Fuga kuku wa kienyeji anza na Jogoo 2 na kuku majike 3 Kuku hawa wafuge kienyeji waache watembee wenyewe kutafuta chakula kila kuku atawanunua kwa sh. 10,00o jumla sh. 50,0000 pesa zitakazobaki atanunua madawa na kuwatunza. Hesabu ya ongezeko kila mwezi kuku 3 watataga mayai 30x6 anaweza kuwa na vifaranga 180 pamoja na kuku wakubwa watakuwa 185. Baada ya miezi 6 wale vifaranga watakuwa wakubwa nao wataanza kutaga nao ambapo hali itakuwa hivi nusu ya wale vifaranga inaweza kuwa majike baada ya mwaka 1 utapata kuku 95x mayai 10x6= utakuwa na kuku 5700. ukijumlisha na hao wa mwanzo utakuwa na kuku 5700 +185= 5885 ukiwauza utapata 5885 x bei ya 10,000= sh. 58,850,000.00. Faida ya kuku wa kienyeji ni wavumilivu wa magonjwa hawana ghrama kubwa kuwatunza wanajitafutia chakula. Unaweza kuuza mayai na nyama hasa majogoo kwa kuwa yanakua haraka.