Msichanganye kati ya ushoga na ndoa za jinsia moja. Ushoga hauhitaji harusi, huo upo nchini tangu muda mrefu tu wala tusiwasingizie wafadhili. Jambo ambalo ni geni kwa Tanzania (na Africa) ni hilo la ndoa za jinsia moja, ambazo walau hapo unaweza ukahusisha na harusiWe mwanao akiwa shoga unakubali na siku ya harusi yake unakwenda kama mzazi mwanao kijana wa kiume anaolewa, tuanzie kwanza hapo.
Hiyo ngumu kwani yawezekana wenzetuKila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Vp wale waburudishaji wenu kutoka wasafini walitumbuizasifahamu ndugu mtafiti π
Kama hupendi mwanao awe shoga ni bora hata usi comment hapa kwamba ni haki za kibinadamu.Kwa nini unashindwa kujadili hoja bila kui personalize kwangu?
Unajuaje nina mtoto?
Na nikiwa na mtoto ambaye sipendi awe shoga ina maana gani? Ina maana nilazimishe dunia nzima ya watu wanaopenda ushoga wasipende ushoga?
Kwani nikiwa na mwanangu halafu sipendi awe polisi hilo lina maana nipige vita watu wote wa dunia nzima wasiwe polisi?
Kwa nini watu hamuelewi haki za watu kuwa na uhuru binafsi wa kuamua maisha yao?
Wewe ambaye hupendi ushoga ukilazimishwa upende ushoga utafurahi?
kuishi na fedheha au aibu ni Tatizo la kiutimamu.
Tuungane Pamoja na Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kukemea utovu wa kimaadili kuanzia kwenye familia zetu π
Naweza kuwa sipendi kuvuta sigara halafu nikaelewa haki ya watu wengine kuvuta sigara kwa sababu hao watu wana uhuru wao binafsi.Kama hupendi mwanao awe shoga ni bora hata usi comment hapa kwamba ni haki za kibinadamu.
Ungeacha lilivyo tu, unaposema ni haki za binadamu ina maana unapiga kampeni, unafiki ni pale unapiga kampeni kwa wengine kuwa mashoga hali ya kuwa wewe hutaki.
Kama inavyokuuma wewe kijana wako asiwe shoga basi elewa pia hisia za wengine wanapokataa watoto wao, ndugu n.k kuwa mashoga.
Hao wazungu mbona hawakuwahi kupata rais shoga, aingie ikulu na mwenza wake na wawe wanatembea kwenye ziara pamoja.
Wazungu nao ni wanafiki tu.
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Assume wewe ni mzungu lazima utaenda.We mwanao akiwa shoga unakubali na siku ya harusi yake unakwenda kama mzazi mwanao kijana wa kiume anaolewa, tuanzie kwanza hapo.
Hivi ni stress au nini shida mpaka mtu unaandika comment kama hiiiππππDADIZO UNAWEJA KUDA GUNA MIKADABA YA ZIRI
Nafikiri kila mtu aijenge familia yake kwenye misingi anayoona inafaaSasa kama dini yenu ya kikatoliki imeruhusu ushoga kwanini maaskofu wenu ndio wasisimame mbele na kuupinga badala yake unataka Raisi aingilie uhuru wenu wa kuabudu
sifahamu kwa kweli π..Znz inasemekana ni makao makuu ya ushoga.
..sasa inasemekana ukipinga ushoga unaweza kuwa anaipinga Znz.
..mimi nimeambiwa hivyo. Usije ukaninukuu.
hiyo sifahamu ni nin πVp wale waburudishaji wenu kutoka wasafini walitumbuiza
Ova
sifahamu kwa kweli π
Hilo jibu limejibu swali la kwanza nlilokuuliza, ina maana kama hupendi ushoga mwanao kama ameamua kuwa huwezi mkataza, ahsante.Naweza kuwa sipendi kuvuta sigara halafu nikaelewa haki ya watu wengine kuvuta sigara kwa sababu hao watu wana uhuru wao binafsi.
Usichoelewa ni nini hapo?
Hao wenzetu wana viongozi mashoga, ni wewe tu hujajielimisha kuwajua.
Ushoga unalisaidia nini taifa hadi apoteze muda kuuongelea?Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
UShoga una viasilia na pwani - kwa hiyo ni kweli Mombasa na Zenji ndiyo chibuko...mambo ya ushoga huku Tanganyika yameletwa na Wazanzibari.
..wakati tunakua tuliambiwa ushoga uko Mombasa na Zanzibar.
Njia sahihi ya kupambana na ushoga ni kwa kimya kimya, yaani jamii inawabana kimya kimya bila watetezi wao kushtuka hadi wanaacha wenyewe.
Vita hizi pamoja na ile ya machangudoa usipaze sauti, ni ile style ya kimbiza mwizi kule Buguruni - kimya kimya - ukikamata unaminyaa