The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ukisoma Biblia , 2 Timotheo 2: 19 Mungu anasema yeye anawajua watu wake hata kabla hajaumba misingi ya ulimwengu.
Ukisoma tena Mathayo 22:14 Biblia inasema walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.
Kwa msingi huo wewe unaweza ama inawezekana umeitwa tu, yaani umekuja tu Duniani lakini Mungu alishakukataa toka hujazaliwa, yaani kabla hata hajawaza kuumba Ulimwengu (Universe).
Kwa msingi huo ni kwamba unaweza kujikuta wewe ni reject from the beginning. Hata ufanyeje, wewe ni reject tu.
Kwa maneno hayo ya Biblia ni kwamba Mungu aliumba watu wengine kuja duniani kufurahisha na kupoteza muda, hawana chao mbinguni hata wafanyeje, yaani unaweza kujikuta unaomba na kulia machozi yote na hata kunena kwa lugha mungu akini hujibiwi maombi ni kwa sababu wewe ni reject muda mrefu maombi yako unapoteza muda bure
Wa maana nyingine unaweza kujikuta Mungu anakuangalia tu na kucheka na kusema huyu angejua anapoteza tu muda hapa, ananipigia kelele kwani tayari alishakukataa kabla hujaumbwa.
Unaweza kusema kwamba mungu aliumba hii dunia na watu kwa ghelesha tu lakini nia yake na mipango yake alishaipanga huko kabla Dunia haijaumbwa na huna cha kufanya kuibadilisha.
Kwa kuhitimisha ni kwamba hizi dini ni ghelesha tu, hazina maana yoyote kwani mungu alishafanya maamuzi yake kabla hata ya kuja hizi dini.
Sijataka kuongelea Quran maana ile ni worst case.
Ukisoma tena Mathayo 22:14 Biblia inasema walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.
Kwa msingi huo wewe unaweza ama inawezekana umeitwa tu, yaani umekuja tu Duniani lakini Mungu alishakukataa toka hujazaliwa, yaani kabla hata hajawaza kuumba Ulimwengu (Universe).
Kwa msingi huo ni kwamba unaweza kujikuta wewe ni reject from the beginning. Hata ufanyeje, wewe ni reject tu.
Kwa maneno hayo ya Biblia ni kwamba Mungu aliumba watu wengine kuja duniani kufurahisha na kupoteza muda, hawana chao mbinguni hata wafanyeje, yaani unaweza kujikuta unaomba na kulia machozi yote na hata kunena kwa lugha mungu akini hujibiwi maombi ni kwa sababu wewe ni reject muda mrefu maombi yako unapoteza muda bure
Wa maana nyingine unaweza kujikuta Mungu anakuangalia tu na kucheka na kusema huyu angejua anapoteza tu muda hapa, ananipigia kelele kwani tayari alishakukataa kabla hujaumbwa.
Unaweza kusema kwamba mungu aliumba hii dunia na watu kwa ghelesha tu lakini nia yake na mipango yake alishaipanga huko kabla Dunia haijaumbwa na huna cha kufanya kuibadilisha.
Kwa kuhitimisha ni kwamba hizi dini ni ghelesha tu, hazina maana yoyote kwani mungu alishafanya maamuzi yake kabla hata ya kuja hizi dini.
Sijataka kuongelea Quran maana ile ni worst case.