Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
Maanake kwanza nicheke.
Ulitembelea makumbusho ya Mkwawa ukaona barua aliyoandika Mkwawa kwenda kwa sultan wa Tanga ambaye alikua rafiki yake kumtahadharisha kuhusu Wajerumani kabla ya huyo sultan wa Tanga kuuawa na Ujerumani?
Barua ikieleza pia usaliti wa waluguru juu ya Mkwawa!?
Hujafika inaonekana.
Serikali imeujenga mji wa Dar na ikafungua fursa kwa wote,cha ajabu wabara ndio wameweza kuzitumia fursa kuliko wa Pwani.
Zanzibar ni visiwa vya watu wavivu ndio maana kuna maendeleo hafifu.
Pemba ndio kuna umasikini uliokithiri hata usiongee.
Bara kuna shughuli za kilimo,ufugaji na uchimbaji madini.
Au haujui kama migodi mingi ipo bara!?
Utapiamlo ? Hiyo migodi inaleta uchumi upi?

Onyesha takwimu ya mapato usiwe mjinga ,ambao wazungu wanachota nyie mmebaki na umaskini kama Geita...Leta takwimu uchumi za kiuchumi sijui kama shule umesoma!?πŸ˜…πŸ˜…


Nimetembea huko watu wananuka wanashangaa hata perfume ,wabara kuweni wasafi hata vyuoni nyie ni wachafu sana mna harufu kama beberu.
 
Kwa nini unaitoa dar ukanda wa pwani!?
Sijaitoja Dar ukanda wa pwani.
Bali nimeipa exception kwa sababu Dar ni mji uliojengwa kwa nguvu kubwa ya serikali kimkakati.
Na ndio financial hub.
Tofauti na mikoa mengine raia walianza kuitanua serikali ikaona miji ikikua ndio wakaiwezesha.
 
Utapiamlo ? Hiyo migodi inaleta uchumi upi?

Onyesha takwimu ya mapato usiwe mjinga ,ambao wazungu wanachota nyie mmebaki na umaskini kama Geita...Leta takwimu uchumi za kiuchumi sijui kama shule umesoma!?πŸ˜…πŸ˜…


Nimetembea huko watu wananuka wanashangaa hata perfume ,wabara kuweni wasafi hata vyuoni nyie ni wachafu sana mna harufu kama beberu.
AiseeπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
Kwahiyo kunukia perfume ndio kuendelea ndio civilization!?
Kweli huwezi mzidi mtu wa pwani kwa mdomo.
Unaniuliza mimi kuhusu kusoma ilhali wewe unaleta mihemko badala ya fact!?
Aiseee!
 
AiseeπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
Kwahiyo kunukia perfume ndio kuendelea ndio civilization!?
Kweli huwezi mzidi mtu wa pwani kwa mdomo.
Unaniuliza mimi kuhusu kusoma ilhali wewe unaleta mihemko badala ya fact!?
Aiseee!
Utapiamlo na ukimwi ni wenu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…jamii za mwisho kabisa yaani bara hakuna maendeleo ,mkija pwani kwenu mnapaona kinyaaa.


Vyoo hakuna wengi wachafu ,magonjwa ya aibu kama kuharisha ndio yenuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...Wabara wengi ni mambumbumbu hawajielewi.
 
Ukanda wa pwani wote ,uchumi wa Dar tu no sawa na takataka chafu zote za bara kama unabisha soma...Nienda huko bara nikafanye nn watu wananuka midomo hata kupiga mswaki tatizo..
πŸ˜…πŸ˜…Mnaleta shobo wezi wakubwa.
Narudia kusema Dar imejengwa na serikali kimkakati kwaajili ya kiuchumi kama uonavyo Dodoma ikijengwa kwa sasa.
Ila cha ajabu wanufaikaji wakubwa Dar wa hiyo mikakati ni wabara sio wapwani.
Hata ajira wabara ndio huzikamata kwa wingi kuliko wapwani.
NInyi hata mkae wapi kuendelea ni vigumu.
 
Utapiamlo na ukimwi ni wenu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…jamii za mwisho kabisa yaani bara hakuna maendeleo ,mkija pwani kwenu mnapaona kinyaaa.


Vyoo hakuna wengi wachafu ,magonjwa ya aibu kama kuharisha ndio yenuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...Wabara wengi ni mambumbumbu hawajielewi.
Leta ushahidi.
Maana nijuavyo Dar ndio inaongoza kwa maambukizi ya Ukimwi.
 
