George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Poa kaka...Ndiyo, unaifanya muda wa ziada at least 2 hrs kwa siku inatosha kabisa kuifanya hii kazi
Kwakuwa umeshanipatia mawasiliano,nitakutafuta..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kaka...Ndiyo, unaifanya muda wa ziada at least 2 hrs kwa siku inatosha kabisa kuifanya hii kazi
Ahsante kaka mshana...Nguo za mtumba na viatu
UnapataAhsante kaka mshana...
Lakini naweza pata Barrel la nguo au viatu vya mtumba kwa huu mtaji wangu..?
Ahsante sana kaka Slim5 bila shaka nitalifanyia kazi wazo hili...Mkuu George Betram Kuna wazo pale juu kakupa kaka mshana jr naomba ulifanyie kazi.
Sijajua upo mji gani na chuo gani, lkn nakushauri jiingize ktk biashara ya mitumba.
Anza na bidhaa za mitumba za wadada. Usinunue BARO, nenda kwa ile style ya KUPOINT zile unazoona zina ubora. Kwa upande wa nguo, kama ungekuwa DSM, ni kujihimu pale Karume alfajir ya kila Jumamosi, KUPOINT. Kwa hiyo laki5, inatosha kuchota laki 3 na kuanza biashara huku ukipima upepo ulivo.
Ukirudi chuo unaziongezea ubora kwa kuzipiga pasi. Uuzaji wako unakuwa ni wa kuwafuata wateja wako hostel kwao, chumba kwa chumba!
Ndani ya biashara hii utaanza kupata oda za wateja wako nini wanataka ukawaletee kutoka sokoni. Wadada wengi hawana muda wa KUZURURA ktk masoko ya mitumba.
Nimekushauri ujihusishe na bidhaa za wadada kwa vile ktk maisha ya Chuo, wadada wanaongoza KUSHINDANA KUVAA kuliko men. Pia wadada kama utakuwa makini hamtasumbuana sana ktk malipo.
Wanaume baadhi wawapo chuo huweka pembeni hobby ya mavazi na wengi huigiza HIP HOP ama UGUMU lkn nyuma ya pazia wanamaanisha.
sawaPoa kaka...
Kwakuwa umeshanipatia mawasiliano,nitakutafuta..!
nitafanyia kazi wazo lakoEbana laki moja ni ndogo kidogo, unaweza kufanya biashara ndogo ndogo inategemea uko Katiba mazingira gani na una connection zipi. Unaweza chukua mashirt, T-shirt, boxers, nguo za wadada , Sox za kiume, viatu vya mtumba vya wadada, kadet , skirt nzuri mtumba first clasa, jeans, nguo za office za mtumba, mashuka ya mtumba, pochi za wadada.. nk unachukua bidhaa kko au karume, then unatfuta soko unauza!! Kuna watu wanaishi hivyo miaka yote
Nenda kabet mkuu,
Weka hela yote kisha umuue MAN U
kwa hili swali lako nakushauri usifanye biashara kabisa, fuga kukunitafanyia kazi wazo lako
na vipi bei naweza nikapata kwa sh ngapi
Usipopata?kopesha kwa riba, unaweza anza na mimi. Nipe laki nitakulipa laki 2 nikipata.
why nifuge kuku na mimi interest yangu ni biasharakwa hili swali lako nakushauri usifanye biashara kabisa, fuga kuku
Gud ideaMkuu ngoja nikupe kitu ambacho kipo humu jf, humu siku zote Wana zarau mtaji mdogo tena wengi wao ni wale ambao hawana dira ya nini cha kufanya ila wapo ambao wapo sensitive wapatakupa kile chenye maono. Kitu cha kufanya fanya utafiti kwa sehemu ambazo unatembelea hasa vijijin Kuna fursa nying Sana.... Embu jiulize mhindi na mwarabu ndo huwa na hii tabia ya kukimbilia vijijin Kuna nin kijijin,,,,,,?! Mbona mim na wew tunapakimbia lakin wagen wanapakimbilia..... Laki tano nikubwa Sana huko vijijin nenda kaangalie fursa huko ni kipi kinauhitaji mjini ambacho kipo huko shamba,.... Juzi nilikuwa huko nikakuta Lita ya maziwa n 500 na bado hayapati mteja lkn hayo maziwa mjini kikombe kinaanzia jero to buku,,,,,,, zipo nyingi sema mi c mwandishi mzuri ila kitu muhimu usikubali kukatishwa tamaaa na wachache ambao wanataka kupata buku lakin kashindwa kutumia akili ili apate hamsin na kila siku yeye anasubir kumbe ndo wenzake wanamuacha hivyo yeye kila siku kesho kesho
Nichek kwa namba hii 0655901113 tufanye kazi ndugu yanguNaomba mchango wa kima wazo, nina laki 5 nifanye issue gan?
Npo .....Dodoma (UDOM)
Age ..... 27
Plz tia neno...............
Ngoja wataalamu wa biashara wachambue.Heshima kwenu wakuu
Nina laki tank nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
Maana nataka kujiajiriNgoja wataalamu wa biashara wachambue.