au watoto miaka 1_12 zinalipa zaidi.
sio rahisi kama unavyodhani unaweza kununua balo ikala kwako isee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…