Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝Wanawake wakiswahili mwili wake ndo mtaji, kupanda cheo kufanikiwa kisiasa kimaisha nk mwili unatumika Sana. Tumia uende zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝Wanawake wakiswahili mwili wake ndo mtaji, kupanda cheo kufanikiwa kisiasa kimaisha nk mwili unatumika Sana. Tumia uende zako
Aisee ulikaba kila Kona ,cjui atakua ana hali gani.Ungekua mwanaume boya boya angekupelekesha Kisha akuache kwenye mataaWiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!
Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.
Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi uchi wa mwanamke!
Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
Bado mapema sana kusema hivinishaapa sitokuja kutoka nje ya ndoa,
Hiv usipompa hiyo pesa ndo mahusiano yanakufa au atakuwa anakuvutia pumzi huku anangoja plan B na hiyo plan B huchomoi [emoji2297][emoji2297] ila ladies whyHivi vidada vinaomba sana Hela na ukiwazingatia ukawapa basi vinaona wameshakukamata akili vinaanza kukusumbua.
Nyie vidada sisi tunawapa Hela mkituomba ni kwa Sababu zipo ndani ya uwezo.
SI KWELIUtakuwa unapata wanawake kwa tabu sana wewe .
Mke ni tofauti na hawa malaya ombaomba tunaowazungumzia hapaHamna uchi wa bure,hata mkeo anakupa uchi wake sababu unamuhudumia.
nafkili ni hivi kuna yule umekutana naye ,ye kweli anaomba pesa ya kawaida ambayo iko ndan ya bajet yako hata huumii ukisema sina anasema ukipata utanipa anavumilia na kesho anaanza yeye kukualimia tu na si kuomba pesa sabab ushamuhidi ila kuna mwingine ashafanya wewe ni Microfinace bank [emoji386]Ni kweli kabisa. Hadi sisi wenye nia ya kuoa tunashindwa kutofautisha yupi ni wife material na yupi ni kahaba
Ni maamuzi tu mkuu,just to have your own principles kila kitu kinawezekanaBado mapema sana kusema hivi
Wewe ndiyo huchomoi bhana usijumuishe wanaume wengineHiv usipompa hiyo pesa ndo mahusiano yanakufa au atakuwa anakuvutia pumzi huku anangoja plan B na hiyo plan B huchomoi [emoji2297][emoji2297] ila ladies why
JK mzee mwenzangu hujawahi kufeli. Ni akili kubwa weweAisee ulikaba kila Kona ,cjui atakua ana hali gani.Ungekua mwanaume boya boya angekupelekesha Kisha akuache kwenye mataa
Atakupigia tu, atakwambia amekumisi!Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!
Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.
Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi mwanamke!
Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
Ni kweli hata 2000 ni pesa pia. Unapata advance 2000 then hela kamili elfu mbili nyingine. Sitaki kuamini humu wamejaa wadangaji...Kabla kulalwa...kilainishi ni pesa
Kuwa na msimamo. Mungu atakusimamia, ukiweza watukane kama ni wabishi.Mie nimeolewa na nishaapa sitokuja kutoka nje ya ndoa,ila sasa wanaume wanatabia ya kutongoza tongoza inachosha kwakweli tangu binti unatongozwa mpaka mama bado unatongozwaga tu kiukweli sipendi sema utafanyeje
Hii comment imejaa makasiriko na dhiki nyingi sana. Pole bhana sexless!. Unateseka sana.[emoji38]Tafuta hela. Wenzako wanahonga .magari kisha wanapotezea mbususu. Wewe elfu 20 tu inakutoa utu.
Mimi nikilala na msichana mara 4 nishamchoka tayari though ni age go. Nikishachapa makofi na kufinya finya tako tu namchokaNa tukishakamilisha lengo letu la kumla mbususu mara kadhaa ukaikinai kinachomkuta [emoji706] anatafutwa mwingine wa kuchezewa