Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

sawa ndugu umefa nyavizuri kuomba ushauri .Je hapo kijijini kwenu unaona sasana watu wengi wanapenda kujishughulisa na nini..
 
Uzi umetulia kinoma, ngoja nkipata muda nije nipitie kwa undan zaid nahisi sitatoka mtupu…
 
Naona watu wanakula chips sema vbanda vingi sana huku alafu wanakula sana nyama choma

Choma Mbuzi unauza kwa nusu kg au kilo unasimika kwenye vijiti unachoma

Usiuze portions
 
Wapendwa ninaomba kupata wazo zuri la biashara kwa mtaji wa laki tano

Huku manyara wilaya ya Mbulu( Haydom) ningependa kuanzisha biashara huku vijijini ila bado sijapata wazo zuri la biashara

*Nimejaribu kufikiri ila nikaona kidole kimoja hakivunji chawa karibuni kwa maoni yenu
View attachment 2030439
Utashauliwa na mtu yuko Dar ilihali wewe ndo unajua hapo Mbulu jamii inahitaji nini
 
Mwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.

Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.

kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Mimi
Mwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.

Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.

kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Naomba msaada hapo kwenye nguo Belo nipo dar es salaam 0678797827
 
Mimi

Naomba msaada hapo kwenye nguo Belo nipo dar es salaam 0678797827
Ngoja nimsaidie huyo ndugu....

Belo zimepanda bei sahizi belo za nguo zunategemeana na quality ila kuanzia 250,000 kupanda unaoata belo la nguo nzuri kwa kg100.....

Kuna watu walisema zinapatikana mnazi mmoja, na kuna wengine walisema kariakoo kwa wachina wanabelo nzuri

Ila biashara hii sikuhizi, imekuwa na ushindani, so ili uwin soko uwe na nguo quality sana na uangalie walengwa wako ni watu gani na wanapenda nguo gani....

Skin jeans, brouse kali, koti jeans , korean koti [kwamikoa ya baridi], gauni kali za party [party dress] shati na suluari za officin

Hapo nimepanga kwa kufuatisha bidhaa zinazotoka sana age iwe kubwa kiasi, size za wanachuo kuliko wanafunzi wa sec ambao wengi hawawezi afford.

Ila angalizo; kununua belo kunaweza kukupa hasara kwani ni 50% 50% unaweza pata mzigo mzuri sana au mbaya sana, ila kuna wazoefu wanaangalia label [lebo] zinazowekwa kwa mabelo nje kila rangi ya label ya belo huwa inaakisi quality yake......maana kuna watu wanajulikana kwa uzuri wa kuwa na nguo nzuri pia unaweza tu toa tip kwa wanaokuuzia kuwa wakutafutie belo zuri

Ila kama huwezi pata mzoefu au mtu wa tip basi ji heri uchague nguo 1 1 sehemu za minada mikubwa dar ilala boma na kulikuwa na karume kuanzia saa 12 asubuh mabelo yanakatwa unachagua nguo nzuri kwa bei ndogo kwa laki 3 unaweza pata nguo hata 100+ kutegemea na uhitaji na nguo gani
 
Ngoja nimsaidie huyo ndugu....

Belo zimepanda bei sahizi belo za nguo zunategemeana na quality ila kuanzia 250,000 kupanda unaoata belo la nguo nzuri kwa kg100.....

Kuna watu walisema zinapatikana mnazi mmoja, na kuna wengine walisema kariakoo kwa wachina wanabelo nzuri

Ila biashara hii sikuhizi, imekuwa na ushindani, so ili uwin soko uwe na nguo quality sana na uangalie walengwa wako ni watu gani na wanapenda nguo gani....

Skin jeans, brouse kali, koti jeans , korean koti [kwamikoa ya baridi], gauni kali za party [party dress] shati na suluari za officin

Hapo nimepanga kwa kufuatisha bidhaa zinazotoka sana age iwe kubwa kiasi, size za wanachuo kuliko wanafunzi wa sec ambao wengi hawawezi afford.

Ila angalizo; kununua belo kunaweza kukupa hasara kwani ni 50% 50% unaweza pata mzigo mzuri sana au mbaya sana, ila kuna wazoefu wanaangalia label [lebo] zinazowekwa kwa mabelo nje kila rangi ya label ya belo huwa inaakisi quality yake......maana kuna watu wanajulikana kwa uzuri wa kuwa na nguo nzuri pia unaweza tu toa tip kwa wanaokuuzia kuwa wakutafutie belo zuri

Ila kama huwezi pata mzoefu au mtu wa tip basi ji heri uchague nguo 1 1 sehemu za minada mikubwa dar ilala boma na kulikuwa na karume kuanzia saa 12 asubuh mabelo yanakatwa unachagua nguo nzuri kwa bei ndogo kwa laki 3 unaweza pata nguo hata 100+ kutegemea na uhitaji na nguo gani

Mkuu naomba nielekeze pa kupatia Bello la kg 100 kuanzia 250,000
 
Hakika umenena vyema
Dah, huwa tunatofautiana sana, huu ujasiri wa kuuliza idea ya biashara baada ya kupata mtaji huwa mnaupata wapi wakuu, wengine plan zipo za miaka 10 mbele na kila hatua na strategies zake kufikia lengo kuu na hakuna pesa itakayoingia ikose pa kwenda au ndio ianze kutafuta pa kwenda.

Idea za bishara za ndoto zangu huwa naandika hatakama sina hata mia na nimeshindia uji ila siachi kuandika idea za biashara.

Mkuu hapa utapata idea nyingi, uza nguo na viatu vya kike, fungua genge la matunda na mbogamboga, tafuta computer used ufungue biashara ya kuweka nyimbo na movie, tafuta eneo zuri choma mishkaki na mengine pia

Tatizo huwa linakuja.

1. Utayari wako (moyo wako utaridhia na hiyo biashara kiasi kwamba hata ukipata hasara hutojilaumu?)

2. Uelewa wa kutosha kuhusu biashara husika (lazima kuna muda wa kutenga kupata dondoo muhimu za biashara husika na hapa usipotilia maanani lazima utakula hasara).

3. Pesa yako kweli ni ya mtaji au umekusanya na ukaamua iwe mtaji kwakuwa unaona inaweza kupotea tu bila kufanyia chochote cha maana? Hiyo pesa unaweza itunza mwezi mzima ukifanya research ya biashara utakayoipenda au ndiyo ile pesa ya matumizi ndani ikiisha huwezi lala njaa huku una laki 7 ndani ?? Ukipata emergency yoyote utakuwa mwepesi kuitoa hiyo pesa ?.

Najaribu tu kuonyesha namna gani ilivyo muhimu kuwa na mpango mzima kabla hata hujapata pesa ya kutekeleza mpango huo ili pesa ikiingia tu basi hushajua wapi inaenda. Pesa haikai mkuu.

Vuta subira ila jitahidi ufanye utafiti wa kutosha kuhusu biashara utakayoamua kuifanya kabla ya kuanza ili ukiingia ukubaliane na matokeo yoyote kiroho safi kabisa.
 
mkuuu kannunue mihogo tabora uje uuze hapa dar es salaam utanishukuru kwa,huo mtaji wako
 
Mtu anisaidie kwanza namna Milioni 2 inaweza kuanzisha bucha ya nyama.
 
Back
Top Bottom