Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Yaani anahujumiwa vipi wakati kapangua kila kitu na ameunda timu yake. Si huyu huyu aliyesema mashine zimetumika mfululizo kwa hiyo ye alipoingia tu zikafa.
😗😂😂😂
 
Mkuu mbona unataka kumkaanga JM, mtu hata miezi mitatu bado hajaimaliza kwenye hiyo nafasi tayari amekuwa sumukuvu? Tumpe nafasi manake naona ana vitu anavitayarisha na siku vikikamilika atatuvusha.
Mbona kapewa muda mfupi tu,makelele ya magenerator yanasumbua mbaya sana mjini.Miaka 4 nyuma hatukuwahi kusikia hayo makelele.Ama kweli mtanikumbuka.
 
Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
Hiyo upstairs unayoisema amefanya nini? Watu wanataka matokeo sio uelewa.
Bila unafiki huyu kijana zaidi ya kile nacho ni cha kusikia sikuona kuwa ndiye aliyekuwa kwenye talling center uchaguzi fulani na kukwapua kura sijawahi kuona amefanya nini?

Bora Lijuakali, au msukuma na bwege
 
Katika vitu ambavyo huyu mama ataviepuka ni kutumbua watu aliowateua yeye. Sababu ye anaamini akiwatengua itaonyesha ni udhaifu wake yeye aliyeteua, ikumbukwe ameshaonekana ana mapungufu. Atabaki kutumbua watu wa mtangulizi wake tu. Pia hawa anaowateua wengi ni mkakati kwa ajili ya 2025.
Kama anataka kwa rais wa maisha aimarishe vyombo vya usalama na tume, wengine wanampotezea tuning tu
 
Nyie wapuuzi kutwa mnamtukana Samia kwa kutumwa na Kalle manii , nyie mna chuki tangu huyo mtu wenu afutwe uwaziri, Wala hamna Nia njema na Rais wapuuzi nyie,huo ushauri wenu pelekeni Chato wajinga wakubwa !!
Kwahiyo eat sperm ndio anatembea na mkasi wa kukata nyaya za umeme ukatike ili amkomoe waziri wa taa na maji baridi
 
Mtoa Mada kwani waziri ni fundi wa Tanesco? Kwanini unashindwa kuwa reasoning kwenye mfumo kazi wa Tanesco mpaka uone waziri pekee ndiye anayeweza kuzuia hitilafu ya umeme?" Ina maana hata umeme ukikatika mtaani kwako utasema ni waziri anahusika. Kumbe wanabadilisha nguzo za miti na kuweka nguzo za zege, acha chuki binafsi jiongeze kwa kupanua uwezo wako wa kufikiri.
Sasa mkuu nani mwenye dhamana na maji baridi, bisi, U fresh, kipupwe ndani ya house, kuchomea mageti n.k ni fundi wa wiring, anayedandia nguzo au anaanza na neno Mh spika?
Fundi asipopanda juu nani alaumiwe?
Kama Zamani money alikuwa hatoshi mama alifanya vzr kumtoa na huyu hatoshi aondoke apewe hii hata Financial service au Darlin
 
kwaiyo yule sukuma mwenzenu Kale man ndio alikuwa smart Sana??! Ukabila na udini unawasumbua wapuuzi nyie,

Mnataka Rais awasikilize wakati kutwa mnamtukana
Hivi wewe unatumia akili au mavi kichwani yani watu wakilalamikia umeme unapatikana kwa shida mpumbavu wewe unakuja na ajenda yako ya ukabila jinga kabisa.
 
Hivi wewe unatumia akili au mavi kichwani yani watu wakilalamikia umeme unapatikana kwa shida mpumbavu wewe unakuja na ajenda yako ya ukabila jinga kabisa.
hakuna Sehemu yoyote umeme unakatika masaa zaidi ya 24hr ,,

Maana nyie kwa ujinga wenu mna maanisha kuwa wakati wa Ngosha umeme ulikuwa upo stable!,
 
Back
Top Bottom