Wananchi ndio wenye madaraka yote, ndio wanaowaweka hao viongozi wanaoapa kuisigina katiba, na kwa hiyo wananchi wanao uwezo wa kuwawajibisha.
Hili nalo ni gumu kwako kulielewa?
Kama uingereza hawana Katiba kabisa, lakini wana sheria zinazotungwa na bunge; hizo sheria zinakiukwa na hao viongozi wanaowekwa na wananchi?
Kwani Katiba ni nini, siyo sheria?
Kama "Trump alivunja katiba" jambo ambalo siyo kweli, eleza sasa yupo wapi?
Unatafuta tu njia za ku'justify' uvunjaji wa sheria wa hao unaosema wanaapa kuilinda katiba, halafu wasiwajibishwe!