Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.
Anastahili
Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.
Hili kweli is not right, PhD za honoria causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, nakuikumbuka vizuri hoja ya Prof. Kironde.
Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.
Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?
P
 
Wivu na chuki binafsi 😂😂😂😂

Wewe Hadi unakufa hutokaa upewe heshima ya hivyo,ukiweza somea ila hizo status ni Kwa watu maalumu tuu
Wewe vipi Utaweza kupewa?! Manake umekazana kutetea degree za kijinga.
 
I'd like to differs, PhD za kusomea ziko za aina mbili, by thesis, and course work and dissertation.

PhD nazo pia ni relative zinafuata principles za relativity, sisi Tanzania na vyuo vingi duniani vina PhD za academic, lakini sasa dunia imebadilika, kuna PhD za lobbying and advocacy, kuna PhD za negotiation wahitimu wanaitwa the negotiators, kuna PhD za interior decorators, kuna PhD za hair stylish, kuna PhD hadi za comedy!, India kuna hadi PhD za magic, kuna PhD za public speaking, kuna PhD za strategic thinking, kuna PhD za peace and reconciliation, etc etc.

Kwa Samia anayoyafanya kwenye eneo la kuliponya taifa letu kwa yale tuliyopitia kipindi cha yule Homeboy wetu, maridhiano, kuunda kikosi kazi, anakwenda kubadili sheria ya uchaguzi na kutuundia Tume Huru ya Uchaguzi, mwisho anatuletea katiba mpya, tungekuwa na vyuo vikuu vyenye study hiyo, Samia angeweza kabisa kupata PhD ya thesis.
P
“I’d like to differs”. Umeanza kwa kuandika hivyo.

I have never taken you seriously. You’ve 100% turned into a Samia shill.

That’s why most of the time I don’t even bother responding to your foolishness.

You rarely make sense. You’re long winded.

I don’t remember a time when you made any cogent argument.

Weirdo.
 
Dkt Joseph Kasheku alivyoshiriki kufutilia mbali Bandari ya DSM mikononi ya watanzania na kupewa DPw. Akiwa tayari anajiita Dkt Musukuma alienda Dubai na wenzake. Ni katika safari hiyo deal la DPw ilikamilika na yeye akawa mtetezi wa hao waarabu mwanzo mwisho.
Hadi hapo nguvu ya degrees za mtaani tumeshuhudia waziwazi
 
Hata mimi nashangaa, eti barabara ya mtaa wameita kwa jina langu.
 
Kwa kawaida, vilaza huwa wakipewa sifa fake za kuwakweza kama kuitwa dr, prof. huwa wanafuraaahi balaa!.
 
Kuna watu Tanzania tumewashudia, wana PhD lakini wakiongea Kingereza ni kichefuchefu.

Hamuwajui PhD za mchongo?
 
Ule ujinga ujinga wa awamu ya nne umerejea kwa kasi awamu ya mchongo ya sita.

Awamu ya nne tulikuwa na rizimoko sasa hivi ni Abdul.
 
Samia yeye hataki imra (maneno matamu yasiokua na uhalisia) yeye kaamua kutoongeaongea na kutekeleza.

Malanyingi mtu anaependa kuongea saana na maneno matamu mbele za watu mtu huyo ni mtu wa sifa na mafanikio kidogo kwasababu mtu anaeongea sana sio mtu mwenye bidii kwenye kazi yake.
Mtu asiependa kuongea saana ni mtu wa kazi na malanyingi huyo ni mtu wa kufanikiwa sana kwenye kazi zake.

Hivyo wanaomtunuku udakitali sio wajinga wanaangalia kazi zake.
Kwa Uandishi huu tuna safari ndefu sana huko tuendako ili kufikia matarajio ya walio wengi na wenye maono yenye tija. hebu soma tena ulichoandika na namna ulivyoandika kisha jitafakari kama upo katika jukwaa sahihi kujadili mambo na watu sahihi na hatimaye kupata dira tuitakayo.
Tanzania inabidi ianze upya vita ya kupambana na maadui watatu ambao Mwalimu Nyerere aliwabainisha Ujinga, Maradhi na Umaskini.
 
