Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero. Matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.

Zile nzuri ulizopata kwa kuwa upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.

kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
 
mwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume.chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.<br />
kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
<br />
<br />
Asante sana mkuu.
 
Sababu unauza vocha tayari ongezea kwenye biashara yako ya vocha yafuatayo:-
  • magazeti (haya hayaitaji mtaji unachukua kwa wakala ukiuza unakata (tshs 40 yako au zaidi sina uhakika) na yanayobaki unamrudishia wakala
  • sigara, biscuits, pipi, n.k. (huu mtaji wake ni mdogo)
  • juice (tena tengeneza zako mwenyewe) hapo profit margin itakuwa kubwa.., lakini utahitaji zile dumu portable ili uweke barafu ziwe za baridi pia unaweza kuuza na maji
  • Ongea na wafanyabiashara wenye maduka ili hata uweke pesa kidogo rehani (kama laki moja) ili wawe wanakupa bidhaa za kuuza kwa mali kauli, yaani ukishauza unawapa pesa zao na wewe unachukua faida usipouza unawarudishia
  • Karanga (kuna mtu aliniambia hii biashara Tshs 1 inazaa Tshs 1)
  • Sababu Arusha watalii wengi inategemea location yake sababu vilevile unaweza ukaongea na watu wenye ule urembo wa kitamaduni na vinyago ukaweka sample kwenye kijiwe chako ukiuza basi unapata commission yako usipouza basi hauna hasara.
Kumbuka kama umefanikisha kupata mkate wa kila siku kwa kuuza vocha ambazo faida ni ndogo kwa unit moja (basi inaonekana unauza volume kubwa sana) just imagine kama utatengeneza juice zako mwenyewe..., ukipata wateja hao hao wanaonunua vocha ukawaconvince wakanywa juice basi huenda faida ikawa zaidi 300%

Ushauri safi sana huu
 
Duh! laki mbili ni bonge la challenge,mimi juzi nilipata 5mil. mpaka leo sijajua nini cha kufanyia ili ijizae.tatizo langu ni muda wa kusimamia hiyo shuguli.

Kwa kuwe tayari mtoa mada anajua kutumia JF forums,nakushauri ufungue blog yako,sajili domain name .co.tz kwa elfu25 ,then anzisha biashara ya udalali, hapo itabaki kama laki,irudishie ktk vocha.

2-Kanunue/tengenez mkokoteni wa maji,mtafute kijana kila siku akupe elfu 3 tu, after 3months utakuwa na laki3,pesa yako imerudi na unaweza kuongeza mtaji wa vocha
 
Duh! laki mbili ni bonge la challenge,mimi juzi nilipata 5mil. mpaka leo sijajua nini cha kufanyia ili ijizae.tatizo langu ni muda wa kusimamia hiyo shuguli.<br />
-kwa kuwe tayari mtoa mada anajua kutumia JF forums,nakushauri ufungue blog yako,sajili domain name .co.tz kwa elfu25 ,then anzisha biashara ya udalali, hapo itabaki kama laki,irudishie ktk vocha.<br />
2-kanunue/tengenez mkokoteni wa maji,mtafute kijana kila siku akupe elfu 3 tu, after 3months utakuwa na laki3,pesa yako imerudi na unaweza kuongeza mtaji wa vocha
<br />
<br />
Nashukuru kwa mawazo yako mkuu.
 
Mkubwa labda,ufungue kibanda cha chips kinalipa sana,but ongeza capital yako kidogo,ni ndogo sana kwa biashara za miaka hii
<br />
<br />
Nilikua na wazo hlo bt nilvofanya uchunguz nkagundua kuwa huku pande ze2 chips hazilip sana ukilinganisha na maeneo kama Dsm.
 
Wapendwa poleni na majukumu,

Ninaomba mnisaidie mawazo kuhusu hili wazo langu

Nina cash shilingi 500,000 na sijui nifanyie biashara gani cause sijawahi kuwa na biashara ila ninaweza kuendesha biashara

Aksanteni
 
<br />
<br />
kuna mangi mmoja alikuwa anauza genge sahv ana boutique.

Ingekuwa vizuri kama utatuhakikishia kuwa hakuwa na bishara nyingine kwa sababu hujatoa muda aliokaa ktk biashara ya genge lake.
 
Anza kampuni ndogo ya kuosha magari. tafuta vijana 5 tafuta location nzuri a.ka kwenye baa maarufu, bila aibu wala uwoga wa kukutwa na washikaji zako piga kazi na ikibidi na wewe mwenyewe uwe front kuwatia moyo vijana wako. baada ya miezi sita njoo JF utoe ushuhuda.
 
Anza kampuni ndogo ya kuosha magari. tafuta vijana 5 tafuta location nzuri a.ka kwenye baa maarufu, bila aibu wala uwoga wa kukutwa na washikaji zako piga kazi na ikibidi na wewe mwenyewe uwe front kuwatia moyo vijana wako.

Wewe si fuso ila scania. Nimependa ushauri wako.
 
Ingekuwa vizuri kama utatuhakikishia kuwa hakuwa na bishara nyingine kwa sababu hujatoa muda aliokaa ktk biashara ya genge lake.
<br />
<br />
hahaha! Sasa nitakuhakikishiaje? Ngoja nimwambie huyo mangi aje jf atoe ushuhuda. Lol!
 
Sijui unakaa maeneo gani lakini kama kuna gereji au soko yaani mahali penye watu wengi. Unaweza ukanunua baiskeli (pia sijui huko itakuwa shilingi ngapi) halafu watu wakawa wanakodisha na kurudisha. Nakumbuka hapa wanatoa 300/= hadi 500/= kutegemeana na umbali. Unaweza weka mbili ukipata watu watano kwa siku kwa kila baiskeli unapata 300x10=3,000 kwa siku. Na hii inakuwa 3,000x20=60,000/= kwa mwezi.
Huu ndio ushauri wangu kwa huo mtaji.

Katika kutaka kujiongezea kipato nataka kufungua busness nyingne ndogo bt mtaji ndo huo hapo juu.kwa sasa ni muuza vocha{TIGO RUSHA},naomben mawazo yenu,nianze kuzungusha nin wakuu..??
 
Back
Top Bottom