Kwa nilichomjibu huyu dada nahisi ataghairi kwa muda kuomba wanaume hela

Kwa nilichomjibu huyu dada nahisi ataghairi kwa muda kuomba wanaume hela

Inawezekana alitaka kukuudhi mawasiliano yafe kwahiyo umeingia moja Kwa moja kwenye plan yake...

Next time kama amekuvutia kweli muulize hela ya nini...
Akisema ya saloon mwambie mbona ndogo?itamtosha?halafu mtumie mara 2 au 3 ya alioomba...
[emoji23]
 
Wanaume wengi wa sahivi jinsi tulivyokwisha jeruhiwa kihisia na hii style ya kuombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza, kama kila mwanaume anaekutana nae anampima kwa staili hiyo, mbona atajiona ana mkosi kwenye mapenzi Leejay49
mi binafsi kuomba omba ela siwezi, nasema huyo mdada uliyemtolea nje pengine alikua anakupima, kila mtu ana njia zake za kumfanyia mtu wake investigations kwenye suala la uchumi
 
Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!

Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.

Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi mwanamke!

Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
Hakupendi na anamchepuko mwingne [emoji1241]
 
Tatizo tunawatumia sana. Unakuta huyo ameanza kudanganywa akiwa na miaka 16. Anatongozwa anaingiliwa anakimbiwa. Inafika kipindi kila anayemsemesha anajua litakalofata, anaachana na mapenzi anatanguliza fedha.
 
Usikutane na vidada vina rasta za rangi za ajabu ajabu zinafika magotini,
ukijitolea kesho utasikia sijala, mjomba mgonjwa, sina nauli unabaki unajiuliza alikuwa anaishi vipi huyu kupe..hongera sana kwa kukataa ujinga mapema
 
Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20!

Nikamwambia abadilishe staili ya kukataa wanaume, kupiga mzinga/kuomba hela chap imepitwa na wakati. Nikamwambia napenda kusaidia watu, mimi sio mchoyo, ila sitapeliwi kijinga.

Nikamwambia kama alikuwa hanitaki angeniambia live na ningemwelewa, pia nikamwambia kuwa sinunuagi mwanamke!

Hakujibu, mpaka leo nasubiri anijibu, hajanijibu, sijui ameishiwa sms!
Kuna mmoja huyo juzi kanipa namba asubuhi kufika jioni anadai hana hela ya kula,nimemjibu hata kama unashida kweli ,ndo tumejuana siku hiyo hiyo tu unaanza vizinga atleast ungesubiri hata wiki ipite basi.
 
Wewe ni jinsia gani?
HOja unatoa wapi ujasiri wa kumuomba mtu pesa hata 1000 ambaye sio rafiki, sio mpenzi na sio ndg yako?

Hoja sio 20k bali timing.
Huu utoto haufai kanisani wala msikitini.

Angesubiri wafahamiane, watongozane angalau angesaidika hata 200k na sio 20k tena.
Wanawake wajinga wanaudhi sana...
My concern ni timing timing timing na sio kiwango cha pesa
Umezidisha dose chief, dah! 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.
Kuna maisha nje ya mapenzi.
 
Inawezekana alitaka kukuudhi mawasiliano yafe kwahiyo umeingia moja Kwa moja kwenye plan yake...

Next time kama amekuvutia kweli muulize hela ya nini...
Akisema ya saloon mwambie mbona ndogo?itamtosha?halafu mtumie mara 2 au 3 ya alioomba...
Mambo ndo haya sasa, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mi binafsi kuomba omba ela siwezi, nasema huyo mdada uliyemtolea nje pengine alikua anakupima, kila mtu ana njia zake za kumfanyia mtu wake investigations kwenye suala la uchumi
Unapima mtu kwa kuomba pesa akili gani hizi
 
Kama ni hivyo basi hiyo mbinu ya upimaji haijakaa poa,kuomba omba hela hovyo hovyo ni kujishusha hadhi.
Kuna mmoja, baada ya siku 2 akaniomba hela ya gesi mtungi mkubwa, nikatafakari, nikaona nitume tu iwe kama nimetoa sadaka; baada ya hapo mambo yakawa moto moto, na hatimaye mambo mengine yakaendelea
 
Back
Top Bottom