Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
- Thread starter
- #41
Ulitaka nifanyeje kwenye situation kama hiyo scolastikaDuh,kwa staili hii mtu wa kuoa unampataje,alafu mnasema eti kuolewa ni bahati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka nifanyeje kwenye situation kama hiyo scolastikaDuh,kwa staili hii mtu wa kuoa unampataje,alafu mnasema eti kuolewa ni bahati
Mwanamke aliyeko na wewe kwenye mahusiano sababu unampa pesa, sio mtu mzuri mshamba_hachekwiBalqior jibu hapa mkuu
Lakini nilivomuelewa macho_mdiliko ni kwamba hela imetumika kama mtihani(mtihani si lazima uwe mgumu) alafu ukifaulu unamwagiliwa mbussu[emoji23]Mwanamke aliyeko na wewe kwenye mahusiano sababu unampa pesa, sio mtu mzuri mshamba_hachekwi
Hapana,hata kama mtu ulikuwa na mpango mzuri naye unamdisvalue mda huohuo,hiyo cha mtoto mtoko wenyewe ndo angejua hajuiJamaa anafukuza njiwa mapema sana......[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi namlaumu mdada,amejidhalilisha na nyie wanaume mmezidi kuomba namba,mie kuna laini yangu huwa hewani maramoja moja yaani sinaga kazi nayo ndo huwa nawapa sipendi kutongozwa tongozwaUlitaka nifanyeje kwenye situation kama hiyo scolastika
Wanawake wakiswahili mwili wake ndo mtaji, kupanda cheo kufanikiwa kisiasa kimaisha nk mwili unatumika Sana. Tumia uende zakoyan apo anashangaa mbona kama umemuwahi kumuacha ,imekuwa ghafra sana...!!
kwa hio style utafirisika mkuu. Na madem wa siku hz ukiwa mtoaji ndo wanakuona boya wa mwisho kabisa.Inawezekana alitaka kukuudhi mawasiliano yafe kwahiyo umeingia moja Kwa moja kwenye plan yake...
Next time kama amekuvutia kweli muulize hela ya nini...
Akisema ya saloon mwambie mbona ndogo?itamtosha?halafu mtumie mara 2 au 3 ya alioomba...
Hahahah demu kama hajakupenda anakula elfu ishirini halafu analeta na dharau juu kwamba kwa vile umempa elfu 20 ndio unaona imekuwa sababu ya kumsumbua sumbua.Lakini nilivomuelewa macho_mdiliko ni kwamba hela imetumika kama mtihani(mtihani si lazima uwe mgumu) alafu ukifaulu unamwagiliwa mbussu[emoji23]
Mwanaume wa maana ndio anaombwa hela kabla hata ya first date? 🤣 Au huko kwenye hio 1st date ndio unaenda kuonyesha ushamba zaidi ukihisi kuagiza vya gharama ndio utaonekana classic? 🤣Hapana,hata kama mtu ulikuwa na mpango mzuri naye unamdisvalue mda huohuo,hiyo cha mtoto mtoko wenyewe ndo angejua hajui
Mwanamke ukikaa hovyohovyo usitegemee kupata mwanaume wa maana
Anapewa 16,000/= tuHujasomea kyuba nn?hiyo mbao anaijia gheto,na anaipata baada ya kukunjwa
Unampaje hela mtu bila kuifanyia kazi wewe ni dona kantrey ama? 🤣 🤣 🤣kwa hio style utafirisika mkuu. Na madem wa siku hz ukiwa mtoaji ndo wanakuona boya wa mwisho kabisa.
Tatizo liko kwenye nywele za rasta za kumwagika mgongoni,rangi za kucha na kucha za bandia,suruali za kubana ili vihipsi vichomoze,kusuguliwa miguu na mapaja,my friend umeshawahi kujiuliza hela wanapata wapi? NA ukute hela alikopa,hasira zote zinakuishia wewe...Ni kweli kabisa. Hadi sisi wenye nia ya kuoa tunashindwa kutofautisha yupi ni wife material na yupi ni kahaba
Tena double, aisee kwangu hata senti hapanaUnampaje hela mtu bila kuifanyia kazi wewe ni dona kantrey ama? 🤣 🤣 🤣
Dah!...hizi date zina mengi zama hizi..Mwanaume wa maana ndio anaombwa hela kabla hata ya first date? 🤣 Au huko kwenye hio 1st date ndio unaenda kuonyesha ushamba zaidi ukihisi kuagiza vya gharama ndio utaonekana classic? 🤣
Kama umeolewa au una mtu wako permanent ni vyema hata usitoe namba kabisa, ila kama upo single usitubanie bhana toa namba tujenge maisha.Mi namlaumu mdada,amejidhalilisha na nyie wanaume mmezidi kuomba namba,mie kuna laini yangu huwa hewani maramoja moja yaani sinaga kazi nayo ndo huwa nawapa sipendi kutongozwa tongozwa