pesa six pack halisi
Member
- Oct 29, 2017
- 49
- 63
Tuko pamoja mkuuAsante kwa ushauri ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja mkuuAsante kwa ushauri ndugu
Mimi hufanya hivi:-Inakera....
Ukisema biashara hii ooh hiyo usijaribu, ukisema una mtaji huu ooh hautoshi ilmradi tu kukuvunja moyo!!!
Vidogo Vidogo Kama vile nini mkuu?mkuu anazaa na vidongo vidongo kwanza kwa nguo za special halafu za wanawake hiyo hela ndogo sana.
Na usipoomba ushauri ujue kuna kufeli pakubwa sanaMi nlivojifunza hadi sasa, ukiomba ushauri juu ya biashara lazima ukatishwe tamaa, lazima uambulie negativity...
Mkuu biashara hiyo inaweza kukutoa au kukukata, chamsingi ni jinsi utakavyoifanya iwe uniqNipo Mwanza nina mtaji wa laki tano Tshs. 500,000/= ninataka kufuata nguo za kike za special Kampala,Uganda nilete Mwanza kuuza, kwa wale wazoefu naombeni ushauri naweza kutoboa kwa huo mtaji? Ni ushauri gani unanipa.
Nilishaombaga ushauri wa biashara ya nguo kwa mtu aliekua ni wa makamo kdg japo yeye hali yake ni mbaya kdgInasikitisha sana kuona watanzania wengi hawapo tayari kutake risk,, hawatoi ushauri mzuri kwa vitu vya maendeleo and they are always hoping for the worse to happen!!!
Ili ufanikiwe ni lazma uwe risk taker.....ukiomba sana ushauri kwa bnadam wa sasa hautokaa uanzishe biashara yeyote!!!
Mkuu, we uskilize moyo wako tu,, Kumbe kuwa safari ndeefu huanzishwa na hatua moja tu
Natamani siku nieleze jinsi ninavyofanya shughuli zangu hapa, maana waliowengi mnadhani biashara lazima uwe na frem au usafiri
Mkuu kuandika gazeti mwenzio mvivu, ila ntatuma hapa hapa wote wafaidikeNiandikie mm PM mkuu. Maana ninahitaj sana business ideas.
Forex traiding ndo mpango mzima, soma nyuzi za Ontario kama hujui chochote kuhusu forex.Habari wadau wa JF nipeni ushauri mana vyuma vimekaza mtaan. Nina laki 3 nataka kufanya biashara ambayo kwa mwezi itakuwa na return ya million moja. Nipo Moro kwa sasa ila nafanya biashara popote..