Aliyesema akafunge ubuyu nahisi alikuwa anatania..lakini, seriously kabisa ubuyu unalipa. Huu huu ubuyu unaoufahamu wewe.jf inaweza kukuua kwa kucheka,mtu anaambiwa akafunge ubuyu!!!jmn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyesema akafunge ubuyu nahisi alikuwa anatania..lakini, seriously kabisa ubuyu unalipa. Huu huu ubuyu unaoufahamu wewe.jf inaweza kukuua kwa kucheka,mtu anaambiwa akafunge ubuyu!!!jmn.
Kilo ya karanga imefika ngapi mkuu? Juzi naambiwa 3200 nikabaki na mshangao..inapanda kika siku.muombe mtu anaejua kukaanga karanga kwa kiwango kizuri akuelekeze kisha nunua uzinunue nunua karanga kwa jumla anza kukaanga na zifungashe vizuri kisha tafuta vijiwe maeneo ya stand,mashuleni,na sehemu zote zenye mkusanyiko wa watu,,kwa mtaji uo unatosha sana usione haya we fanya pia zingatia usafi na ww muda wote uwe smart,,,,ujasema uko wapi mimi niko arusha nauza karanga na mchele kwa bei ya jumla unaweza ukaniPM
Aliyesema akafunge ubuyu nahisi alikuwa anatania..lakini, seriously kabisa ubuyu unalipa. Huu huu ubuyu unaoufahamu wewe.
Mmmh huko kunakouzwa Lita 300 panafikika? Samahani lakini mi nanunua Lita moja 2000Huku kwetu kijijini lita inauzwa tsh 300. na ikifika mjini inauzwa tsh700. ukibeba lita 100 una faida ya kutosha
Sahihi mkuu,nakumbuka kipindi fulani niliwahi kusikia mazungumzo ya vijana fulani,mmoja wao alikuwa na shida yamtaji wa 50000 tuu,na alikuwa anazungumza kwa hamasa huku dalili zote za mtu aliepaniia kufanya kitu zikijibainisha wazi usoni mwake.***
Tatizo la sisi watanzania MTU akishapaa juu tu, huona kila kitu hakifai au hujenga dharau na vijimajigambo! even "50000/-" is a enough capital for certain business!/
Kakutana na miss chaggaUkute alikutana na Evelyn Salt badala ya kufanya biashara akabadili matumizi.
Panafikika vizuri sana, huwa nafata na toyo yangu asubuhi, kama saa moja tu kwenda na kurudiMmmh huko kunakouzwa Lita 300 panafikika? Samahani lakini mi nanunua Lita moja 2000
Nyinyi huwa hamsomi thread, nimesema kjjn unanunua 300sh kwa lita na unauza 700kwa lita mjini, (300 ni bei kama unachukua maziwa mengi kuanzia lita 40,)Hayo maziwa yanauzwaje kwa lita? Na atakuwa anabeba kiasi gani kwa siku?
Analipwa keshi au anakopesha?
Serengeti mkuuhayo maziwa wapi yanapatikana? plz
Wa kienyeji au kisasa ndugu!Hakika kuku wanalipa ila andaa dawa za minyoo pamoja na kideli makadirio sh 20000