Kama kawaida Chawa unarudisha mashambulizi.
Badala ya kujenga hoja kinzani au kutetea jambo husika CHAWA hukimbilia kwenye neno WIVU. Na naamini kwa hakika hata maana ya neno wivu huwa hawaijui na muktadha na matumizi yake. Umuonee wivu Rais wakati hujawahi kuwa na ndoto za kugombea Urais, wanasahau Rais sio mali ya mtu binafsi ni mali ya Umma, Hivyo umma una haki ya kujadili kuhusu mambo na mawenendo unamhusu Rais wa nchi iwe ameteuliwa au amechaguliwa. Bado maaduli wa maendeleo aliyowainisha Mwalimu Nyerere Ujinga Maradhi na Umaskini tunao. KUPAMBANA NA CHAWA NI KIPAJI MKUU
 
Kuna yule Mama sijui ni Mbunge wa Iringa nadhani.
Ni PhD holder kwa kusoma ila huwa hajiiti Dr..alipoulizwa kwanini hapendi kuitwa hivyo alisema kitu ukiwa nacho na kikiwa chako unakuwa hata huna mbwembwe nacho maana tayari ni chako.
ila kitu kama siyo chako sasa 😁
mbwembwe,ngekewa, yaani tafranj tupu.

anyway.

lakini Rais hajawaomba wamwite Dr.

..Maza alitakiwa awe muungwana kwa kukataa kuitwa Dr.

..Wanaoitwa Dr ktk mazingira ya kawaida ni Madaktari wanaouguza hospitalini.

..Wenye shahada za Uzamifu / PhD huitwa Dr wakiwa miongoni mwa wanataaluma wenzao ktk shughuli zao za kitaalamu. Wakiwa ktk shughuli nyingine yoyote ile hawatumii utambulisho huo.
 
Chuo cha Kihindi kikupe udaktari wa heshima kwa jambo la kutunga la kijingajinga, sasa hiyo si aibu jamani? Kwanza huo udaktari wa mchongo ni kama rushwa.
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Wewe una kile wazungu wanaita superiority complex. Mbali na hayo una choyo. Kinachokupa wewe kujiamini ni nini ambacho yeye hana?

Watanzania wenzio hapa wamempa hiyo PhD. Kama hiyo haitoshi, Wahindi nao wameona anayo sifa, wakampa PhD. Sasa wewe ni mhadhiri wa chuo gani, umemsomesha lini mama Samia huko chuoni ukaona hana sifa? Wewe umesoma kwa kiwango gani ambacho mama Samia hakusoma?

Nikwambie tu: Mama samia si saizi yako, tafuta shuhuli inayofanana na wasifu wako na
wa jina lako; utakufa kihoro. Aliyepewa kapewa, hata ukijisumbua yeye ndo keshapewa.
 
..Maza alitakiwa awe muungwana kwa kukataa kuitwa Dr.

..Wanaoitwa Dr ktk mazingira ya kawaida ni Madaktari wanaouguza hospitalini.

..Wenye shahada za Uzamifu / PhD huitwa Dr wakiwa miongoni mwa wanataaluma wenzao ktk shughuli zao za kitaalamu. Wakiwa ktk shughuli nyingine yoyote ile hawatumii utambulisho huo.
Excellent
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktari wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Sio kweli, tuambie hawezi kwa sababu zipi na Kwa vigezo vipi? PhD hiyo si kapewa na chuo, tena na maprofesa kwa hiyari yao!

Tuanamsakama Rais kama vile amekiomba au amekilazizisha au amekishurutisha hicho chuo kimtunuku hiyo PhD.

Kapewa kama walivyopewa waliomtangulia. Kama ni kulaumu wakulaumiwa ni hicho chuo sio Rais samia.

Sioni mantiki ya kusema asiitike, kwani kapewa ya nini?
 
Back
Top Bottom