Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

1.) Kupanga fremu ni 1.5m mpaka 5m kwa mwezi (kariakoo), min.ni 18m kwa kodi ya mwaka.
2.) Ili ipate Tin no. inabidi ukalipe 18% thamani ya mkataba TRA bila kusahau stamp duty.
3.)Leseni manispaa itaenda laki 5 per year.
4.) Mashine ya EFD andaa laki 8, TRA wamekaza sana
5.) Andaa na income tax ya around 5mil. Kwa mwaka wako wa kibisshara, ila itategemea tra watakukadiria vipi, wakiamka vibaya wanakuzibua za udo.
Kwa hiyo we jianda kwa hiyo slave enrollment za watu-mwa 70,000
Naanza na kabiashara kaka
Siyo Biashara kubwa
Sihitaji hata fremu
 
Pesa inaweza kuingia kuanzia hapo mlangoni kwako unapoishi,kwa uwezo wako wa laki tano usiwaze kupanga pango,buni biashara ndogo utakayoweza ifanya kwa kutembea au mlango pa nyumba yako.kama una kaeneo kidogo na haujapanga uswazi tengeneza vitalu vya mboga mboga kwa bidii na kisasa kabisa,taratibu utakua unauza mboga mboga na utashangaa mtaji unakua,kumbuka kuuvumilia muda wa kukuza mtaji na kumbuka kua na bidii na poteza aibu kwa watu wala uoga
 
Pesa inaweza kuingia kuanzia hapo mlangoni kwako unapoishi,kwa uwezo wako wa laki tano usiwaze kupanga pango,buni biashara ndogo utakayoweza ifanya kwa kutembea au mlango pa nyumba yako.kama una kaeneo kidogo na haujapanga uswazi tengeneza vitalu vya mboga mboga kwa bidii na kisasa kabisa,taratibu utakua unauza mboga mboga na utashangaa mtaji unakua,kumbuka kuuvumilia muda wa kukuza mtaji na kumbuka kua na bidii na poteza aibu kwa watu wala uoga
Ahsante kwa ushauri
 
Heshima kwenu wakuu
Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
Nakushauri, tafuta sehemu iliyochangamka sana weka genge lako. Nenda soko la buguruni nunua bidhaa za gengeni, vitu ambavyo huwa vinawahi kuharibika usichukue kwa wingi ila ziweke uanze biashara. Genge lako waweza kujenga kwa mbao na miti na maboksi yale makubwa. Mtangulize Mungu ktk kazi hiyo utafanikiwa
 
Baadhi ya vitu waweza weka ni kama nyanya, vitunguu, ndizi mbivu na Mbichi, Matango, machungwa, dagaa za pakiti za Mia tano mia tano, tikiti katakata vipande vya mia mbili mia mbili. Mtaji ukikua waweza weka genge duka
hili ndio lenyewe. Aangalie mazingira anayoishi na uwezo wa watu. Atafute na kuwauzia vile ambavyo havikwepeki kuvitumia kila siku. Nidhamu kwenye matumizi ni muhimu pia.
 
Heshima kwenu wakuu
Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
ya barafu, ua kule karibu na mabibo?
 
Back
Top Bottom