Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari za mida hii wana JF,
Naomba kuuliza, kwa mtaji wa Tsh 200, 000 naweza kuanzisha biashara gani hapa Dar itakayoniwezesha kutengeneza faida ya Tsh 20, 000 kwa siku!!
Msaada wenu tafadhari!!
Mtafute somebody CONTROLA soma nyuzi zake
 
Skin Jeans za kike tunaenda Tandika na Kariakoo tunanunua kwa Tsh. 3000/= kwa kila PC 1.

Hiyo laki mbili yako unapata hizo skin jeans 50,baada ya hapo unazifanyia modification kwa Tsh1000/= kwa kila skin jeans na laki mbili yako inakuwa imeisha na unakuwa umetumia 4000/= kwa kila jeans

Huku kwetu Mbagala kila jeans unauza Tsh 10000/=,hii ina maana umepata faida ya Tsh 6000/= kwa kila jeans na ili upate faida ya Tsh 20,000/= inabidi uuze PC 4 za skin jeans na lengo lako linakuwa limetimia ila huwa tunauza hadi PC 5-8 kwa siku.

Wengi watadharau ila wengine ndio tuanishi mjini kwa style hizo

Wanangu wa Tudo watakuwa wanaelewa nilichokiandika hapa
 
Mimi machinga wa kutengeneza wadada kucha na rangi,mtaji wangu ni elfu20,siku mbaya napata15 ikiwa nzuri 20 au 25.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Mkuu, tushirikishane idea tafadhari!!
Hii funny huwa inafundishwa wapi? Au unajifunza mwenyewe?
Vipi kwa Dar, naweza kujifunzia wapi?? Na yenyewe unaifanya kwa kutembea au uko na ofisi?
Ni faida nzuri unayoipata!
Msaada wako mkuu!
 
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Mkuu, tushirikishane idea tafadhari!!
Hii funny huwa inafundishwa wapi? Au unajifunza mwenyewe?
Vipi kwa Dar, naweza kujifunzia wapi?? Na yenyewe unaifanya kwa kutembea au uko na ofisi?
Ni faida nzuri unayoipata!
Msaada wako mkuu!
Bro kujifunza ni rahisi Sana hata week humalizi kama upo serious,mtafte jamaa anaezunguka akufundishe maana wenye ofisi wanacharge hela ndefu,utaskia laki4 miezi miwili,we jufunze kupaka na kuweka kucha kawaida,halafu unavyoendelea kufanya kazi ndio ujifunze rangi za gell na za unga,pia kuweka nyusi na kuchor a henna ukipenda,ukijua hivi hukosi50 perday
 
Skin Jeans za kike tunaenda Tandika na Kariakoo tunanunua kwa Tsh. 3000/= kwa kila PC 1.

Hiyo laki mbili yako unapata hizo skin jeans 50,baada ya hapo unazifanyia modification kwa Tsh1000/= kwa kila skin jeans na laki mbili yako inakuwa imeisha na unakuwa umetumia 4000/= kwa kila jeans

Huku kwetu Mbagala kila jeans unauza Tsh 10000/=,hii ina maana umepata faida ya Tsh 6000/= kwa kila jeans na ili upate faida ya Tsh 20,000/= inabidi uuze PC 4 za skin jeans na lengo lako linakuwa limetimia ila huwa tunauza hadi PC 5-8 kwa siku.

Wengi watadharau ila wengine ndio tuanishi mjini kwa style hizo

Wanangu wa Tudo watakuwa wanaelewa nilichokiandika hapa
Safii
 
Najua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......

Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...

Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...

Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....


Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
Mkuu maisha ni rahisi ukiamua kuyafanya yawe rahisi.Faida anayotaka ni faida ya 20,000 ambayo ni sawa na 10%.So anatakiwa tu ajue ni bidhaa agani ambayo anaweza akauza moja na akapata faida ya 10% on the spot.

Sasa kuhusu consistency hapo inategemea na bidii yake ila kwa uzoefu wangu katika biashara najua kwamba inawezekana kuwekeza 200,000 kwa siku na kutengeneza faida ya 20,000.Kama unakataa kwa sababu huna imani au huwezi hapo ni sawa ila haimaanishi kwamba haiwezekani.Inawezekana.

SWALI lake ni JE ni Biashara gani hiyo?JIBU langu ni Biashara ya kuuza TAARIFA.
 
Watu kama nyie mnaoandika ujinga Sina muda wa kuwajibu ....wauza pweza ,wauza upupu na chapati ,karanga njiani ....ndio wanatengeneza faida ya 20k Kwa siku ? Yaani kwa mwezi wanapata laki 6 mshahara ambao hata mwalimu Hana ??? Harafu Bado wanaishi mazingira Yale ,? Mtanzania anayepata laki 6 kwa mwezi ni WA kukaa Yale mazingira Unaakili sawa wewe ....


Endelea kudanganya wajinga na wapumbavu humu humu jf ....
Mbona umedharau walimu best mwalimu gani ambae hana mshahara wa laki sita.
 
Unafeli sana

Hua naingia k/koo najumua vipodoz kwa 253k

Revenue ni 1.45milion , kwa mwez naenda mara 3


Akili kumkichwa , kuingiza pesa yamaana hakuna uhusiano wowote na mjtaj

Hawa wauza ice cream wa Bakhresa, mule ndan hua kuna mzigo wa 15k , net profit yao hua ni 7k .. so mtu anajitad kwa siku atoe walau viwili vile

Again, akili kumkichwa
Noted.
 
Biashara sio kiasi kikubwa cha mtaji, biashara ni MANUNUZI.

Jitahidi upate chimbo ambalo utanunu bidhaa kwa bei ya chini kabisa na ukaziuze kwa bei ya juu kidogo ili utengeneze pesa.

Kusema kwamba huwezi kuingiza 20K kwa mtaji wa 200K ni kukosa akili maani ni 10% ya mtaji.

Kutumia mamilioni ya hela ili uingize 20K nao ni ujinga uliokithiri.
 
Nikajua million mia mbili kumbe ni laki mbili
 
Skin Jeans za kike tunaenda Tandika na Kariakoo tunanunua kwa Tsh. 3000/= kwa kila PC 1.

Hiyo laki mbili yako unapata hizo skin jeans 50,baada ya hapo unazifanyia modification kwa Tsh1000/= kwa kila skin jeans na laki mbili yako inakuwa imeisha na unakuwa umetumia 4000/= kwa kila jeans

Huku kwetu Mbagala kila jeans unauza Tsh 10000/=,hii ina maana umepata faida ya Tsh 6000/= kwa kila jeans na ili upate faida ya Tsh 20,000/= inabidi uuze PC 4 za skin jeans na lengo lako linakuwa limetimia ila huwa tunauza hadi PC 5-8 kwa siku.

Wengi watadharau ila wengine ndio tuanishi mjini kwa style hizo

Wanangu wa Tudo watakuwa wanaelewa nilichokiandika hapa
Acha uongo😜😜🤣
 
Najua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......

Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...

Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...

Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....


Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
Bado hujajua mbinu zote za biashara kas bench la nyuma ujifunze
 
Back
Top Bottom