echuma
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 311
- 80
laki nne mkuu
Idiot unategwa na wewe unaonyesha kiasi gani unaweza kuwa bendera, ndio maana mnafeli hata kwenye interview nyie shughulisha ubongo wako na kichwa sio kukurupuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
laki nne mkuu
kama huna la kumsaidia kaa pemben,sio kusema anaandika kihun.hapo mkuu kama utaweza hyo laki nne na nusu kafungue fixed acc. af iweke then bum lingine litakavoingia la mwanzo wa muhula tafuta kifrem ambacho utakua unalipia hata 40 kwa mwez afu anzisha hata biashara ya nguo za ndan kujumua dar tafuta wa kukujumulia na kuagiza,maelezo meng mno km vp tupia email au phone number ako nkupe idea cos we are on the same boataha kuandika kihuni wewe dogo
Mpesa kijana au Tigo Pesa.
Kwa haraka haraka fanya survey hapo chuo uone majority wanatumia mtandao gani wa simu sana kati ya tigo na voda.
Kwa uzoefu wangu wengi wao wana line za tigo. Sasa cha kufanya anza na biashara ya tigo Pesa coz tigo wanapanuka haraka sana kwa sasa kwenye tigo pesa. Pili ni cheap kuanza na tigo pesa koz hawana longo longo kama walivyo Voda.
Kingine ni kwamba wateja wengi sasa hivi wa mitandao ya simu wanatumia huduma hizi mbili kwenye mobile pesa kati ya voda na tigo so lazima utapata wateja wa kutosha.
Commission yake iko vizuri so jiunge huko uanze biashara mzee. Uzuri wa hiyo kitu unaanza kula faida mapema ukiwa hauna stress halafu unaweza ku manage vizuri biashara yako hautahitaji mtu wa kuajiri mpaka itakapo panuka zaidi huko mbele. Unaweza jikuta unaanza kujiajiri mapema hata ukimaliza usiwe na hamu tena ya ajira.
Habari wana jf mm ni mwanafunzi wa chuo natarajia kuhitimu chuo mwakani Mungu akipenda na ningependa kuanzisha biashara yangu ndogo naombeni mawazo yenu ni biashara gani ndogo itakayonitoa
Habari wana jf mm ni mwanafunzi wa chuo natarajia kuhitimu chuo mwakani Mungu akipenda na ningependa kuanzisha biashara yangu ndogo naombeni mawazo yenu ni biashara gani ndogo itakayonitoa
Habari wana jf mm ni mwanafunzi wa chuo natarajia kuhitimu chuo mwakani Mungu akipenda na ningependa kuanzisha biashara yangu ndogo naombeni mawazo yenu ni biashara gani ndogo itakayonitoa