Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Habari zenu wakubwa wa humu mimi ni kijana wa miaka 20 nimejaribu kuja town (Mwanza) kupambana ila maisha ya hapa kidogo naona kama hayana mwelekeo nimeamua nirudi Kijijini Karagwe murshaka na kwa sasa nina laki mbili tuu naomba kwa anaefahamu hayo mazingira/ au kwa hata asiefahamu anipe wazo linaloweza niimarisha kidogo.
Wazo langu nililo liwaza ni niende nitengeneze banda la kuku ninunue kuku wa 150k baada ya kama miezi 6 nianze kuwa naleta kuku mjini na kuuza.
Mwenye mbinu /uchambuzi na msaada zaidi naomba mnipe mawazo.
Nitashukuru kwa michango ya mawazo yenu.
Habari mkuu, unaweza tupa mrejesho mpaka sasa.Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua.
But nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.
Dar sehemu ganiMMASAI OG FASHION SHOES
Tunauza simple slippers kali za kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana Dar es Salaam
Mikoani pia Tunatuma mpka ulipo
Wasiliana nasi call/txt/whatsap 0672904720
Karibuni sana.....
hahaaaa angefata huu ushauri wako saivi angekua na mil 2.1Arsenal ana odds 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana bwasheenilianza na 20k
na zote nikanunulia kanda ya Hamza Kalala pc20 - 'Tutabanana hapa hapa'
the rest is history
Laki na sitini hiyo?mabelo hayo yapo wapiMwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.
Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.
kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Ka-bet!Nina mtaji wa laki 7, hivi ni Biashara gani naweza kufanya ambayo itaniingizia faida kubwa kwa muda mfupi [emoji120][emoji120][emoji120]
Si jibu poaChonga kitanda na uoe tunawajua nyie huwa mnatusumbua sana na hzo bm zenu au tuma TIGO PESA nkuhfadhie mkuu
Wakati mwingine unaleta barakahapa kumbe kuhonga ndo kikwazo eeh?
Wewe unafanya hivyo?Kama uko DSM, nenda vijiji vya jirani katafute mayai ya kienyeji uuze.