Kwa mujibu wa Biblia, unaweza kujikuta wewe ni mmoja ya watu ambao Mungu aliwakataa hata kabla hawajazaliwa

Kwa mujibu wa Biblia, unaweza kujikuta wewe ni mmoja ya watu ambao Mungu aliwakataa hata kabla hawajazaliwa

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Ukisoma Biblia , 2 Timotheo 2: 19 Mungu anasema yeye anawajua watu wake hata kabla hajaumba misingi ya ulimwengu.

Ukisoma tena Mathayo 22:14 Biblia inasema walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.

Kwa msingi huo wewe unaweza ama inawezekana umeitwa tu, yaani umekuja tu Duniani lakini Mungu alishakukataa toka hujazaliwa, yaani kabla hata hajawaza kuumba Ulimwengu (Universe).

Kwa msingi huo ni kwamba unaweza kujikuta wewe ni reject from the beginning. Hata ufanyeje, wewe ni reject tu.

Kwa maneno hayo ya Biblia ni kwamba Mungu aliumba watu wengine kuja duniani kufurahisha na kupoteza muda, hawana chao mbinguni hata wafanyeje, yaani unaweza kujikuta unaomba na kulia machozi yote na hata kunena kwa lugha mungu akini hujibiwi maombi ni kwa sababu wewe ni reject muda mrefu maombi yako unapoteza muda bure

Wa maana nyingine unaweza kujikuta Mungu anakuangalia tu na kucheka na kusema huyu angejua anapoteza tu muda hapa, ananipigia kelele kwani tayari alishakukataa kabla hujaumbwa.

Unaweza kusema kwamba mungu aliumba hii dunia na watu kwa ghelesha tu lakini nia yake na mipango yake alishaipanga huko kabla Dunia haijaumbwa na huna cha kufanya kuibadilisha.

Kwa kuhitimisha ni kwamba hizi dini ni ghelesha tu, hazina maana yoyote kwani mungu alishafanya maamuzi yake kabla hata ya kuja hizi dini.

Sijataka kuongelea Quran maana ile ni worst case.
 
Mkuu kwa upande wangu naona inaweza kuwa alimaanisha ya kuwa anajua matendo ya wale ambao angewachagua watatenda,kwa hiyo Mungu anawachagua walio wake kulingana na matendo yao. kumbuka sis wanadamu ni free moral agents tuko huru kuchagua..
Na ndo sababu mhubiri 7:1,2..inasema "SIKU YA KUFA NI BORA KULIKO SIKU YA KUZALIWA", unapokufa unakuwa umejiwekea rekodi ya kuwa ww n mtu wa aina gani.
 
Huenda baadhi ya watu Mungu hawafahamu, unaweza ukawa unapasua sana Sala kumbe Mungu hakujui!
 
Yote yalimalizwa pale karivary

Na yale yote tusiyo yaelewa atatuelezea mwenyewe kristo pindi atakapo rudi tuokoke na kumuishi kristo tutende mema na mengine kama hayo

Huna utakacho poteza kufanya hivyo Trust me

Amani iwe nawe.
 
Ukisoma Biblia , 2 Timotheo 2: 19 Mungu anasema yeye anawajua watu wake hata kabla hajaumba misingi ya ulimwengu.

Ukisoma tena Mathayo 22:14 Biblia inasema walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.

Kwa msingi huo wewe unaweza ama inawezekana umeitwa tu, yaani umekuja tu Duniani lakini Mungu alishakukataa toka hujazaliwa, yaani kabla hata hajawaza kuumba Ulimwengu (Universe).

Kwa msingi huo ni kwamba unaweza kujikuta wewe ni reject from the beginning. Hata ufanyeje, wewe ni reject tu.

Kwa maneno hayo ya Biblia ni kwamba Mungu aliumba watu wengine kuja duniani kufurahisha na kupoteza muda, hawana chao mbinguni hata wafanyeje, yaani unaweza kujikuta unaomba na kulia machozi yote na hata kunena kwa lugha mungu akini hujibiwi maombi ni kwa sababu wewe ni reject muda mrefu maombi yako unapoteza muda bure

Wa maana nyingine unaweza kujikuta Mungu anakuangalia tu na kucheka na kusema huyu angejua anapoteza tu muda hapa, ananipigia kelele kwani tayari alishakukataa kabla hujaumbwa.

