nunua videsktop viwili ufungue biashara ya kompyuta games kwa watoto
NB:kwa huku kwe2 uswazi lakini kama we wa mikocheni au pande zile zenye ikulu ndogondogo biashara itasanda mdau
Uko Mkoa gani na unahitaji asilimia ngapi?Unaweza kuifanya mahali popote TZ.Mbona umemkasirikia huyo ndg ambaye kakushauri kuhusu biashara ya kucha,ushauri wa kwanza kwenye biashara mthamini hata anayekutukana ilimradi wewe upate faida au pesa la sivyo biashara ni ngumu ndg yangu.kama uko tayari kwenda vijijini ni PM nikupe biashara amabayo utapa kama 200,000 kwa mwezi kwa laki 3,ila ukubali kufanya kazi kwenye mazingira yoyote sio ya mjini tu.
Mwanajamvi mwenzangu mbona tunakashfiana! Naami nilimpa ushauri mzuri mwananchama mwezangu aliyeomba ushauri nashangaa sana akanijibu sivyo kwamba nikafanye mimi mwenyewe, nikamjibu ukweli mimi ninabiashara zangu ambazo ninazifanya za zaidi ya 200,000,000/= . sasana wewe sijui umetokea wapi unaanza kunikashifu. sijafurahishwa kabisa na kitendo chako kuwa mstaarabu DullyJrpunguza masifa,hutafika popote!hebu hiyo 200m iandike kwa tarakimu kamili,sitoshangaa kukuta hujui hata ina sifuri ngapi?
Kwa pesa hiyo unaweza kufanya biashara ya vitumbua au mama niwekee.
nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 3 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza na ipo siku i can mek it yes in my life...wazoefu wa biashara naombeni mawazo yenu naamin wote humu ni magrt thnker's na sitegemei majibu ya dharau mana clazma kila ukionacho ukoment nawe ujulikane upo..kama huna pita njia na waache wenye busara na upeo watuelimshe..ahsante
mwanajamvi mwenzangu mbona tunakashfiana! Naami nilimpa ushauri mzuri mwananchama mwezangu aliyeomba ushauri nashangaa sana akanijibu sivyo kwamba nikafanye mimi mwenyewe, nikamjibu ukweli mimi ninabiashara zangu ambazo ninazifanya za zaidi ya 200,000,000/= . sasana wewe sijui umetokea wapi unaanza kunikashifu. sijafurahishwa kabisa na kitendo chako kuwa mstaarabu DullyJr
Vitu vdogo vdogo vya wanawake
Swali la namna hii limekuwa likiulizwa na wengi, kwani watu wengi wanashindwa kubaini fursa ya biashara; hata hapa unaweza usipate majibu sahihi kwa biashara ya kufanya kutokana na vigezo vya fursa ya biashara. Fursa yeyote ya biashara inategemea na mahali ulipo na uhitaji katika eneo husika. Kwa kufuata vigezo vya fursa ya biashara; unatakiwa kuangalia mahitaji yanayokuzunguka katika eneo ulilopo kutokana na kiasi cha mtaji ulionao.
Kama upo Dar, unaweza kufanya biashara kuuza samaki wabichi au kukaanga katika eneo ulilopo au eneo ambalo hakuna biashara hiyo. Hii unaweza kufanya nyakati za asubuhi na jioni unaweza kuuza supu ya pweza. Hii ya supu ya pweza ndio iwe biashara kuu kwa kukuza mtaji wako. Utahitaji meza, jiko na vyombo; unaweza kufanya uchambuzi yakinifu juu ya hili kwa kwenda feri.
nashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu,by nw npo geita na ndio nataka kuizungusha hii pesa.