Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 810
huu uzi peleka kule jukwaa husika ndugu waweza pata ushauri mzuri zaidi. ila upo mkoa gani? na pia anza kuangalia hapo hapo chuoni kwako kuna mahitaji gani? mfani waweza anza kuuza limu kwa bei rahisi na yenye faida, au ukanunua flash na external kisha ukaanza kuuza.