nimewachokaaa
Member
- Oct 30, 2014
- 34
- 3
Nunua viatu vya kike kwa.mabero
Uko mji gani?
Kama upo Dar, nakushauri fanya fresh juice ya matunda. Ni kuliko kuwa na daladala na pesa zako ulizonazo ni mtaji tosha kabisa.
Mradi uwe msafi na juice yako iwe safi na vifaa vyako viwe visafi, kama unataka ushauri wa kutengeneza juice safi, muombe ushauri farkhina wa JF.
Nakutakia ufumbuzi mwema, vijana kama wewe mnatutia moyo wazee, si wale wanaoingia humu kulalamika tu.
mkuu hivyo viatu unavinunua wapi na kwa pesa ngapi na unaenda kuuza wapi??
Bymwachalika:
Mimi nina balo za viatu vya kike na kiume. Nimeenda kuchagua mwenyewe china, mzigo uko poa sana. 25kg kila bag moja na bei ya ni 130,000 kwa ladies flat shoes and 250,000 kwa men canvas shoes. Viatu hivi ni kama vipya kabisa na mzigo upon Tanga na container nyingine natoa Dar wiki hii. Nitafute tufanye biashara. 0715603603
Kasema ye kijana?vijana kama wewe mnatutia moyo wazee, si wale wanaoingia humu kulalamika tu.
Kasema ye kijana?
Mkuu, kumbe una akili timamu ila basi tuu mda mwingine unajifanya kama hauna.
bymwachalika:
Mimi nina balo za viatu vya kike na kiume. Nimeenda kuchagua mwenyewe china, mzigo uko poa sana. 25kg kila bag moja na bei ya ni 130,000 kwa ladies flat shoes and 250,000 kwa men canvas shoes. Viatu hivi ni kama vipya kabisa na mzigo upon tanga na container nyingine natoa dar wiki hii. Nitafute tufanye biashara. 0715603603
Umtafute mwachalika,mi nimekuwekea tu hapo.mkuu nitakutafuta
uza magari
Bymwachalika:
Mimi nina balo za viatu vya kike na kiume. Nimeenda kuchagua mwenyewe china, mzigo uko poa sana. 25kg kila bag moja na bei ya ni 130,000 kwa ladies flat shoes and 250,000 kwa men canvas shoes. Viatu hivi ni kama vipya kabisa na mzigo upon Tanga na container nyingine natoa Dar wiki hii. Nitafute tufanye biashara. 0715603603
Njoo chukua viatu jumla nauza 16 Ww wauza 20 Mali toka nairobiView attachment 196918
Mhh!!!!Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea
viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k
bei zetu ni kama ifuatavyo.
vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja
vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja
NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90
PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap
Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana
TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.
KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......
Habar wana Jf nina laki tano mfukon nataka nifanye biashara je naweza fanya biashara gani?
Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea
viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k
bei zetu ni kama ifuatavyo.
vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja
vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja
NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90
PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap
Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana
TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.
KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......