Pre GE2025 Kwa Respond hii ya Kariakoo, kuirudisha Serikali ya CCM madarakani itabidi tujitafakari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaah mimi ni mjinga sana mkuu, Ni
Mjinga kiasi kwamba nimeshindwa kutambua siasa inavyochangia kutokea kwa Majanga...

Ikiwemo ilivyochangia mafuriko kule Arusha, maporomoko ya ardhi kule HANANG ..

Pia sijaona Siasa mbovu za nchi kama china mpaka hili jengo likaanguka bila sababu mwaka 2009 .

Wewe ni Genious sana, unaona mbali 👏👏



NB: Siasa China ni hovyo sana, just imagine walishindwa kusimamia ujenzi wa hili jengo 😆😆
 
 

Attachments

  • IMG-20241116-WA0046.jpg
    226.5 KB · Views: 2
  • IMG-20241117-WA0000.jpg
    141.8 KB · Views: 1
Sio vyema kutafuta kiki za kisiasa muda huu wa uokoaji
Wewe ni punguani. Watu kutoa maoni yao ni kiki za kisiasa? Wewe unakumbuka ulianzisha nyuzi ngapi zenye lengo la kuwapaka matope watu wakati wa shambulizi la LISU? huku ukiwa unajua aliyemshambulia?
Lisu hakuwa binaadamu?
 
Wewe ni punguani. Watu kutoa maoni yao ni kiki za kisiasa? Wewe unakumbuka ulianzisha nyuzi ngapi zenye lengo la kuwapaka matope watu wakati wa shambulizi la LISU? huku ukiwa unajua aliyemshambulia?
Lisu hakuwa binaadamu?
kiazi kweli wewe kila jambo mnatafuta mtoke vipi hamjali uhai wa mwanadamu
 
Unaleta siasa kwenye mambo ya maafa, maandamano yanaweza kugeuka na kuwa kikundi cha mapinduzi yakapindua serikali. Hivyo basi ni lazima yadhibitiwa mapema kwa nguvu zote, huwezi kufananisha na maafa yanayotokea ghafla bila kupangwa na watu
Sasa hata kukitokea mapinduzi, kama ikipinduliwa Serikali kama hii ya kwetu, kuna hasara yoyote utakayoipata?

Serikali inayobaka mamlaka ya wananchi ya kuchagua Serikali wanayoitaka, hata ikipinduliwa hakuna ubaya wowote. Lakini kama Serikali imepatikana kupitia mifumo halali ya uchaguzi halafu wahalifu wachache wakaipindua, hayo ni kweli yanakuwa maafa katika mfumo wa utawala, na hayapaswi kuvumilika.
 
Tatizo la Tanznaia ni ccm.
Kwa kweli CCM ni janga kubwa kwa Taifa. Yaani serikali ya CCM hakuna jema inayoliweza, zaidi ya uovu. MV Bukoba watu walipotea kwa uzembe. Ajali ya ndege Bukoba, uzembe mtupu. Ajali mbalimbali zinazohitaji uokozi, hakuna wakati ambapo Serikali imewahi kufanya kama inavyotakiwa. Wanachokiweza ni uovu wa kupora uchaguzi, kufanya ufisadi, kuteka na kuua watu!!
 
Na hapa ndo dar
Pata picha ingekuwa mkoa?
 
Wanaweza haya
 
Maafa gani yametokea?
Nilikuwa napiga raundi huko nje ndio kwanza narudi.
No doubt sasa hivi nitajua jambo gani limetokea.
Nilikuwa napita barabarani nimeona leo Waziri Mkuu alikuwa busy.
Nimemwona msafara wake unapita toka nyumbani kwake saa saba mchana.
Halafu baada ya sixty minutes akarudi nyumbani kwake.
Halafu obviously alitoka tena,kwa sababu jioni nimeona msafara wake tena.
Nikawa nafikiria tu,"Hivi huyu Waziri Mkuu hajui kwamba anasumbua watu sana na hii nenda- rudi,kwa sababu magari inabidi yasimamishwe.
Watu katika vifusi.?Hebu nicheki hizi habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…