Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉

Mkuu Hakika Wewe Ni Binadamu Na Siyo Mtu. Binafsi Nimekukubali Na Tanzania Yetu Ingepata Watu Kama Nyie Sasa Tungekuwa Mbali Sana Kimaendeleo. Na Mimi Pia Umenipa Darasa Zuri na Tosha.

Nakuombea Maisha Mema Na Marefu Na Endelea Hivyo Kusaidia Kutoa Ushauri Kwa Wanadamu Wenzako Na Ipo Siku Mwenyezi Mungu Atakulipa Maradufu.
 
hilo suala la samaki awe makini kweli sis,

siku moja niliamua kwenda Igombe kufanya utafiti juu ya uuzwaji wa samaki, kukweli watu wa pale wengi si wakweli, wengi wanaongea mambo ambayo ukiyasikiliza ni kama wanalinda soko lao binafsi...

Biashara ya samaki ni nzuri, ila kama kawaida ya biashara, lazima apambane na risks mbali mbali.

ungechanganua hizo risk sasa!
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉
Wonderful Idea !
 
Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe
Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast ichukue kwa 400000
Huna haja ya kununu liquid soap you can make it by your own at your home.
Huna haja ya kukodi frem..tafuts eneo lavwazo hapo nyumbani kwako au chumba cha wazi
Tafuta hosteli na vyuo vyenye mkusanyiko wa watu wengi maeneo ya karibu yako..bandika ads kwamba unafua na kupasi nguo za wanafunzi na watu wengine kwa bei nafuu na ofa maalumu plus nguo za aina yoyote..lets say unafua na kupasi T-shirt na jeans kwa 2500 each@1250 plus ofa ya kufua boxer na vest/sidiria na chupi bure kwa mhusika mmoja..
400000 ivunje kama ifuatavyo:
toa 50000 nunua baiskeli
toa 100000 ingia mkataba wa miezi mitano kwanza na kijana mdogo kutoka uswekeni ambaye hana ajira wa kumlipa 20000 kila mwezi plus allowance ya 500 kwa kila complete order anayoileta(ya 2500)..mpe baiskel kwaajili ya kuchukua na kurudisha order za watu.huyu kijana usisahau kumpa motisha za malazi chakula na matibabu.
Imebaki 250000:Ivunje kama ifuatavyo
Toa 50000 nunua pasi na perfumes mbili moja ya kike na moja ya kiume(perfume ni mbwembwe tu kwa wateja wako)
Toa 30000 nunua enga za bei rahisi au tafuta muuza mitumba akuelekeze material ya kununua kwa ajili kutengeneza enga za gharama nafuu..hizi enga zitumike kutudukia na kudeliver nguo za watu..ila zisibaki kwa wateja.
Toa 30000 tengeneza kijikabti au sanduku nyuma ya ile baiskeli kwaajili ya kucollect na kudeliver order za watu.
Imebaki 140000 toa 50000 ingia mkataba na muuza maji wa karibu yako kuchukua dumu tatu kwa hesabu ya 750 kila siku za kazi kwa muda wa miez miwili..NB:Kama una'access na maji ya bure hii ni salama yako
Imebaki 90000 toa 40000 kwaajili ya kununua liquid soap materials pamoja na jiki material ya kutengeneza jiki nyumbani..
Imebaki 50000 toa 35000 iweke iwe pesa ya kulipia gharama za umeme kwa kipindi cha atleast mwezi mmoja na nusu..na 15000 kwaajili ya yale mabandiko ya printed white paper kama matangazo NB:inabidi wewe na yule kijana muwe nembo muhimu ya kuitangaza biashara yenu msitegemee mabandiko tu.
Kilichobaki ni kuanza kazi na kusubiri mvua ya wateja itakayo kuwa ikimiminika hapo ulipo..
Zingatia huduma nzuri kwa wateja wako.Na pia zingatia ulichowekeza na utakachokuwa ukikipata kama faida...pia zingatia ghatama nafuu kwakila huduma ya kuzisafisha nguo za wateja wao..lengo ni kuwa'outstand major dry cleaning franchises na kuprovide huduma kama yao ila kwa bei nafuu..Zaidi ya hapo SEE YOU AT THE TOP..WISHING YOU ALL THE BEST 😉

Libarikiwe tumbo lililo kuzaa..........:A S thumbs_up:
 
Shikamoon kwanza wakuu,

Mimi ni kijana mdogo sana,nimemaliza kidato cha nne na natarajia mwez wa 10 niende chuo lakini ada ni tatizo.Nilipokuwa shule nliweza kujiwekea hela na sasa nina lak 2 nataka izalishe ili nipate hela ya ada.

Naombeni ushauri wenu.
 
Habari zenu wakuu, sina ajira tokea nimemaliza chuo,nilikuwa namdai mtu 100,000 na leo kanipa hyo pesa, naomba ushauri kuhusu biashara ninayoweza kufanya kwa mtaji huo. Nipo Songea.
 
