greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Mkuu,Pwani mchanga tena hamna vumbi wala udongo labda uende wilayani wanapolima.
Kwa mtazamo Wangu wengi wao ni wale wanaoamini Maisha matamu baada ya kifo! So wanawekeza zaidi huko kuliko kwenye elimu/Maisha DUNIA , sijui umenielewa?? Na zaidi ukichunguza Ni maeneo ambayo Mwarabu ndo alitia nanga kabla ya Watu toka EuropeπNimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Hivi kumbe kulima sana kwa jembe la mkono ni sifa?Mkuu,
Rukwa ni mkoa wa tatu kwa kuzalisha chakula Tanzania nzima....
kule watu wanalima si kitoto,tafuta mtu aliye sumbawanga akueleze.
Vyakula ni bei chee.. wanauza vyakula Kongo.
Mpunha,Mahindi,Alizeti
Na ni kilimo cha Mashamba makubwa...
Siku Nenda Nyanda za juu utajionea.
Kutoka Kambi ya Ruvu pale kwenda Chalinze kufika Bwawani hadi Mwidu hadi Mpakani Morogoro...hapo kote ni pori.Watu wa Pwani sio wavivu ni wakulima Hodari wa mazao ya kudumu kama miembe,mikorosho,michungwa na minazi
Shughuli zao kubwa zingine uvuvi
Na mwisho hakuna kabila Tanzania laweza kuwashinda watu wa hiyo mikoa kwenye biashara ndogondogo wanaziweza hasa hata waanzilishi wa biashara za machinga ni kutoka mtwara.wao ndio waanzilishi
ππππHo
Hivi kumbe kulima sana kwa jembe la mkono ni sifa?
Nguvu nyingi akili kidogo... msuli tembo matokeo sisimizi90% ya Watanzania hawafanyi kazi bali wanahangaika alimradi waendelee kupumua ndo maana 95% ya watz bado ni maskini wa kutupwa.Huwezikuniambia mtu anaelima eka 20 za mahindi na kuvuna gunia 5 nae anafanya kazi au anaefuga mifugo mingi lakini hajui ni jinsi gani mifugo hiyo itamboreshea maisha nae anafanya kazi.Tofauti ya maisha ya mnaowadhania ni wavivu na mnaowadhania ni wachapakazi ni ndogo sana almost zero.
Unawajua wagogo vizuriNimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?Mkuu,
1.Bagamoyo,Chalinze,Kisarawe huku kote kuna Tifutifu,,,maeneo yenye Mazao ya kushiba...
2.Hata kwenye mchanga kilimo chafanyika Dodoma na Kondoa nako ni mchanga lakini watu wanalima Karanga kupitiliza...
3.Njombe na Iringa kuna maeneo yanakataa mazao ya kawaida....udongo una aisidi kupitiliza.
Lakini watu wakajiongeza na Chai na miti...
4.Siyo kutembea tu ,ila mimi na wenzangu tuna mashamba Chalinze, Kisarawe...
Tumeona uvivu wa watu wa Pwani...
Kama ilivyo mikoa yenu inavyoongoza kwa ushamba, umalaya na roho mbaya.Pwani ndio ni mojawapo ya mikoa maskini Tanzania
Hongera mchapakazi unalima heka 10 kwa mkono unaambulia debe mbiliππππ
So Pwani wanalima sana kwa Trekta....
Sasa hapo mfano wako haupo relevant,,coz Nyanda za Juu,Kanda ya Ziwa wanazalisha vyakula ambavyo vinalisha nchi nzima...tena Kula na kusaza....Hongera mchapakazi unalima heka 10 kwa mkono
unanikumbusha mshkaji wangu Advance anakesha wiki nzima pure maths ikija na physics anapata 20%πππ
Hahaha yani kwenye Umalaya mbona unatepeta sana...Kama ilivyo mikoa yenu inavyoongoza kwa ushamba, umalaya na roho mbaya.
Wanalima sana halafu bado mafukaraSasa hapo mfano wako haupo relevant,,coz Nyanda za Juu,Kanda ya Ziwa wanazalisha vyakula ambavyo vinalisha nchi nzima...tena Kula na kusaza....
Waulize Lindi na Pwani why hawakosi katika List la umaskini...
Hiyo sio hoja Chief,,,uislamu haukumkataza mtu asitafute duniani yake na kuishi vizuri ila unasisitiza pambana utakavyo pambana ila usisahau kujitayarishia makazi yako ya akhera periodKwa mtazamo Wangu wengi wao ni wale wanaoamini Maisha matamu baada ya kifo! So wanawekeza zaidi huko kuliko kwenye elimu/Maisha DUNIA , sijui umenielewa?? Na zaidi ukichunguza Ni maeneo ambayo Mwarabu ndo alitia nanga kabla ya Watu toka Europeπ
leta takwimu za ukimwi nchini nyie ni almarufu kupigana miti tu labda uchapakazi wa ngono zembeHahaha yani kwenye Umalaya mbona unatepeta sana...
ππππππ€£π€£π€£
Sitaji makabila ila kila mtu anajua Tabia za watu wa Mtwara, Tanga ....hivi tunahitaji kueleza.
Ushamba...?
Fanyeni kazi aiseeh, mna maeneo mazuri sana kwa kilimo,ufugaji na Uvuvi mubadilike.
Yani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?
Umekariri kulima tu ,utapiamlo unatoka wapi kweny hiyo mikoa ya kilimo..
Basi kama hujui Muheza & lushoto ndio kuna matunda mengi kushinda mkoa wowote ule ,Handeni wanalima mahindi ya kulisha hata Tz nzima japo sio kwa wingi kama Ruvuma ila ni mengi... Ukienda mkinga watu wanalima mihogo.
Wengine ni uvuvi wa aina kibao ,huku kuna diaspora kibao usipenda kufananisha mikao ya huko na washamba wa bara ni vitu viwili tofauti.
Maneno yako ni sahihi kabisa.. Kama huko Pwani ukipita unaona mashamba makubwa kabisa lakini watu wa Pwani wameshindwa kuyatumia kabisa kulima hata mahindi na maharagwe, hata ng'ombe au mbuzi hawafugi wanawaza tu ngono na kuongeza mke. Kongole sana watu wa hii mikoa Loh!!Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Mkuu mikoa inayozalisha matunda kwa wingi Tanzania ni Tanga na Pwani.Yani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....
Eti Handeni wanalima mahindi ya kutosha...π€£π€£π€£π€£...
Ndugu hapo imejidhihilisha haujawahi Fika Mbeya au Songwe ,ndiyo ungeelewa nini maana ya kilimo.
Taja hayo matunda unayosema wewe,,Machungwa na Chenza tu,ama?.
Mkuu, tembea kwanza kabla ya kubisha, kwa kilimo mikoa yenu bado sana...yani bado