Kwa tabiri hizi, CCM tukiendelea kumchekea Rais Samia soon tutageuka kuwa wapinzani!

Kwa tabiri hizi, CCM tukiendelea kumchekea Rais Samia soon tutageuka kuwa wapinzani!

Shaloom wana wema!
Nianze kwa nukuu hii ya Jakaya Kikwete, "Samia najua wewe ni zao la upinzani kwa hiyo haishangazi unavyowatendea wapinzani". Jakaya anakumbushia historia ya Samia kuwa anayo damu ya upinzani. Kwa kuwa ni Mzanzibari basi kama anayo hisia za upinzani basi tujue ni muumini wa Serikali tatu.

Pili tukumbuke Urais wa Samia haukuwahi kuwa programmed si na chama wala "ofisi nyeti" bali limetokana na Mungu kuamua ugomvi kati ya Watanzania na Bwana yuleee ikabidi Katiba ielekeze Samia kushika hatamu za uongozi. Hatua hii imewafurahisha mno Wazanzibari kuliko Watanganyika wakiamini kuwa Mungu amesikia kilio chao cha miaka mingi kwamba huu ndio wakati wa kuipata Zanzibar huru kutoka makucha ya Tanganyika. Itawezekana?

Tuanze na utabiri wa Shekh Yaya Hussein mwaka 2005 mwezi April. Yahya alisema, "Rais atakayeshinda Uchaguzi Mkuu atatokea Pwani na anayo sura ya kike. Atakayemfuata atakuwa ni mwanamume kutoka Bara lakini baada yake huyo atakuja Rais mwanamke. Huyo mwanamke atakabidhi kwa upinzani". Kweli, alishinda Jakaya Kikwete kutoka Pwani akiitwa handsome boy. Akafuatia Magufuli kutoka Bara. Kisha akaja Samia Suluhu Hassan (mwanamke). Je, utabiri huu utafika mwisho kwa Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani? Time Will tell.

Mwaka juzi 2021 Askofu na Nabii Ndlovu wa Zimbabwe alitabiri kuwa ameoneshwa katika njozi kuwa mwaka 2022 kuna ndege itaanguka katika moja ya nchi za Afrika Mashariki. Na itaanguka ndani ya maji. Akasema ndege hiyo ikiua watu, basi chama kinachotawala kitaondoka madarakani lakini kwa kumwaga damu. Isipoua kitaondoka kwa Amani. Hapo maana yake ni kwamba ndege lazima ianguke. Alitumia maneno, "rulling system must quit". Alipuuzwa na spinning doctors". Mwaka Jana ndege ya Precision Air ikaanguka Ziwa Victoria na kuua watu 19. Je, unabii huu wa Ndlovu utafika mwisho na hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani?

Sasa tujenge hoja kwa uhuru wa kutoa maoni chini ya Ibara ya 18 ya Katiba.

Kinachoonekana ni Rais Samia Suluhu Hassan kurejesha demokrasia iliyokuwa imebinywa na mtangulizi wake JPM. Lakini ukweli ni kwamba ameenda mbali zaidi si tu kurejesha uhuru wa demokrasia lakini ameingia hata ndani ya vyama hivyo (Chadema) na kuwaimarisha kisiasa (rejea kauli ya JK hapo juu). Samia anakijenga Chadema hasa. Mwaka 2025 chama hiki kitavuna wabunge wengi sana sawa na hata nusu.

MUHIMU SANA: Katiba Mpya haitopatikana kabla ya 2025 kwa maana kwamba mtu yeyote asitegemee Uchaguzi 2025 utafanyika kwa Katiba Mpya, sahau maana inaweza kukiletea CCM shida kikaamua kumuondoa. Hivyo, msala huo atahakikisha 2026&7 Katiba Mpya inapatikana tayari upinzani ukiwa na nguvu kubwa. Hapo ndipo mpera-mpera wa Upinzani kuelekea 2030 utashika kasi naye hatowafanya kitu maana hatokuwa na cha kupoteza tena. Ifikapo 2030 upinzani utaweza kushinda lakini CCM itakubali kuachia Ikulu? Hapo ndipo ilipo unabii wa Nabii Ndlovu. Upinzani wakifanikisha hilo basi Serikali 3 haitokwepeka. CCM ikikataa kuondoka' Ikulu basi baada ya damu tutasuluhishwa na Jamii za Kimataifa ikiwezeka hata kugawana mkate. Mbowe analijua hili vizuri sana katika maongezi ya maridhiano. Lissu anaposema, "nasikia Kuna kugawana mkate" mueleweni.