Unaweza kusema kwamba mungu aliumba hii dunia na watu kwa ghelesha tu lakini nia yake na mipango yake alishaipanga huko kabla Dunia haijaumbwa na huna cha kufanya kuibadilisha.

Kwa kuhitimisha ni kwamba hizi dini ni ghelesha tu, hazina maana yoyote kwani mungu alishafanya maamuzi yake kabla hata ya kuja hizi dini.

Sijataka kuongelea Quran maana ile ni worst case.
2Timotheo 2:19Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”
Wajibu wako ni kuachana na uovu kama wataka kuwa miongoni mwa wateule
Mathayo 22:14 inasema Wengi wamealikwa lakini wachache wameteuliwa. Hapo ni kwamba walio tii ndo wanateuliwa. Ukisoma kisa chote cha Mathayo 22 watu walialikwa na kupewa mavazi ya harusi lakini kuna mwamba kaingia bila vazi la harusi, huyo hakutii
Tii maagiza ya Mungu nawe utaitwa mteule
 
Hoja yako ina ukweli kwa asilimia kubwa mno,ni hivi nilisoma utafiti wa kisayansi uliondikwa na David Acke,huyu ni muingereza anasema hapa Dunia kuna viumbe waliofafana na wanadamu lakini sio wanadamu.Anadai miaka millions zilizopita kulikuwa na viumbe ambao wanaitwa wanafelis ambao walifanya interbreed na wanadamu wenye asili ya Mungu,kwa lengo la kufanya shiftingshape..lengo lao nikuwa miongoni mwa wanadamu ili waweza kuwa control wanadamu kwa kugain political power.

Na kwa mujibu wa David Acke anasema hawa wanaasili ya Reptilians,nahisi kama sio DNA zao basi itakuwa RNA zai zinasoma kule kwa Reptilians.

Ili uweze kuwagundua kitabia
Wana Lower blood pressure
Wana unexplainable scars kwenye mili yao
Pia ni Evil sana kitabia
Pia wanauweo wa kuona mbali pasipo kutumia miwani
 
2Timotheo 2:19Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”
Wajibu wako ni kuachana na uovu kama wataka kuwa miongoni mwa wateule
Mathayo 22:14 inasema Wengi wamealikwa lakini wachache wameteuliwa. Hapo ni kwamba walio tii ndo wanateuliwa. Ukisoma kisa chote cha Mathayo 22 watu walialikwa na kupewa mavazi ya harusi lakini kuna mwamba kaingia bila vazi la harusi, huyo hakutii
Tii maagiza ya Mungu nawe utaitwa mteule
Jamaa hakumalizia sentensi mhuni Hy, Bora umeweka wazi mambo
 
Huenda baadhi ya watu Mungu hawafahamu, unaweza ukawa unapasua sana Sala kumbe Mungu hakujui!
Ni sahihi. Watu wengi mungu hawajui.

Kwa maana hiyo ni kwamba watu wengi wanapoteza muda wao bure tu kuomba na kuabudu, mungu hawajui na hawatambui.

Ndio maana biblia inasema siku ya mwisho mungu atawakana watu kua hawajui.
 
2Timotheo 2:19Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”
Wajibu wako ni kuachana na uovu kama wataka kuwa miongoni mwa wateule
Mathayo 22:14 inasema Wengi wamealikwa lakini wachache wameteuliwa. Hapo ni kwamba walio tii ndo wanateuliwa. Ukisoma kisa chote cha Mathayo 22 watu walialikwa na kupewa mavazi ya harusi lakini kuna mwamba kaingia bila vazi la harusi, huyo hakutii
Tii maagiza ya Mungu nawe utaitwa mteule
Bwana anawafahamu walio wake, kwa hiyo kuna wengine ambao sio wake toka kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu ambao hawafahamu na hata siku akiwaona atashangaa maana hawafahamu, they never existed kwenye akili yake.

