Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
isije ikawa kama zile mambo za mayai ya kware....Mikoa ya Dar,Moro, Mwanza,Mbeya,Arusha na Moshi kote huko lishaanza kusambaa kwa kasi sana.Unasaga kwa blender au mashine yeyote halimradi huwe unga pata vijiko 2 vya chakula kutwa kwa kuchanganya na juice,chai,mchuzi au chakula plus matunda utapata matokeo ndani ya masaa 48.
shukrani mkuu, nitakutafuta pls0622 296251 .tuwasiliane
Kitu hakifahamiki lkn unaambiwa kina faida kubwa.. Hao wateja utawapataje?Wazee toeni somo vizuri bas kuhusu hii chia seeds na wengi tunaweza kuwa interested na kufanya hii biashara
Umewaza kama mimi mkuu!isije ikawa kama zile mambo za mayai ya kware....
Nina Tsh 400,000/= (laki nne) nahitaji ushauri nifanye biashara gani ambayo inaendana na pesa hii ili nipate faida nzuri. Sio lazima iwe biashara, inaweza ikawa kitu kingine chochote kile cha kunipatia pesa (faida).
Nipo Ubungo Msewe, Dar Es Salaam
Tuwasiliane whatsap nikupe mchongo 0622 296251Mimi ni mwanachuo wa UDOM kinachopatikana Dodoma. Mimi pia ni mtoto wa mkulima hivyo namshukuru Mungu nimepata mkopo. Sasa wakuu kwa pesa ya mkopo ndani ya miezi miwili Mimi nimepiga tathmini naona laki 2 inanitosha kwa matumizi sasa nilikuwa nawaza January nikipata ile pesa ya chakula nianzishe mradi wa kuniingizia kipato ampapo ntakuwa na laki 3, ila nin a laki nyingine hivo jumla ntakuwa na mtaji wa laki NNE. Jee ni biashara gani ndogo ambayo kwa huo mtaji naweza anzisha na kumuweka mtu angalau kunizalishia hata 5000-10000 per day. Ushauri wenu unahitajika kusudi nikimaliza chuo niwe na pakuanzia wakuu. Natanguliza shukrani kwenu wote.
sawa mkuuTuwasiliane whatsap nikupe mchongo 0622 296251
Shambani wapi Mkuu300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Nipe namba yako ya simu tuwasiliane
Ili upandishe CD4,ama?[emoji85][emoji85][emoji85]
Akhsanta![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]..umenijuza,Hahahaaa!! CD4 muhimu ati.
Alafu mwaka ndio umeisha ujue!!!
Nitakufanyia tsh 10,000 usafiri ni juu yangu.Ndugu wa Chia seeds naweza kupata kwa bei ya jumla kg10?
sio rahisi kama unavyodhani unaweza kununua balo ikala kwako isee..Nunua balo la mitumba grade AA mwaga nje ya eneo unapoishi.....wanunuzi watazifuata wenyewe,within a week utakua umepata faida mara mbili ya mtaji.
NB: Nguo za kike(skirts na top) au watoto miaka 1_12 zinalipa zaidi.