binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nitakutumia hiyo video ya yule baba anasema nani anasema mimi si Gen Z, mmenizaa? mna kadi yangu ya clinic?Na uzee huu kunifokea utanionea tu. Ntakua nimekufanya nini hadi tufokeane?
Kuna ka Gen Z kanaitwa binti kiziwi ndio kananifanyia vurugu bila kujali umri wangu.
Urojo utauweza weye? Unawekwa ukali, mishkaki, source vichips, viazi mbatata, pilipili...orodha ni ndefu kwakweli.
Nawamudu hawa, haliharibiki neno.Watapoteana wasiamini majicho yaoπ€£π€£
Tuma hapa na mimi nioneπ€£π€£Nitakutumia hiyo video ya yule baba anasema nani anasema mimi si Gen Z, mmenizaa? mna kadi yangu ya clinic?
Nilicheka kinoma!
Sawa nitumie lakini mie sio Gen Z.Nitakutumia hiyo video ya yule baba anasema nani anasema mimi si Gen Z, mmenizaa? mna kadi yangu ya clinic?
Nilicheka kinoma!
SafiMi na kazi ya serikali nilioa bar maid na Nina Raha sana
Hii ya mpaka kifo kitutenganishe majanga matupuπ
Mi mwenyewe nakujaza tu lakini huna ubabu huo hata huyo Eroni na Grahams hawana uzee huoooo hata 50 hawana nina uhakika, msitufanyie hivyo jamani mnatunyima nini huko kwenye ubabu acheni uchoyo π πNa uzee huu kunifokea utanionea tu. Ntakua nimekufanya nini hadi tufokeane?
Kuna ka Gen Z kanaitwa binti kiziwi ndio kananifanyia vurugu bila kujali umri wangu.
Urojo utauweza weye? Unawekwa ukali, mishkaki, source vichips, viazi mbatata, pilipili...orodha ni ndefu kwakweli.
Hakika mkuuππDunia tunapitaaa, kila kitu kitabakiaaa.
π π na ukiwajua wanakuwa wakali balaaOoooh Lord!! Na ukizingatia huu mtandao ndio faraja yao kwa Tz, maana hawajulikaniπββοΈπββοΈπββοΈ
Mi mwenyewe nakujaza tu lakini huna ubabu huo hata huyo Eroni na Grahams hawana uzee huoooo hata 50 hawana nina uhakika, msitufanyie hivyo jamani mnatunyima nini huko kwenye ubabu acheni uchoyo π π
Niwekee pm ila si utaniwekea ya kaka zako weee nimekushtukiaKwahiyo umesadiki maneno ya Binti kiziwi? Unaniruhusu niweke NIDA hapa mjukuu? Hao wote umewataja hatuachani umri Kwa mbali, amekosekana Watu8 swahiba wangu. Umri umesogea sema tumeamua kukubali matokeo kwamba wakati umetutupa.
Nakazia hapaBaada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu
baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka
Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni
Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao
1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao
Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao
Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki
Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao
Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya
Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi
Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama
Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli
Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa
Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa
basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako
2)wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri
Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo
Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru
3)wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000
Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi
Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao
Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao
Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso
Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake
Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo
Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo
Hivyo Basi.
msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia
msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae
tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu
Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako
maisha nifumbo/kesho nifumbo
Mwisho
Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanao
patikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?
Nina Imani utakuja na mazito hapa
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu
baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka
Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni
Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao
1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao
Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao
Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki
Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao
Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya
Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi
Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama
Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli
Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa
Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa
basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako
2)wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri
Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo
Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru
3)wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000
Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi
Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao
Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao
Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso
Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake
Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo
Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo
Hivyo Basi.
msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia
msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae
tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu
Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako
maisha nifumbo/kesho nifumbo
Mwisho
Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanao
patikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?
Nina Imani utakuja na mazito
Bado natafakari kuhusu mwanamke.....Asilimia kubwa ya rangi tofauti,wanaume walio wengi wanazitakaga wenyewe. Hivi,unaanzaje kudeti mwanamke mwenye umri sawa na mwanao? Kama kazi wana sifa za muombaji,iweje kwenye ndoano watu washindwe kufata vigezo? Unajua mwanamke ana mtu au watu,mwingine anakuweka wazi,unaomba kuwa spea tairi,unaridhia. Baada ya mda,unaanza ohh simuelewi,mara nikimupigia hapokei. Barmaids hao hao,mnajua wengi wanaliwa kwa pesa. Kila siku yupo mwenye hela zake,kesho wewe unaanza ohh leo mambo hayajakaa sawa. Unategemea nini?
Una uhakika hakukuwa na wengine waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoa huo,kulala Hotel hiyo na kujipigia? Kwa sasa,oeni kuzaa tu watoto,jifunzeni kulea wenyewe,mambo mengine waache na akili zao wenyewe.Jamaa yangu moja kuna demu alikuwa naye anafanya kazi hotelini kila akisafiri kwenda huo Mkoa alikuwa analala hiyo hotel anajupigia huyo demu.Mwaka jana ameoa kabisa-hakutaka mambo mengi.
Anaweka kope juu ya kope,Bado
Bado natafakari kuhusu mwanamke.....
Niwekee pm ila si utaniwekea ya kaka zako weee nimekushtukia
Dadangu huyo moyo wake una mangeu sana kujifunza mahusiano Kwa gharama sanaKatika mambo yote comments za Atoto zimenichekesha sana aisee!
Atoto anawafundisha kwa kuwamock, i wish muelewe!
Nafarijika sana kuona ombi langu linakumbukwa, nileteeni huyo mwali na kazi naeMpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Aaaaah hakuna kutoboa kabisaπ€£π€£π€£
Kuweni na imani na Wazee π€Mpaji Mungu yeye alishajisemea kuwa familia tusipomtafutia mke, basi hatoboi. Kwakweli wazee waingilie kati. Tatizo wazee wenyewe sasa ndio kina Grahams na akina ERoni πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Aaaaah hakuna kutoboa kabisaπ€£π€£π€£