Kwa hiyo dini ni utapeli tu wa kupotezeana muda kwani mungu anawajua walio wake kitambo.
 
tuanze na ccm
Omba radhi hapo hapo ulipo huku ukiwa umepiga magoti na kuinamisha kichwa chini, kwa haraka sana, huna adabu watoto wa miaka ya 90 mna shida sana 😡😡
 
Mkuu kwa upande wangu naona inaweza kuwa alimaanisha ya kuwa anajua matendo ya wale ambao angewachagua watatenda,kwa hiyo Mungu anawachagua walio wake kulingana na matendo yao. kumbuka sis wanadamu ni free moral agents tuko huru kuchagua..
Na ndo sababu mhubiri 7:1,2..inasema "SIKU YA KUFA NI BORA KULIKO SIKU YA KUZALIWA", unapokufa unakuwa umejiwekea rekodi ya kuwa ww n mtu wa aina gani.
... haijapata kuandikwa ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe? Tena akasema, njooni kwangu ninyi msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha?
 
Maana yake bora usijishughulishe kabisa na Mungu ili kama upo miongoni mwa walio wake utachaguliwa tu!! Nadhani hujalitendea haki hilo andiko.
 
Kuna Binadamu na Watu.

BinAdam Ni uzao wa Adam ... Ila Wa-tu ..ndio wale waliokuwa upande wa pili mbali ambako Kaini alikwenda kuishi baada ya kulaaniwa na kutiwa alama kwa kosa la kumuua ndugu Yake!

Patamu hapo.. ..Ni kwamba huwezi jua au kutofautisha Kati ya Binadamu na Watu!inaweza kuwa hata Mimi na wewe sio binAdam!

Na hapo hapo Adam mwenyewe si bin Adam .Ni Adam!
 
Ukisoma Biblia , 2 Timotheo 2: 19 Mungu anasema yeye anawajua watu wake hata kabla hajaumba misingi ya ulimwengu.

Ukisoma tena Mathayo 22:14 Biblia inasema walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.

Kwa msingi huo wewe unaweza ama inawezekana umeitwa tu, yaani umekuja tu Duniani lakini Mungu alishakukataa toka hujazaliwa, yaani kabla hata hajawaza kuumba Ulimwengu (Universe).

Kwa msingi huo ni kwamba unaweza kujikuta wewe ni reject from the beginning. Hata ufanyeje, wewe ni reject tu.

Kwa maneno hayo ya Biblia ni kwamba Mungu aliumba watu wengine kuja duniani kufurahisha na kupoteza muda, hawana chao mbinguni hata wafanyeje, yaani unaweza kujikuta unaomba na kulia machozi yote na hata kunena kwa lugha mungu akini hujibiwi maombi ni kwa sababu wewe ni reject muda mrefu maombi yako unapoteza muda bure

Wa maana nyingine unaweza kujikuta Mungu anakuangalia tu na kucheka na kusema huyu angejua anapoteza tu muda hapa, ananipigia kelele kwani tayari alishakukataa kabla hujaumbwa.

Unaweza kusema kwamba mungu aliumba hii dunia na watu kwa ghelesha tu lakini nia yake na mipango yake alishaipanga huko kabla Dunia haijaumbwa na huna cha kufanya kuibadilisha.

Kwa kuhitimisha ni kwamba hizi dini ni ghelesha tu, hazina maana yoyote kwani mungu alishafanya maamuzi yake kabla hata ya kuja hizi dini.

Sijataka kuongelea Quran maana ile ni worst case.
Worst case scenario?, Usiwachokoze hawana subira.
 
Bwana anawafahamu walio wake, kwa hiyo kuna wengine ambao sio wake toka kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu ambao hawafahamu na hata siku akiwaona atashangaa maana hawafahamu, they never existed kwenye akili yake.

Kwa hiyo dini ni utapeli tu wa kupotezeana muda kwani mungu anawajua walio wake kitambo.
... Chief hata wewe mwenyewe vilivyo vyako si unavifahamu? Sembuse Mungu asifahamu walio wake? Unajificha nyuma ya maneno "kabla ya kuumbwa ulimwengu"; kwani kabla ya kuumbwa ulimwengu hapakuwa na viumbe wengine? Basi, viumbe vyote (wanadamu, malaika, n.k.) Mungu anawafahamu waliomtii na kulishika neno lake toka kabla ya kuumbwa ulimwengu hadi sasa; hao ndio walio wake. Mbona iko clear?
 
Back
Top Bottom