Mtafute somebody CONTROLA soma nyuzi zakeHabari za mida hii wana JF,
Naomba kuuliza, kwa mtaji wa Tsh 200, 000 naweza kuanzisha biashara gani hapa Dar itakayoniwezesha kutengeneza faida ya Tsh 20, 000 kwa siku!!
Msaada wenu tafadhari!!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Mimi machinga wa kutengeneza wadada kucha na rangi,mtaji wangu ni elfu20,siku mbaya napata15 ikiwa nzuri 20 au 25.
Hapana katoa vyoteHizo za boda boda na Bajaji si faida ni mapato.hapo hujatoa matumizi,labda faida ni 7000 hiv
Bro kujifunza ni rahisi Sana hata week humalizi kama upo serious,mtafte jamaa anaezunguka akufundishe maana wenye ofisi wanacharge hela ndefu,utaskia laki4 miezi miwili,we jufunze kupaka na kuweka kucha kawaida,halafu unavyoendelea kufanya kazi ndio ujifunze rangi za gell na za unga,pia kuweka nyusi na kuchor a henna ukipenda,ukijua hivi hukosi50 perday[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Mkuu, tushirikishane idea tafadhari!!
Hii funny huwa inafundishwa wapi? Au unajifunza mwenyewe?
Vipi kwa Dar, naweza kujifunzia wapi?? Na yenyewe unaifanya kwa kutembea au uko na ofisi?
Ni faida nzuri unayoipata!
Msaada wako mkuu!
Haha poleUmenikumbusha mbali sana na issue ya chapati.nilijaribu kujifanya nataka nipike l.ebwana eeh ikatoka kama zile nani(yale machapati ya kuvunjika.Ngumu hiv.
Kabisa aise kuzijulia chambati zitoke laini vile sio rahisiSi mchezo,mkuu wewe zione tuu hizo chapati mnyambuko siyo kitu rahisi kufanya
SafiiSkin Jeans za kike tunaenda Tandika na Kariakoo tunanunua kwa Tsh. 3000/= kwa kila PC 1.
Hiyo laki mbili yako unapata hizo skin jeans 50,baada ya hapo unazifanyia modification kwa Tsh1000/= kwa kila skin jeans na laki mbili yako inakuwa imeisha na unakuwa umetumia 4000/= kwa kila jeans
Huku kwetu Mbagala kila jeans unauza Tsh 10000/=,hii ina maana umepata faida ya Tsh 6000/= kwa kila jeans na ili upate faida ya Tsh 20,000/= inabidi uuze PC 4 za skin jeans na lengo lako linakuwa limetimia ila huwa tunauza hadi PC 5-8 kwa siku.
Wengi watadharau ila wengine ndio tuanishi mjini kwa style hizo
Wanangu wa Tudo watakuwa wanaelewa nilichokiandika hapa
Mkuu maisha ni rahisi ukiamua kuyafanya yawe rahisi.Faida anayotaka ni faida ya 20,000 ambayo ni sawa na 10%.So anatakiwa tu ajue ni bidhaa agani ambayo anaweza akauza moja na akapata faida ya 10% on the spot.Najua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......
Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...
Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...
Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....
Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
Mbona umedharau walimu best mwalimu gani ambae hana mshahara wa laki sita.Watu kama nyie mnaoandika ujinga Sina muda wa kuwajibu ....wauza pweza ,wauza upupu na chapati ,karanga njiani ....ndio wanatengeneza faida ya 20k Kwa siku ? Yaani kwa mwezi wanapata laki 6 mshahara ambao hata mwalimu Hana ??? Harafu Bado wanaishi mazingira Yale ,? Mtanzania anayepata laki 6 kwa mwezi ni WA kukaa Yale mazingira Unaakili sawa wewe ....
Endelea kudanganya wajinga na wapumbavu humu humu jf ....
Noted.Unafeli sana
Hua naingia k/koo najumua vipodoz kwa 253k
Revenue ni 1.45milion , kwa mwez naenda mara 3
Akili kumkichwa , kuingiza pesa yamaana hakuna uhusiano wowote na mjtaj
Hawa wauza ice cream wa Bakhresa, mule ndan hua kuna mzigo wa 15k , net profit yao hua ni 7k .. so mtu anajitad kwa siku atoe walau viwili vile
Again, akili kumkichwa
Acha uongo😜😜🤣Skin Jeans za kike tunaenda Tandika na Kariakoo tunanunua kwa Tsh. 3000/= kwa kila PC 1.
Hiyo laki mbili yako unapata hizo skin jeans 50,baada ya hapo unazifanyia modification kwa Tsh1000/= kwa kila skin jeans na laki mbili yako inakuwa imeisha na unakuwa umetumia 4000/= kwa kila jeans
Huku kwetu Mbagala kila jeans unauza Tsh 10000/=,hii ina maana umepata faida ya Tsh 6000/= kwa kila jeans na ili upate faida ya Tsh 20,000/= inabidi uuze PC 4 za skin jeans na lengo lako linakuwa limetimia ila huwa tunauza hadi PC 5-8 kwa siku.
Wengi watadharau ila wengine ndio tuanishi mjini kwa style hizo
Wanangu wa Tudo watakuwa wanaelewa nilichokiandika hapa
ILA wewe ni kachokozi kachokozi halafu katunduuuuAcha uongo😜😜🤣
Kuuza mayaiHabari za mida hii wana JF,
Naomba kuuliza, kwa mtaji wa Tsh 200, 000 naweza kuanzisha biashara gani hapa Dar itakayoniwezesha kutengeneza faida ya Tsh 20, 000 kwa siku!!
Msaada wenu tafadhari!!
Mtani wangu huyu mkuu.ILA wewe ni kachokozi kachokozi halafu katunduuuu
Bado hujajua mbinu zote za biashara kas bench la nyuma ujifunzeNajua watanibeza sanaa ....lakini hio pesa yako haiwezi kukupa faida ya 20,000 kwa siku......
Yaani mtaji wa 200,000. Upate faida ya 20,000 Kwa siku unaota wewe sio bure kama hivyo watu wasingekuwa masikini ...
Mtu wa boda boda karisk 2,500,000 na anapata faida 10k Kwa siku ...
Mtu wa bajaji kanunua 7million Ndio anapata faida ya 20k kwa siku....
Harafu unakuja na mtaji wako wa 200k et upate faida ya 20k kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha sio rahisi kiasi hicho ....
ntazana ntazana inabidi nikuuzie skin jeans ukija mbagalaAcha uongo😜😜🤣