Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mpaka miaka 10 ya Samia ipite mtashikwa na vidonge vya tumbo sugu, nyie wanafiki, mnasahau Makonda, Mnyeti na Sabaya walivyokuwa mabilionea kisa kuchaguliwa kuwa RC au DC leo mnapata wapi ujasiri wa kumkosoa Samia?Awamu hii watu woote wenye ukaribu na msoga ndio wanaoitafuna nchi...jk mwenyewe kila leo anadaka mwewe huyoo ulaya kutafuna kodi zetu
Enzi za jiwe muda woote yupo msoga analima mananasi na kucheza bao!