Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuga kuku wa kienyeji anza na Jogoo 2 na kuku majike 3 Kuku hawa wafuge kienyeji waache watembee wenyewe kutafuta chakula kila kuku atawanunua kwa sh. 10,00o jumla sh. 50,0000 pesa zitakazobaki atanunua madawa na kuwatunza. Hesabu ya ongezeko kila mwezi kuku 3 watataga mayai 30x6 anaweza kuwa na vifaranga 180 pamoja na kuku wakubwa watakuwa 185. Baada ya miezi 6 wale vifaranga watakuwa wakubwa nao wataanza kutaga nao ambapo hali itakuwa hivi nusu ya wale vifaranga inaweza kuwa majike baada ya mwaka 1 utapata kuku 95x mayai 10x6= utakuwa na kuku 5700. ukijumlisha na hao wa mwanzo utakuwa na kuku 5700 +185= 5885 ukiwauza utapata 5885 x bei ya 10,000= sh. 58,850,000.00. Faida ya kuku wa kienyeji ni wavumilivu wa magonjwa hawana ghrama kubwa kuwatunza wanajitafutia chakula. Unaweza kuuza mayai na nyama hasa majogoo kwa kuwa yanakua haraka.
Fuga kuku wa kienyeji anza na Jogoo 2 na kuku majike 3 Kuku hawa wafuge kienyeji waache watembee wenyewe kutafuta chakula kila kuku atawanunua kwa sh. 10,00o jumla sh. 50,0000 pesa zitakazobaki atanunua madawa na kuwatunza. Hesabu ya ongezeko kila mwezi kuku 3 watataga mayai 30x6 anaweza kuwa na vifaranga 180 pamoja na kuku wakubwa watakuwa 185. Baada ya miezi 6 wale vifaranga watakuwa wakubwa nao wataanza kutaga nao ambapo hali itakuwa hivi nusu ya wale vifaranga inaweza kuwa majike baada ya mwaka 1 utapata kuku 95x mayai 10x6= utakuwa na kuku 5700. ukijumlisha na hao wa mwanzo utakuwa na kuku 5700 +185= 5885 ukiwauza utapata 5885 x bei ya 10,000= sh. 58,850,000.00. Faida ya kuku wa kienyeji ni wavumilivu wa magonjwa hawana ghrama kubwa kuwatunza wanajitafutia chakula. Unaweza kuuza mayai na nyama hasa majogoo kwa kuwa yanakua haraka.
Fuga kware
Me nauza natural juices!! Hasa hasa ya ukwaju!!! Iko poa sna bt yahtaj kujituma sana!! Ona sasa pindi laisha saa 12:45 yanibid nitoke mapema kwenda kwenye maandalzi!! Ikifka saa 1 kamil uck naanza sambaza mpka saa tatu na nusu nimesha,alza!! Naoga nala then napiga msuli!! Nimeulza mkuu yuko chuo gan?
Niko cbe apa town mkuu
Wadau habari zenu; hodi ktk jukwaa.
Kwenye elimu ya ujasiriamali wanasema mtu si lazima uanze biashara na mtaji mkubwa,unaweza anza hata na elf 10,nami na Tshs laki 1, nipo mwanza naweza fanya baishara gani???
Hivi kuku 5885 unaweza kuwatuza / kuwafuga kwa kuwaachs wazi wajitafutie chakula???? Jameni tuwe wakweli labds kama unataka atowe sadaka mtaani
Kwa mimi nionavyo hao kuku 5885 itabidi awafuge kisasa yaani ndani ya banda ambako kuna wastani wa usalaama kuliko kuwaachia wajitafutie chakula
Fikiria kama mtu anakudhulumu laki 1 utajisikiaje? kwa jicho la kijasiriamali laki 1 ni hela nyingi mno. tulia jipange uanzishe biashara kama wadau walivyokushauri utawini. baada ya hapo uje ulete mrejesho