Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23]Inawezekana alitaka kukuudhi mawasiliano yafe kwahiyo umeingia moja Kwa moja kwenye plan yake...
Next time kama amekuvutia kweli muulize hela ya nini...
Akisema ya saloon mwambie mbona ndogo?itamtosha?halafu mtumie mara 2 au 3 ya alioomba...
mi binafsi kuomba omba ela siwezi, nasema huyo mdada uliyemtolea nje pengine alikua anakupima, kila mtu ana njia zake za kumfanyia mtu wake investigations kwenye suala la uchumiWanaume wengi wa sahivi jinsi tulivyokwisha jeruhiwa kihisia na hii style ya kuombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza, kama kila mwanaume anaekutana nae anampima kwa staili hiyo, mbona atajiona ana mkosi kwenye mapenzi Leejay49
Hakupendi na anamchepuko mwingne [emoji1241]Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!
Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.
Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi mwanamke!
Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
[emoji1787]Sitakupinga hata kidogo. Huyo jamaa alimtamani huyo dada. Na dada naye akazitamani fedha zake. Shida iko wapi?
Nimekuelewa ulichokiandika, na nakazia nilichokiandika.Hujanielewa kabisa. Hebu soma post yote then usome niliyem quote, mwisho soma comment yangu.
Kuna mmoja huyo juzi kanipa namba asubuhi kufika jioni anadai hana hela ya kula,nimemjibu hata kama unashida kweli ,ndo tumejuana siku hiyo hiyo tu unaanza vizinga atleast ungesubiri hata wiki ipite basi.Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!
Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.
Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi mwanamke!
Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
Umezidisha dose chief, dah! 😂😂😂Wewe ni jinsia gani?
HOja unatoa wapi ujasiri wa kumuomba mtu pesa hata 1000 ambaye sio rafiki, sio mpenzi na sio ndg yako?
Hoja sio 20k bali timing.
Huu utoto haufai kanisani wala msikitini.
Angesubiri wafahamiane, watongozane angalau angesaidika hata 200k na sio 20k tena.
Wanawake wajinga wanaudhi sana...
My concern ni timing timing timing na sio kiwango cha pesa
Mambo ndo haya sasa, lolInawezekana alitaka kukuudhi mawasiliano yafe kwahiyo umeingia moja Kwa moja kwenye plan yake...
Next time kama amekuvutia kweli muulize hela ya nini...
Akisema ya saloon mwambie mbona ndogo?itamtosha?halafu mtumie mara 2 au 3 ya alioomba...
Wee nawe hata ukipata wife material wewe si unajinadi sio muoaji? Hao hao ndio wanafaa nyie msio waoaji.Na tukishakamilisha lengo letu la kumla mbususu mara kadhaa ukaikinai kinachomkuta [emoji706] anatafutwa mwingine wa kuchezewa
Kuoa miaka hii ni kujitafutia matatizo tu. Hao ndio wenzetu wanaoa tunashare nao mbususu za wake zaoWee nawe hata ukipata wife material wewe si unajinadi sio muoaji? Hao hao ndio wanafaa nyie msio waoaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapima mtu kwa kuomba pesa akili gani hizimi binafsi kuomba omba ela siwezi, nasema huyo mdada uliyemtolea nje pengine alikua anakupima, kila mtu ana njia zake za kumfanyia mtu wake investigations kwenye suala la uchumi
Sasa unapima hizo hela ni za kwako au wewe TRAWengi wanapenda kupima uwezo wa kifedha kwa mwanaume aliyenaye, inawezekana alikuwa haitaji hiyo fedha kwa wakati huo, ila alikuwa anataka akupime uwezo wako.
Utamchukia ndugu, marafiki, ugomvi na mamaaaaa!!!Gharaaamaaaaa, mapenzi gharaaaama!!!
Kuna mmoja, baada ya siku 2 akaniomba hela ya gesi mtungi mkubwa, nikatafakari, nikaona nitume tu iwe kama nimetoa sadaka; baada ya hapo mambo yakawa moto moto, na hatimaye mambo mengine yakaendeleaKama ni hivyo basi hiyo mbinu ya upimaji haijakaa poa,kuomba omba hela hovyo hovyo ni kujishusha hadhi.
Wengi wanapenda kuwa sehemu yenye uwezo wa kutatua shida za kiuchumiSasa unapima hizo hela ni za kwako au wewe TRA