Unaeza nunua samaki wabichi kama wa shs 30,000 na mafuta lita 5,tafuta makuni,tenga kaangio hapo uanze kaanga samaki! Ikiwezekana fungua na genge hapohapo! Kwa capital yako biashara km hiyo ni rahisi na waweza pata faida nzuri tu.Hapo aibu weka pembeni
 
Alivyokushauri ynaa siyo mbaya ni nzuri, ila ungekuwa dar ningekushauri kama ungekuwa na mtu anayeuza vyombo, siku hizi kuna watu wengi sana wanauza uza vyombo barabarani, ungempa hiyo hela kama kuongezea mtaji(ila uwe unamfahamu na awe mwaminifu) yeye atakuwa anakupa kila siku 5000 ambayo kwa mwezi kama sijakosea utakuwa na 150000

Utamuongezea mtaji kidogo ili hata hela yako ya kupata inaongezeka kufikia 10000, mbayo kwa mwezi wa pili utapata 300000 waweza endelea kujipanga. mi niliwashauri wadada wangu wakazi kufanya hivyo ili kuweza kujiwekea akiba endapo atataka kuacha kazi apate kitu cha kwenda kuanzia mtaani nje ya mshahara wake. nawanafanyiwa vizuri sana na hao wakaka(nadhani hii kitu watu hawaifahamu)
 
alivyokushauri ynaa siyo mbaya ni nzuri, ila ungekuwa dar ningekushauri kama ungekuwa na mtu anayeuza vyombo, siku hizi kuna watu wengi sana wanauza uza vyombo barabarani, ungempa hiyo hela kama kuongezea mtaji(ila uwe unamfahamu na awe mwaminifu) yeye atakuwa anakupa kila siku 5000 ambayo kwa mwezi kama sijakosea utakuwa na 150000,utamuongezea mtaji kidogo ili hata hela yako ya kupata inaongezeka kufikia 10000, mbayo kwa mwezi wa pili utapata 300000 waweza endelea kujipanga. mi niliwashauri wadada wangu wakazi kufanya hivyo ili kuweza kujiwekea akiba endapo atataka kuacha kazi apate kitu cha kwenda kuanzia mtaani nje ya mshahara wake. nawanafanyiwa vizuri sana na hao wakaka(nadhani hii kitu watu hawaifahamu)

asante mkuu kwa ushauri
 
alivyokushauri ynaa siyo mbaya ni nzuri, ila ungekuwa dar ningekushauri kama ungekuwa na mtu anayeuza vyombo, siku hizi kuna watu wengi sana wanauza uza vyombo barabarani, ungempa hiyo hela kama kuongezea mtaji(ila uwe unamfahamu na awe mwaminifu) yeye atakuwa anakupa kila siku 5000 ambayo kwa mwezi kama sijakosea utakuwa na 150000,utamuongezea mtaji kidogo ili hata hela yako ya kupata inaongezeka kufikia 10000, mbayo kwa mwezi wa pili utapata 300000 waweza endelea kujipanga. mi niliwashauri wadada wangu wakazi kufanya hivyo ili kuweza kujiwekea akiba endapo atataka kuacha kazi apate kitu cha kwenda kuanzia mtaani nje ya mshahara wake. nawanafanyiwa vizuri sana na hao wakaka(nadhani hii kitu watu hawaifahamu)[/QUOT ni kitu kizuru je security ya huyo unaempa pesa itakuwa ni nini thats momey bro!
 
alivyokushauri ynaa siyo mbaya ni nzuri, ila ungekuwa dar ningekushauri kama ungekuwa na mtu anayeuza vyombo, siku hizi kuna watu wengi sana wanauza uza vyombo barabarani, ungempa hiyo hela kama kuongezea mtaji(ila uwe unamfahamu na awe mwaminifu) yeye atakuwa anakupa kila siku 5000 ambayo kwa mwezi kama sijakosea utakuwa na 150000,utamuongezea mtaji kidogo ili hata hela yako ya kupata inaongezeka kufikia 10000, mbayo kwa mwezi wa pili utapata 300000 waweza endelea kujipanga. mi niliwashauri wadada wangu wakazi kufanya hivyo ili kuweza kujiwekea akiba endapo atataka kuacha kazi apate kitu cha kwenda kuanzia mtaani nje ya mshahara wake. nawanafanyiwa vizuri sana na hao wakaka(nadhani hii kitu watu hawaifahamu)[/QUOT ni kitu kizuru je security ya huyo unaempa pesa itakuwa ni nini thats momey bro!

mi ni mdada, pia kama umenipata vizuri nimeongelea jambo la kuaminiana na kufahamiana, sidhani kama unaweza kumpa pesa mtu usiyemfahamu,
 
Back
Top Bottom