Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada kama unaweza tafuta TILL ya m pesa ama tigo pesa utafute center uweke meza na mwavuli upige kazi kama kuna mzunguko utapata hela! hapo hapo uwe unasajili simcard za mitandao yoye hakika utapata faida sana nimefanya sana hiyo inalipa haina pressure
Unaijua bei ya laini ya tigopesa??Fungua Tigo pesa/ M-PESA.
Ila inategemea uko sehemu gani Mkuu.
Upo mkoa gani? Naomba masharti ya kuwa distributer wako.Kama waweza distribute tufanye biashara.. Ni wale dagaa safi,hawana nchanga,ambao wameshapikwa na viungo na chumvi,waweza kunywea chai,kwenye supermarket wanauza mpaka buku mbili jelo.
huanikwa kwenye vichanja tumewaweka katika vifungashio.
Fungua Tigo pesa/ M-PESA.
Ila inategemea uko sehemu gani Mkuu.[/QUOTE nipo interested sana na hizi biashara kuna hatua gani za kuweza kupata hizo lain?
Mjomba mie nipo DarUpo mkoa gani? Naomba masharti ya kuwa distributer wako.
Acha kumtisha mwenzako lain za uwakala hutolewa buree kama wewe uliombwa hela ujue ulipigwa na wajanja Wa mjini.... Mathalani ili kupata lain ya uwakala yoyote inakubidi uwe na tin number , lesen ya biashara, barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa na kitambulisho chako chochote kile...Mi nina biashara ya Tigo pesa,nisikufiche laki 5 haitoshi kwa kuanzia hasa kweny upatikanaji wa line.Kwa mfano Tigo line utaipata kwa kwa 250,000,Voda 150,000,Airtel 100,000 hapo bado gharama za frem labda 50,000 kwa mwez miezi 6 ni 300,000 bado hela ya mtaji labda 500,000 iyo ni kwa sehemu ambayo ni ya kawaida ila wastani wa ela ya luz in gush is isipungue 1,000,000.Hapo umejibana sana bado vitu kama meza,simu za kazi,mazingira ya usalama kama vile mlango wa gril n.k.
Maelezo hayo yatawaidia wengi,sio aliyeomba kujulishwa tu.
Mimi nafanya hii wapi uko kuna soko?Kama hutajali uwe distributor wa dagaa,ambao hawana nchanga na tayari wamepikwa na spices na chumvi na wamo ndani ya vifungashio.
Shukran
nilipo na soko lilipo? hebu nijuze naona kama sijakusoma vyemaMimi nafanya hii wapi uko kuna soko?
Kulingana na hali halisi ya sasa mimi ninakushauri ujiunge na kampuni inayofanya biashara ya kusambaza bidhaa za afya na usafi pia kilimo. Laki 5 zinatosha kuanzisha biashara inayoweza kukupa faida ya laki 3 hivi kwa mwezi. So mimi nakushauri njoo tufanye wote pamoja, ni rahisi kikubwa uwe na dhamira ya kutoka kimaisha na uvumilivu.Salamu kwenu wana jamii...
Kama heading inavyojieleza...
Ni biashara gani nayoweza kufanya kwa mtaji wa shilingi laki tano za kitanzania..?
Nahitaji mawazo yenu KAKA na DADA zangu wa jamii forums katika jambo hili..!