Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Nina laki mbili,nataka kufanya biashara ya mtaji mdogo usiozidi ela hiyo kwa kuanzia,isiwe ya usimamizi wa moja kwa moja.Naombeni mawazo yenu.
Nashukuru,ni idea mpya kabisa hii,ngoja niifanyie kazi!
!
Pasipo Kuuliza Zaidi. Chukua Hiyo Hela Nenda Nayo Kwenye Kijiwe Ah Chama Cha Bodaboda Wanakuwaga Na Shida Na Mrejesho Na imejensi Mbalimbali. Tengeneza Mfumo Mzuri Uwe Unakopesha Kati Ya 5 000 Mpaka 15 000 Kwa Muda Wa Wiki Moja. Weka Riba Rafiki
KiumeTambulisha Jinsia yako
Umewahi kuona watu jioni pale stand?
Mkuu mi nafkiria kufanya hii biashara, hivi balo la nguo za watoto ni kiasi gani?nilienda pale nikakutana na madalali nikaondoka,pili je hawabambiki na malonya hata ukichukua namba 1?Hakuna biashara isiyo na changamoto,nina uzoefu wa kutosha kwenye hii biashara na si risk kama zingine.....haikupi mawazo kwani haiozi isipokuwa inahitaji juhudi na ushawishi tu.
Hahaha uzi wako umeunganishwaHabari Ndugu zangu,
Mimi nimekuwa nafanya biashara tofauti tofauti saana na Nashukuru Mungu nipo katika lavel ya kati ya maisha sikosi ninachihitaji hata kwa kuchelewa kidogo, nimekuwa nikitoa fursa kwa watu tofauti ili mradi tuongeze kipato cha maisha......
Naomba mtu anayejiamini kuwa ni mwaminifu (nitamfanyia uchunguzi wa kina) mwenye idea ya biasha za mtaji wa 500K - 1M aje hapa tupeane na tufanye biashara! unaweza pia kuni PM kama hutapenda kuweka jambo hili adharan
Fanya mojawapo ya:
1. Ingia tovuti ya benki kuu au
2. Kama utaelewa nitajieleza, ni hivi:
1.Fungua akaunti mbili, moja ya kawaida/akiba na nyingine ya T-Bills (baada ya kupata maelezo ya mawakala wa BoT ambao ni kama NMB,CRDB n.k. au nenda DSE) 3. Weka hela yako kwenye akaunti ya kawaida/akiba isipungue 500,000/-, subiri tangazo la mnada 4. Serikali (kupitia BoT) ikishatangaza kuuza bills zake (huwa ni online), wewe bid (yaani tangaza kuwa utanunua kwa kiasi fulani mf. 95/-) maana yake bill ile kwa kila 100/- utainunua kwa 95/-. Subiri kwa siku kadhaa ulizo 'bidia', say siku 35. Ukishinda huo mnada utajulishwa immediately na mzigo unaingia kwenye akaunti yako ya kawaida. Utakuwa umepata faida ya 5/-.Ukishindwa mnada huo unasubiri mwingine, unaendelea. Fedha yako 500,000/- ipo SALAMA. Ndivyo wanavyofanya wale jamaa wanaojua sana hesabu na biashara, wale wenye biashara zinazoendelea hata kama mmiliki anakufa,zinaendelea kwa sababu wanafanya kitu kinaitwa succession plan.
kumbe cheer seeds ni deal nzuri eehNimestuka maana kuna mahali nilinunua 30 elfu per kg.
mi nlikuwa nachukulia ize[emoji3]0622 296251