Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Dah naskitika hukujibu maswali yote ipasavyo.well, zingatia ushauri wa kufuga kuku hata kama hupendi.
 
Jibu haya maswali halafu nitarudi badae

1. Elimu yako
2. Ujuzi au/ uzoefu wako wa kazi yoyote .
3. Una penda nn?

haya uliyo muiliza yana uhusiano gani na na hiyo hela yake?. mia
 
haya uliyo muiliza yana uhusiano gani na na hiyo hela yake?. mia

vinahusiana kwa vile ana pesa (mtaji) lakini hajui cha kufanya sasa ili kumshauri idea ya biashara kuna vitu inabidi kuvijua kutoka kwake.
 
habari wana jf mimi n kijana ambae nafanya kaz kwa m2 inayoningizia elfu 5 au 4 kwa siku ila nataka nianze kivyangu nikiwa na sh lak 3 msaada please




Kilimanjaro, mbege vipi? Uza mbege na makande ili watu wakilewa wale chakula chako si lazimawaende nyumbani. Wale hapo hapo.
 
Mimi nakushauri kaka funguwa genge lina faida sana na utakuja kuniyambia

'mwajuma ndala ndefu,asha ngedere,chausiku na kina cheupe dawa ndo muflisi wa biashara kama hizi asee,heh heh'
 

'ee bwana mkuu are you serious kaka hiyo incubator ya 80k naeza pata wapi mkuu na inachukua vifaranga wangapi na kwa mda gani mkuu,manual au automatic ndugu'
 
'ee bwana mkuu are you serious kaka hiyo incubator ya 80k naeza pata wapi mkuu na inachukua vifaranga wangapi na kwa mda gani mkuu,manual au automatic ndugu'

ushauri mzuri huu, ila angalau ktk lak 3 hiyo, ungemlipa angalau alf 20 huyu mshauri, ni sehemu ya gharama za mradi
 
Ushauri mzuri sana umetolewa na mkuu Secret Service, mi hapa nina shs laki saba cash! Mchanganuo alioutoa bwana mkubwa, nataka niutumie kumfumbua macho kaka yangu kule shamba! Namkabidhi mtaji huo kabisaaa!
Sitaki shida!
 
Last edited by a moderator:
'ee bwana mkuu are you serious kaka hiyo incubator ya 80k naeza pata wapi mkuu na inachukua vifaranga wangapi na kwa mda gani mkuu,manual au automatic ndugu'

hizi incubator jamani naombeni maelezo jinsi zinavyofanya kazi jamani!
Zinapatikana wapi? Viwango vyake vya utendaji kazi ukoje?
 
habari wana jf mimi n kijana ambae nafanya kaz kwa m2 inayoningizia elfu 5 au 4 kwa siku ila nataka nianze kivyangu nikiwa na sh lak 3 msaada please


Endelea kufanya kazi na akiba uliyonayo itumie kuanzisha biashara ndogo kama duka la bidhaa, kila mwezi utakuwa unaongeza mtaji ukipokea mshahara.

Kwa kuanzia kama huna mke usimwamini mtu, duka lako fungua asubuhi sana kwa mahitaji yale ya asubuhi majani ya chai na sukari na ufungue baada ya kazi saa 11 mpaka saa 2 usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…