Narudia kusema Dar imejengwa na serikali kimkakati kwaajili ya kiuchumi kama uonavyo Dodoma ikijengwa kwa sasa.
Ila cha ajabu wanufaikaji wakubwa Dar wa hiyo mikakati ni wabara sio wapwani.
Hata ajira wabara ndio huzikamata kwa wingi kuliko wapwani.
NInyi hata mkae wapi kuendelea ni vigumu.
Acheni shobo na sisi ,tumewafundisha mengi sana wazazi wenu walikuwa hatwajitambui .

Elimu tumewapaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…wabara bado wachafu hamna jipy ,mnakuja pwani kujifunza mengi.
 
Leta ushahidi.
Maana nijuavyo Dar ndio inaongoza kwa maambukizi ya Ukimwi.
Miko yote na kilimo chenu za kimaskini hakifikii hata bandari mojaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…mmejazana hapa washamba .

Ndio maana nakuambia hujui kitu mbar ,Dar sio ya kwanza shenzi achana na hizi za utapiamlo kaangalie za Ukimwi ,

Ukimwi unapata sana wapumbavu wa bara ndio wamauleta pwani.
Screenshot_20240411-085645.png
 
Leta ushahidi.
Maana nijuavyo Dar ndio inaongoza kwa maambukizi ya Ukimwi.
We nae hapa napo pa kubishania!
Mkoa unao ongoza kwa maambukizi ni:
1.Njombe
2.Mbeya
3.Iringa
4.Songwe
5.Shinyanga

Hapo Simiyu haitoki sita bora.
 
Ona sasa mjinga mwingine bila ya watu wa pwani msingepata uhuru πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…pwani ndio wamepambana na wakoloni nyie washamba mlilimishwa na kuteswa...
Wapwani tunajitambua.

Huko bara hakuna mkoa wa maana hata mmoja zaidi ya utapiamlo mpaka mwaka 2024 hamjui kupiga mswaki na kuoga ,vyoo tatizo kabisa.πŸ˜…πŸ˜…
Ivi kuna sehemu inaitwa pwani? Masikiki wakubwa nyie mpaka kina mpanda wamewazidi pamoja na nguvu za viwanda,
Ivi apo ulipo unaweza kulima ata shamba la 5Γ—5meters kwasiku?.
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Sasa kwani hiyo mikoa haipo kwenye orodha ya mikoa maskini nchini ?
 
ukaribu wa Pwani na Dar es Salaam,inaisaidia sana Pwani...

1.Pwani hakuna Kilimo cha kutosheleza kulisha mkoa wao,mashamba mengi ni robo au nusu heka.

2.Pwani,miji yake mikubwa (Vikindu,Kisarawe, Kibaha,Bagamoyo) ni karibu na Dar.watu wengi wanafanya kazi Dar kuliko ndani ya mkoa.

3.Pwani inalindwa na Mradi mkakati wa viwanda, wa serikali....

Ukiondoa hizo hapo juu,Pwani watu wake ni wavivu....

Mkoa una mapori kama yote.
Kwa hiyo wakazi wa Pwani wananunua chakula kutoka Dsm ?
 
Sijaitoja Dar ukanda wa pwani.
Bali nimeipa exception kwa sababu Dar ni mji uliojengwa kwa nguvu kubwa ya serikali kimkakati.
Na ndio financial hub.
Tofauti na mikoa mengine raia walianza kuitanua serikali ikaona miji ikikua ndio wakaiwezesha.
Serikali wakaiwezesha vipi hiyo miji!?..hakuna mji unaokuzwa/jengwa na serikali, serikali ikihamia dodoma totally,dom haitokua Kama dar hata ipite miaka 20,dar imejengwa na bandari,mji hukua kwa shughuli za kichumi za mji husika,geita,kahama,nzega zimesaidiwa Sana na migodi
 
Serikali wakaiwezesha vipi hiyo miji!?..hakuna mji unaokuzwa/jengwa na serikali, serikali ikihamia dodoma totally,dom haitokua Kama dar hata ipite miaka 20,dar imejengwa na bandari,mji hukua kwa shughuli za kichumi za mji husika,geita,kahama,nzega zimesaidiwa Sana na migodi
Ni jinga mmoja tu atakubaliana na upuuzi wako dar kuna msukumo mkubwa wa serikali licha ya mambo mengi yaliyopo ila kubari dar ni jiji la kiserikali kama Dom.
 
Ni jinga mmoja tu atakubaliana na upuuzi wako dar kuna msukumo mkubwa wa serikali licha ya mambo mengi yaliyopo ila kubari dar ni jiji la kiserikali kama Dom.
Kuna pesa kiasi gani zinazoingia kwenye mzunguko uchumi wa dar toka bandarini,na pesa kiasi gani toka serikali kuu dar!?
 
Back
Top Bottom