dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kuandika tu, rahisi mnooowanapata faida hadi ya 25000 kwa day.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuandika tu, rahisi mnooowanapata faida hadi ya 25000 kwa day.
Naandika sio kama wengine. Naandika kwa uzoefu.kuandika tu, rahisi mnooo
Unaongea rahisi sana kuuza vikombe 100 sio mterezo kama unavyofikiriaInawezekana hata zaidi ya hio usikariri.
Kwani mama uji anaingiza bei gani kwa siku.
Vipi akiifungulia vijiwe vya kuuza uji,na vitafunio mbona hata huo mtaji wa laki2 still bado ni Mkubwa.
Akiweza uza vikombe 100 kwa siku asubui vikombe 50,jioni vikombe 50 kwa siku anapita hio 20 kwa siku.
Location kariakoo, magufuli stand, makumbusho stand, pugu mnadani, Buguruni sokoni, Ilala sokoni, soko la karume, ferry kivukoni, kigamboni fery,
Utajiri ni kutupa aibu pembeni.
40, 000!!! Kahawa!!Fungua kijiwe cha kahawa utauza asubuh na jion kila siku faida ni 40,000 maji dumu 2 za lita 20, kahawa ya elf 5, kashata za elf 5, mkaa elf 5 , vikombe elf 20, jiko la elf 5, sukar ya elf 10 na malimao ya buku
Una ajiri vijana watatu plus wewe wa nne KILA mmoja asubui auze vikombe 12 x4 na jioni 12 x 4.kwa siku jumla ifike target ya vikombe 100.Unaongea rahisi sana kuuza vikombe 100 sio mterezo kama unavyofikiria
Kama hujawahi fanya biashara kaa kimya we jamaaFUGA BROILER mwenyewe!
Wakishakuakua unaanza KUWAKAANGA eneo la stand unaweka na tundizi uchwara zile za mabibo za 50 50! Usisahau na tupilipili[emoji39]! Kuku mmoja unapata faida ya 3000 hapo minus operational costs! Ukiuza kuku 7 kwa siku una faida ya 21k!
Ukianza hii biashara nishtue nitakuja kukuungisha
Watakudanganya tu aisee hii ni pesa ya bia mdogo wangu pambana uwe na mtaji japo milioni 20 tunza hiyo akina kwanza.Habari za mida hii wana JF,
Naomba kuuliza, kwa mtaji wa Tsh 200, 000 naweza kuanzisha biashara gani hapa Dar itakayoniwezesha kutengeneza faida ya Tsh 20, 000 kwa siku!!
Msaada wenu tafadhari!!
20,000 faida baada ya kuwalipa vijana? Vijana wanalipwa sh ngapi?Nunua chupa za maziwa za kutosha
Na vikombe
Tafuta chimbo la maziwa fresh
Unachemsha pamoja na chai ya viungo
Unaajiri vijana or wadada wanasambaza mpaka saa nne 20,000 utakuwa nayo.
20,000 faida baada ya kuwalipa vijana? Vijana wanalipwa sh ngapi?
Nasubiria comment yake amalize thread! [emoji2]