Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
That's how we do
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhovyo hovyo ni pamoja na kuomba omba hela!Hapana,hata kama mtu ulikuwa na mpango mzuri naye unamdisvalue mda huohuo,hiyo cha mtoto mtoko wenyewe ndo angejua hajui
Mwanamke ukikaa hovyohovyo usitegemee kupata mwanaume wa maana
Utafilisika sio utafirisikakwa hio style utafirisika mkuu. Na madem wa siku hz ukiwa mtoaji ndo wanakuona boya wa mwisho kabisa.
Very poor mindsetWengi wanapenda kupima uwezo wa kifedha kwa mwanaume aliyenaye, inawezekana alikuwa haitaji hiyo fedha kwa wakati huo, ila alikuwa anataka akupime uwezo wako.
Mwanamke akimpenda mwanaume, huwa hawazi kuomba hela mwanzoni mwa mahusiano, hata hao wadada wenyewe huwa wanakiri humu jf mshamba_hachekwiLakini nilivomuelewa macho_mdiliko ni kwamba hela imetumika kama mtihani(mtihani si lazima uwe mgumu) alafu ukifaulu unamwagiliwa mbussu[emoji23]
Hahahahah unafaa sana kuwa shemeji yangu. Ngoja nikulengeshee pisi ili uipe hio million 5 tuile.Kwenye kumpa mdada hela Ya bure mimi sioni shida, kama ananipenda, na anani-treat vizuri, nikiona ana shida hata million 5, kama ninayo nampa Bila kuombwa, ila aloo ivo vichomi navokutana navyo looh Extrovert
Hahahahahahahahhaha usha maliz ku komenti tyr..Tafuta hela. Wenzako wanahonga .magari kisha wanapotezea mbususu. Wewe elfu 20 tu inakutoa utu.
Mie nimeolewa na nishaapa sitokuja kutoka nje ya ndoa,ila sasa wanaume wanatabia ya kutongoza tongoza inachosha kwakweli tangu binti unatongozwa mpaka mama bado unatongozwaga tu kiukweli sipendi sema utafanyejeKama umeolewa au una mtu wako permanent ni vyema hata usitoe namba kabisa, ila kama upo single usitubanie bhana toa namba tujenge maisha.
Kabla kulalwa...kilainishi ni pesaSasa mlaumu baba yako. Hakuna cha bure. Hakikisha umelalwa kwanza ndipo uombe hela
🤣🤣🤣🤣Kabla kulalwa...kilainishi ni pesa
Late 20's? Huna hela yoyote dogo. >% bado upo kwa baba/mama au sekondari, chuo mchundo au diploma/certificate.Mwanamke wa hivi naye anaolewa[emoji23][emoji23][emoji23], basi ajichumiaye janga........ Utamalizia. Hata niwe stable kiuchumi kiasi gani, nipo kwenye miaka yangu ya late 20s pesa yangu yote niyakujenga maisha yangu kwanza ili nitulie kwa amani nguvu ikianza kupungua. Sasa mke chuma ulete atanirudisha nyuma mno tena mno maana anajiwazia yeye na sio familia na maendeleo. Kuchagua mke sio kazi rahisi!
Hasa wasiokuwa na shughuli ya kufanya.99% ya wanawake wa Kibongo njaa wameifungia Dish.
Wewe ndio upo kwenu, watu wanamaliza chuo na 24 na ni medicine na kazi mtu anamiaka mitatu😂😂😂😂😂. Usikariri chief! Nakazi mtu anapata ya mshahara mkubwa na kusafiri kila leo😂😂😂😂, narudia acha kukariri. Ukae Dar kwani makao makuu ya nchi ni Dar au Dom😂😂😂. Usikariri, watu wote hawaanzi shule na miaka 7, sawa mkuu. Umeshafika chuo unakaa kwababa na mama ugundue nini. Boss, maisha uliyopitia wewe sio kila mtu anapitia😂😂😂😂 hivyo. Maisha ni kupanga na bahati ya mwenyezi Mungu, sawa. Kama mtu mzima basi akili ifunguke sasa, dunia ya sasa sio ya kipindi kile😂😂😂. Ukiambiwa vijana waliopewa vyeo vikubwa kwakipindi hiki huwezi amini ni vijana wadogo sana tena sana. Hatupo miaka ya 1990s, jenga maisha yako acha visingizio, ukichelewa ni either bahati mbaya au wewe ni mvivu, sawasawa mkuu.Late 20's? Huna hela yoyote dogo. >% bado upo kwa baba/mama au sekondari, chuo mchundo au diploma/certificate.
Vinginevyo umepanga geto la huko sokota kwa wasela mavi wenzako.
Wliozaliwa 94 na 2000 wanaijua MBAO kweliHujasomea kyuba nn?hiyo mbao anaijia gheto,na anaipata baada ya kukunjwa
💯🤝Mwanamke wa hivi naye anaolewa![]()
, basi ajichumiaye janga........ Utamalizia. Hata niwe stable kiuchumi kiasi gani, nipo kwenye miaka yangu ya late 20s pesa yangu yote niyakujenga maisha yangu kwanza ili nitulie kwa amani nguvu ikianza kupungua![]()
💯🤝Swala sio kuwa na hela, kuna siku nilikuwa na laki 9 mdada aliniomba elfu 10, nkamnyima sababu ya mazingira aliyoombea..
💯🤝Mwanamke aliyeko na wewe kwenye mahusiano sababu unampa pesa, sio mtu mzuri