Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Natumai Rabuka anajaalia wana JF kudra kenyekenye.

Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa kiume. Katika uchakarikaji wangu nimejikusanyia tsh laki tatu na nusu. Natamani niiwekeze kwenye shughuli itakayoniwezesha kusogea mbele ki mapato kuliko kuitapanya ovyo maana hela haiwekeki mfukoni.

Wajuzi wa JF, naombeni mwanga niiwekeze kwenye nini. Niko Kigamboni.

Karibuni sana kwa ushauri.
Uza bangi
 
Natumai Rabuka anajaalia wana JF kudra kenyekenye.

Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa kiume. Katika uchakarikaji wangu nimejikusanyia tsh laki tatu na nusu. Natamani niiwekeze kwenye shughuli itakayoniwezesha kusogea mbele ki mapato kuliko kuitapanya ovyo maana hela haiwekeki mfukoni.

Wajuzi wa JF, naombeni mwanga niiwekeze kwenye nini. Niko Kigamboni.

Karibuni sana kwa ushauri.
mkuu hapo kigamboni biashara ya mazao kama mchele,sembe na maharage,,vp mzunguko wake labda kama unafahamu,,,naatafuta flemu pande za kigamboni nifungue flame
 
Hata biashara ya mitumba inawezekana kwa kiwango hicho cha pesa halafu pia kama ulivyoshauriwa awali kuwa biashara ya matunda na juisi pia itafaa sana na inalipa lakini pia kwa biashara kama ya samaki ilikuwa poa kama ungekuwa na friji
 
Hata biashara ya mitumba inawezekana kwa kiwango hicho cha pesa halafu pia kama ulivyoshauriwa awali kuwa biashara ya matunda na juisi pia itafaa sana na inalipa lakini pia kwa biashara kama ya samaki ilikuwa poa kama ungekuwa na friji
Nashukuru mkuu kwa ushauri
 
Mimi nafanya biashara ya Mult level Marketing nilianza na mtaji wa laki 280 inanilipa nanaendelea vizuri kwa sasa. Nakushauri na wewe karibu laki tatu inaweza kuwa mtaji mkubwa sana kwa biashara hii. 0763797853 whatsap na live calls
Kampuni gani mkuu?
 
Habari zenu team! Tuungane kunishauri ni biashara gani naweza kuanzisha kwa sh laki tatu 300,000/= na ikanilipa ndani ya muda mfupi... Ushauri ndugu zanguni..Ahsanteni
Njoo manyara ufanye biashara ya mahindi!
 
MMMMHH:angry: NYIE WATU WA FOREVER, GNLD,RIFARO, NEPSTAR N.K SIO WATU WA KUWAAMINI BIASHARA YENUU NI VERY HARD AND TOUGH SANA... INAHITAJI CONVINCING POWER YA KUTOSHA... MMENIPOTEZEA MUDA SANA PASI NA KUAMBULIA KITU....

reimah usiende kwa hawa watu wa multi level marketing utakuja jutia hapo baadae
Nakubaliana na ww ndugu, nimewahi kujiunga FOREVER LIVING PRODUCT nilijuta na kalaki nne kangu na nusu kakapotea,
 
Back
Top Bottom