Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Weka banda la chips,halafu niajiri mimi kukuchomea chips za kiwango cha macdonald
 
Nimeelewa
 
Nimependa mchanganuo huu jaribu kuutumia mkuu
 
Mimi nabeba laki 5 pikipiki nalipa elf 25 narudi na mzigo wa uhakika unapotafuta kiki hata kama co mkinga inabidi uwe mgumu kwenye matumizi ya kizembe
 
umachinga unalipa sana unakuta una mtaji mdogo unaingza pesa kede
 
Kwa mtaji huo bidhaa au Huduma iwe akili yako, nguvu zako
Ili hiyo laki inunulie vitendea kaz vyake hapo lazima unakuwa millionaire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…