Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

MAthematicia asante sana kwa ushauri ulio utoa kwa uyo kijana umefanya jambo la msingi sana naamini sote tutakua tumefaidika na hiko wazo mimi pia ni mija wa vijana wenye mtaji usio pungua million 4 lakini nimeshindwa ni aina gani ya biashara naweza kufanya ika nipa turn over ya uhakika na ikawa endelevu.

Ukizingatia biashara kwa sasa zinaitaji kuwa na mitaji mikubwa ili ku sustain kwenye soko. Ningependa mawazo yako zaidi hata ikibidi nikutafute. Najua hakuna la msingi kwa vijana kama kupeana mawazo yanayo weza kuleta maendekeo ya kiuchumi baina yetu sote. 0784215168.
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉

Mchanganuo Bab-kubwa...nimeupenda.... Be blessed
 
MAthematicia asante sana kwa ushauri ulio utoa kwa uyo kijana umefanya jambo la msingi sana naamini sote tutakua tumefaidika na hiko wazo mimi pia ni mija wa vijana wenye mtaji usio pungua million 4 lakini nimeshindwa ni aina gani ya biashara naweza kufanya ika nipa turn over ya uhakika na ikawa endelevu. Ukizingatia biashara kwa sasa zinaitaji kuwa na mitaji mikubwa ili ku sustain kwenye soko. Ningependa mawazo yako zaidi hata ikibidi nikutafute. Najua hakuna la msingi kwa vijana kama kupeana mawazo yanayo weza kuleta maendekeo ya kiuchumi baina yetu sote. 0784215168.

Tafuta threads zipo humu kibao tu mtaji wa milioni 4 ni mkubwa sana sana sana. Unaweza pitia hii ya nguo kutoka uganda.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/605522-biashara-ya-nguo-kutoka-uganda.html
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉

Pokea "Gwala" mkuu
 
Hakuna changamoto yoyote hapo mkuu..kama utajitolea akili muda na nishati ya mwili wako,vyote nilivyotaja vinawezekana..hizo stadi ni nyepesi sana Binafsi ninazo mia moja(100) stadi za kutengeneza vitu tofaut ni rahisi na hazina gharama
Nafikiria kuanzisha thread humu ndani itakayokuwa ikizielezea moja baada ya nyingine sitataka hata sumuni ya mtu,..Ntajitolea kwa nchi na vijana wenzangu..Watakaokuwa makini watavuna.

Utaanza lini mkuu me niko macho kuisaka hizo threads kwa darubini na makamera please do not delay.
stay blessed.
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉
Sio siri you must be brave.
 
Watu wachoyo sana kumchangia mwenzao mawazo tu atoke ila umbea watafanya hadi kukuche. Ushenzi sana huu ndio maana Tanzania kuendelea itakuwa ngumu na ufisadi utkuwa kwenye, kwani ufisadi ni shortcut ya kufikiri. Kwa maana hii Tanzania ni kama imelaaniwa au sawa na kund*u za nyani, yeye hucheka mwenziwe akidhani yeye hana kund*u hilo. Taabu sana hata ukiangalia hapa jamvini mambo mengine yanayojadiliwa ni ya kipuuzi na yale ya maana watu hawajadili kwa inavyopasa. Hii ni challenge kwenu wanajamvi. Sasa tuone watakavyosutuka. Utapata miradi ya kutosha kambi7. Ingekuwa unaandika kuhusu mme au mke ametoroka nyumbani ungeona hata PM ungepata. Tusubiri sasa kambi7!

the guy is after advice and not stories, kijana kwa icho kias jaribu kama ukipata eneo kama sokoni au stend uwe unanunua bidhaa kama sabuni,dawa za meno nk muda mfupi mtaj utakua had utakua na shop yako Mungu akutangulie
 
Hakuna changamoto yoyote hapo mkuu..kama utajitolea akili muda na nishati ya mwili wako,vyote nilivyotaja vinawezekana..hizo stadi ni nyepesi sana Binafsi ninazo mia moja(100) stadi za kutengeneza vitu tofaut ni rahisi na hazina gharama
Nafikiria kuanzisha thread humu ndani itakayokuwa ikizielezea moja baada ya nyingine sitataka hata sumuni ya mtu,..Ntajitolea kwa nchi na vijana wenzangu..Watakaokuwa makini watavuna.

Utaanza lini mkuu me niko macho kuisaka hizo threads kwa darubini na makamera please do not delay.
stay blessed.
Mkuu unaona wanafunzi wameshaanza ku-enroll, usikawie... kati ya hizo stadi 100 zipo za kutengeneza bia au wine pia?
 
Sidhan kama kuna ugumu kiasi hcho but ukiangalia sana u have to choose mazingira Rafiki kwa biashara husika
Kwa mfano around hostels au vyuo ni muhm zaid
Wanavyuo wa siku hizi wamepigika... sidhani kama ni rahisi kumkuta mtu anapeleka nguo dry cleaner kwa gharama ya 10,000/= kwa wiki ilhali kuna wafagiaji wa hostel wanaweza wakamfulia kwa 5,000/=.
 
...ivi mapanki bado yapo ? Kama vipi kayauze mikoani utamake sana mwana....
 
Wanavyuo wa siku hizi wamepigika... sidhani kama ni rahisi kumkuta mtu anapeleka nguo dry cleaner kwa gharama ya 10,000/= kwa wiki ilhali kuna wafagiaji wa hostel wanaweza wakamfulia kwa 5,000/=.
I think is the better way
Hawafui kila siku but ts better sababu hawapendi kufua
 
hivi jamani nini tofauti kati ya mashine ya LAUNDRY na DRY and CLEAN

Laundry ni kufua kawaida lakini kwa kutumia mashine ya kufulia inayotumia maji na sabuni za unga.
Dry cleaning ni kusafisha nguo au material nyingine zenye asili ya kitambaa kwa vifaa na kemikali ambavyo vinasafisha na kuondoa uchafu bila kutegemea maji au sabuni. Hii iko tofauti kabisa na kufua, ni usafishaji madhubuti sana!
 
mkuu Uso wa nyoka shukrani kwa elimu yako
nikiwa na dry and clean ninaweza tumia sabuni ya maji au unga?
Baada ya kufua hizo nguo, nitahitajka kuzikausha ?
Kimuonekano hizo mashine zinatofauti gani?
Ahsante kwa mara nyingine
 
Last edited by a moderator:
the guy is after advice and not stories, kijana kwa icho kias jaribu kama ukipata eneo kama sokoni au stend uwe unanunua bidhaa kama sabuni,dawa za meno nk muda mfupi mtaj utakua had utakua na shop yako Mungu akutangulie

amina ubalikiwe tafanyia kazi
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉

MKUU NIMEKUKUBALI..HONGERA SANA KWA HATUA YA KISHUJAA....TUPO PAMOJA..NA LENGO LAKUFIKIA ROI ATLEast laki4 week
 
mapanki ndo nini?

we mgeni mwanza?
1422437_756052337745381_323371288_n.jpg
 
Back
Top Bottom