yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Fanya biashara ya mkaa, tengeneza kibanda kisichozidi gharama 50,000/= Fata mkaa porini mwenyewe uje uuze mjini.
Usisahau nidhamu ya fedha.
Kuna jamaa tulikuwa tunashirikiana kulima bamia, nikampa zaidi ya Tsh 200,000 tangu 2019 mpaka leo jamàaa stori nyiiingi za kiswahili na pesa haijawahi kurudi.Itumie kwenye kilimo Cha bamia
Fanya biashara ya mkaa, tengeneza kibanda kisichozidi gharama 50,000/= Fata mkaa porini mwenyewe uje uuze mjini.
Usisahau nidhamu ya fedha.
Unanunua mbao kwenye nyumba zilizobomolewa hata bati unapata hukohuko.50,000??
Aiseee
Habarini za mihangaiko.
Ninahitaji kujua cha kufanya kwa ajili ya maendeleo kwa pesa tajwa apo juu.
Tafadhali nisaidieni.
Karibu PMNaomba nikopeshe Boss...??
Kaka mwenyewe apa na laki mbili mfuko wa shati sijui nifanyie nini?
jf saccos inafanyaje kazi mkuuDu kwa mtaji huo?ningeweza kusema ufungue shoe shine lakini hauta tosha, basi fanya hivi nenda JF saccos iweke hiyo hela ugenerate three time upate angalao laki 6 labda utaweza fanya kitu.
KwakweliMtu mwenye hela halafu hajui aifanyie nini,Huyo mtu hata ukimshauri hatofanya unachomshauri na kama akifanya,hatofanikisha lazima kifeli na atarudi kwako akwambie ulimuingiza "chakike"
mtu timamu mwenye nia ya biashara (ujasiriamali),Kabla hajashika hata senti 5 tayari ana plan za biashara hata 20 kichwani mwake yani kabla hajaishika hela tyr hela ashajua ataifanyia nn endapo akiipata,Ila hawa ndugu zangu wanao uliza "wafanyeje" kwenye
hela walizonazo asee hawa ushauri pekee unaowafaa nikuwashauri "hiyo hela wanunue nyama choma wale" au watafute mtu anaejua cha kuifanyia wampe aitumie,Hawa ni type ya kina Laizer au wale wazee wa kubet "hela imewafikia ki suprise"