SITTA MUSSA
Member
- Dec 3, 2021
- 8
- 1
Wapendwa ninaomba kupata wazo zuri la biashara kwa mtaji wa laki tano
Huku manyara wilaya ya Mbulu( Haydom) ningependa kuanzisha biashara huku vijijini ila bado sijapata wazo zuri la biashara
*Nimejaribu kufikiri ila nikaona kidole kimoja hakivunji chawa karibuni kwa maoni yenu
View attachment 2030439
sawa ndugu umefa nyavizuri kuomba ushauri .Je hapo kijijini kwenu unaona sasana watu wengi wanapenda kujishughulisa na nini..
Naona watu wanakula chips sema vbanda vingi sana huku alafu wanakula sana nyama choma
Utashauliwa na mtu yuko Dar ilihali wewe ndo unajua hapo Mbulu jamii inahitaji niniWapendwa ninaomba kupata wazo zuri la biashara kwa mtaji wa laki tano
Huku manyara wilaya ya Mbulu( Haydom) ningependa kuanzisha biashara huku vijijini ila bado sijapata wazo zuri la biashara
*Nimejaribu kufikiri ila nikaona kidole kimoja hakivunji chawa karibuni kwa maoni yenu
View attachment 2030439
Hahhaha na uo mchele aje nao umpikie tu apo apoaMkuu laki 2 akinunua madishi ya kupikia tu hela imeisha. labda mteja akuje na sahani yake mwenyewe
SanaUzi mzuri
MimiMwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.
Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.
kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Naomba msaada hapo kwenye nguo Belo nipo dar es salaam 0678797827Mwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.
Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.
kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Ngoja nimsaidie huyo ndugu....Mimi
Naomba msaada hapo kwenye nguo Belo nipo dar es salaam 0678797827
Ngoja nimsaidie huyo ndugu....
Belo zimepanda bei sahizi belo za nguo zunategemeana na quality ila kuanzia 250,000 kupanda unaoata belo la nguo nzuri kwa kg100.....
Kuna watu walisema zinapatikana mnazi mmoja, na kuna wengine walisema kariakoo kwa wachina wanabelo nzuri
Ila biashara hii sikuhizi, imekuwa na ushindani, so ili uwin soko uwe na nguo quality sana na uangalie walengwa wako ni watu gani na wanapenda nguo gani....
Skin jeans, brouse kali, koti jeans , korean koti [kwamikoa ya baridi], gauni kali za party [party dress] shati na suluari za officin
Hapo nimepanga kwa kufuatisha bidhaa zinazotoka sana age iwe kubwa kiasi, size za wanachuo kuliko wanafunzi wa sec ambao wengi hawawezi afford.
Ila angalizo; kununua belo kunaweza kukupa hasara kwani ni 50% 50% unaweza pata mzigo mzuri sana au mbaya sana, ila kuna wazoefu wanaangalia label [lebo] zinazowekwa kwa mabelo nje kila rangi ya label ya belo huwa inaakisi quality yake......maana kuna watu wanajulikana kwa uzuri wa kuwa na nguo nzuri pia unaweza tu toa tip kwa wanaokuuzia kuwa wakutafutie belo zuri
Ila kama huwezi pata mzoefu au mtu wa tip basi ji heri uchague nguo 1 1 sehemu za minada mikubwa dar ilala boma na kulikuwa na karume kuanzia saa 12 asubuh mabelo yanakatwa unachagua nguo nzuri kwa bei ndogo kwa laki 3 unaweza pata nguo hata 100+ kutegemea na uhitaji na nguo gani
hata me nataka kujuaMkuu naomba nielekeze pa kupatia Bello la kg 100 kuanzia 250,000
Mkuu sorry unaweza ukaongezea nyama kwenye hii biashara maana mim mwenyewe nlipanga mwaka huu nijiajiri na moja ya wazo la biashara ni hili la kuuza genge, So naomba unipe muongozo kdogo kwenye hii biashara...Uza genge tu. mtaji wa 200000 utakuja kunikushukuru
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Dah, huwa tunatofautiana sana, huu ujasiri wa kuuliza idea ya biashara baada ya kupata mtaji huwa mnaupata wapi wakuu, wengine plan zipo za miaka 10 mbele na kila hatua na strategies zake kufikia lengo kuu na hakuna pesa itakayoingia ikose pa kwenda au ndio ianze kutafuta pa kwenda.
Idea za bishara za ndoto zangu huwa naandika hatakama sina hata mia na nimeshindia uji ila siachi kuandika idea za biashara.
Mkuu hapa utapata idea nyingi, uza nguo na viatu vya kike, fungua genge la matunda na mbogamboga, tafuta computer used ufungue biashara ya kuweka nyimbo na movie, tafuta eneo zuri choma mishkaki na mengine pia
Tatizo huwa linakuja.
1. Utayari wako (moyo wako utaridhia na hiyo biashara kiasi kwamba hata ukipata hasara hutojilaumu?)
2. Uelewa wa kutosha kuhusu biashara husika (lazima kuna muda wa kutenga kupata dondoo muhimu za biashara husika na hapa usipotilia maanani lazima utakula hasara).
3. Pesa yako kweli ni ya mtaji au umekusanya na ukaamua iwe mtaji kwakuwa unaona inaweza kupotea tu bila kufanyia chochote cha maana? Hiyo pesa unaweza itunza mwezi mzima ukifanya research ya biashara utakayoipenda au ndiyo ile pesa ya matumizi ndani ikiisha huwezi lala njaa huku una laki 7 ndani ?? Ukipata emergency yoyote utakuwa mwepesi kuitoa hiyo pesa ?.
Najaribu tu kuonyesha namna gani ilivyo muhimu kuwa na mpango mzima kabla hata hujapata pesa ya kutekeleza mpango huo ili pesa ikiingia tu basi hushajua wapi inaenda. Pesa haikai mkuu.
Vuta subira ila jitahidi ufanye utafiti wa kutosha kuhusu biashara utakayoamua kuifanya kabla ya kuanza ili ukiingia ukubaliane na matokeo yoyote kiroho safi kabisa.