Na ikumbukwe waliovujisha mkataba wa DP World ndio hao hao walio nyuma ya dili hili. Ndio walioshauri William Lukuvi na Abdalah Bulembo (maadui) wa Samia kisiasa kusogezwa Ikulu kufanikisha ajenda hii.

My Take: CCM kuweni makini mno na mahaba ya Samia kwa Upinzani kama bado mnataka kuitawala nchi hii. Mbowe si mjinga hata kidogo. Wajerumani, Wamarekani na EU are very smart in the deal. Kuweni macho kabla utabiri wa Nyerere nao kutimia, "Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM". Hayo ndiyo yangu kwa Leo. Mkiona Kuna hoja chukueni mkiona ni upuuzi mnipuuze na kunitemea mate. Kwaherini!
Huku sasa ndio tunaita " connecting the dots" na "kufikiri nnje ya box".
Kuna vitu vinafikirika vyema.
Kongole.
 
Tuanze na utabiri wa Shekh Yaya Hussein mwaka 2005 mwezi April. Yahya alisema, "Rais atakayeshinda Uchaguzi Mkuu atatokea Pwani na anayo sura ya kike. Atakayemfuata atakuwa ni mwanamume kutoka Bara lakini baada yake huyo atakuja Rais mwanamke. Huyo mwanamke atakabidhi kwa upinzani". Kweli, alishinda Jakaya Kikwete kutoka Pwani akiitwa handsome boy. Akafuatia Magufuli kutoka Bara. Kisha akaja Samia Suluhu Hassan (mwanamke). Je, utabiri huu utafika mwisho kwa Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani?
Ndiyo!
 
Aisee,kuna harufu ya kwenda kutimia kwa tabiri hizi,Mungu saidia
 
Umeeleza vyema.

2024/2025 Kuna mabadiliko ya kimfumo.
 
Ccm wanajali sana Madaraka kuliko Maendeleo ya hii nchi, hii ni kitu imenifanya nizichukie Rangi za Kijani na Njano tangu niko Nursery maana sikua najua saana siasa ila Rangi za vyama.
 
Upinzani kuelekea 2030 utashika kasi naye hatowafanya kitu maana hatokuwa na cha kupoteza tena. Ifikapo 2030 upinzani utaweza kushinda lakini CCM itakubali kuachia Ikulu? Hapo ndipo ilipo unabii wa Nabii Ndlovu. Upinzani wakifanikisha hilo basi Serikali 3 haitokwepeka.
Stori yako ndefu iliharibikia hapa.

Samia anakabidhi 2025; haendi mbali zaidi ya hapo.
 
Kumekucha !
Hujamwelewa huyu 'desperate'; yeye anasema msubiri Hichilema wenu baada ya 2030!

Naona huyu jamaa ni kama kapungukiwa kidogo! Au kwa vile kajitambulisha kuwa yeye ni hao hao CCM?

Nani atasubiri hadi huko 2030 huku nchi ikiendelea kuvurugika chini ya Samia?
 
Shaloom wana wema!
Nianze kwa nukuu hii ya Jakaya Kikwete, "Samia najua wewe ni zao la upinzani kwa hiyo haishangazi unavyowatendea wapinzani". Jakaya anakumbushia historia ya Samia kuwa anayo damu ya upinzani. Kwa kuwa ni Mzanzibari basi kama anayo hisia za upinzani basi tujue ni muumini wa Serikali tatu.

Pili tukumbuke Urais wa Samia haukuwahi kuwa programmed si na chama wala "ofisi nyeti" bali limetokana na Mungu kuamua ugomvi kati ya Watanzania na Bwana yuleee ikabidi Katiba ielekeze Samia kushika hatamu za uongozi. Hatua hii imewafurahisha mno Wazanzibari kuliko Watanganyika wakiamini kuwa Mungu amesikia kilio chao cha miaka mingi kwamba huu ndio wakati wa kuipata Zanzibar huru kutoka makucha ya Tanganyika. Itawezekana?

