Ushawahi fanya hii kitu mkuuKanunue bello la mtumba uuze
ulianza na biashara gani?Nakumbuka mie niliaza 150,000/= fanya kitu unachokipenda.
ao dagaa wapo mkuu?Kama hutajali uwe distributor wa dagaa,ambao hawana nchanga na tayari wamepikwa na spices na chumvi na wamo ndani ya vifungashio.
Shukran
Asante mkuu je kwa mtaji wa laki 7 na 50 utatosha kulipia frame nakununua hizo bidhaaTafuta eneo lenye watu wengi , uza mitungi ya gesi Anza kuuza mitung midogo ya kilo6 , mtaji ukikua utauza na mitung mikubwa, onana na mawakala wakuu wa kampuni za gesi km oryx na mihan watakupa ushauri zaidi kuhusu hii biashara, kwa mtaji ulionao unatosha kabisa kuanza hii biashara
BachelorSema upo mkoa gani..umeoa/kuolewa Then tukupe chochote kitu maana kuna ushauri wa kumpa bachelor na mtu mwenye familia.
Nipo dar nipo singleSema upo mkoa gani..umeoa/kuolewa Then tukupe chochote kitu maana kuna ushauri wa kumpa bachelor na mtu mwenye familia.
Shukran mkuu asante sana ntalishughulikiaSijajua eneo unalotaka kufungua biashara frame zinakodishwa kwa shilling ngap, , lakini unaweza kuanza na mitung 15 midogo ya kilo6, ambayo utanunua shilling 45,000/ complete pamoja na vifaa vyake kwa wakala mkuu , we utauza kwa Bei yoyote utakayoitaka inategemea na sehemu uliyopo, ukichukua 45,000/= ukizidisha kwa 15 (idad ya mitung) itakucost 675,000/=
Unaweza ukaanza kwa kuuza mitung ya kampuni mbili tofaut mfano mihani ukanunua mitungi 7 na oryx ukanunua mitungi 8 , unaanza biashara, ,
Anzisha biashara ya dagaa wakavu au wa kukaangwa hutojutia, me ndo biashara yangu nauza jumla na leja leja ukihitaji nambienimekaa na kujishauri kuhusu swala la ujasiriamali nimewaza sana lakini nimeshindwa pata jibu ni biashara gani naweza fanya nanina mtaji wa laki 5
Me ninao hao dagaaao dagaa wapo mkuu?
Hao dagaa unanunulia wap, shingap na faida yake ikoje?Anzisha biashara ya dagaa wakavu au wa kukaangwa hutojutia, me ndo biashara yangu nauza jumla na leja leja ukihitaji nambie
mpaka leo bei ipo hivyo kizimba kukodiNunua mashine ya cherehani 150,000
Nenda machinga complex kodisha kizimba kwa mwezi 20,000
Anza kushona nguo kwa pesa zilizobakia kisha nenda ukauze madukani kariakoo na posta na mnazi mmoja
NB: Ubunifu ni muhimu
ungesema eneo ulilipo ingekua atleast nafuu kwa wanaokushauri ila pia napenda kushauri wam JF kua sio lazma uanze biashara ukiwa peke yako unaweza mtafuta mtu mnaeendana ktk mawazo mkachanga na kukuza mtaji halafu mkaanza kufanya harakat pamojaWapendwa poleni na majukumu,
Ninaomba mnisaidie mawazo kuhusu hili wazo langu
Nina cash shilingi 500,000 na sijui nifanyie biashara gani cause sijawahi kuwa na biashara ila ninaweza kuendesha biashara
Aksanteni