Tuanze na utabiri wa Shekh Yaya Hussein mwaka 2005 mwezi April. Yahya alisema, "Rais atakayeshinda Uchaguzi Mkuu atatokea Pwani na anayo sura ya kike. Atakayemfuata atakuwa ni mwanamume kutoka Bara lakini baada yake huyo atakuja Rais mwanamke. Huyo mwanamke atakabidhi kwa upinzani". Kweli, alishinda Jakaya Kikwete kutoka Pwani akiitwa handsome boy. Akafuatia Magufuli kutoka Bara. Kisha akaja Samia Suluhu Hassan (mwanamke). Je, utabiri huu utafika mwisho kwa Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani? Time Will tell.

Mwaka juzi 2021 Askofu na Nabii Ndlovu wa Zimbabwe alitabiri kuwa ameoneshwa katika njozi kuwa mwaka 2022 kuna ndege itaanguka katika moja ya nchi za Afrika Mashariki. Na itaanguka ndani ya maji. Akasema ndege hiyo ikiua watu, basi chama kinachotawala kitaondoka madarakani lakini kwa kumwaga damu. Isipoua kitaondoka kwa Amani. Hapo maana yake ni kwamba ndege lazima ianguke. Alitumia maneno, "rulling system must quit". Alipuuzwa na spinning doctors". Mwaka Jana ndege ya Precision Air ikaanguka Ziwa Victoria na kuua watu 19. Je, unabii huu wa Ndlovu utafika mwisho na hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani?

Sasa tujenge hoja kwa uhuru wa kutoa maoni chini ya Ibara ya 18 ya Katiba.

Kinachoonekana ni Rais Samia Suluhu Hassan kurejesha demokrasia iliyokuwa imebinywa na mtangulizi wake JPM. Lakini ukweli ni kwamba ameenda mbali zaidi si tu kurejesha uhuru wa demokrasia lakini ameingia hata ndani ya vyama hivyo (Chadema) na kuwaimarisha kisiasa (rejea kauli ya JK hapo juu). Samia anakijenga Chadema hasa. Mwaka 2025 chama hiki kitavuna wabunge wengi sana sawa na hata nusu.

MUHIMU SANA: Katiba Mpya haitopatikana kabla ya 2025 kwa maana kwamba mtu yeyote asitegemee Uchaguzi 2025 utafanyika kwa Katiba Mpya, sahau maana inaweza kukiletea CCM shida kikaamua kumuondoa. Hivyo, msala huo atahakikisha 2026&7 Katiba Mpya inapatikana tayari upinzani ukiwa na nguvu kubwa. Hapo ndipo mpera-mpera wa Upinzani kuelekea 2030 utashika kasi naye hatowafanya kitu maana hatokuwa na cha kupoteza tena. Ifikapo 2030 upinzani utaweza kushinda lakini CCM itakubali kuachia Ikulu? Hapo ndipo ilipo unabii wa Nabii Ndlovu. Upinzani wakifanikisha hilo basi Serikali 3 haitokwepeka. CCM ikikataa kuondoka' Ikulu basi baada ya damu tutasuluhishwa na Jamii za Kimataifa ikiwezeka hata kugawana mkate. Mbowe analijua hili vizuri sana katika maongezi ya maridhiano. Lissu anaposema, "nasikia Kuna kugawana mkate" mueleweni.

Na ikumbukwe waliovujisha mkataba wa DP World ndio hao hao walio nyuma ya dili hili. Ndio walioshauri William Lukuvi na Abdalah Bulembo (maadui) wa Samia kisiasa kusogezwa Ikulu kufanikisha ajenda hii.

My Take: CCM kuweni makini mno na mahaba ya Samia kwa Upinzani kama bado mnataka kuitawala nchi hii. Mbowe si mjinga hata kidogo. Wajerumani, Wamarekani na EU are very smart in the deal. Kuweni macho kabla utabiri wa Nyerere nao kutimia, "Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM". Hayo ndiyo yangu kwa Leo. Mkiona Kuna hoja chukueni mkiona ni upuuzi mnipuuze na kunitemea mate. Kwaherini!
Uwe na dabu. Ina maanaa hutakiki mimi baba yenu nichangie? Kwanini useme wana wema kama kwamba wote ni wana. Mie ni baba wa nyote. Hivyo, nipe heshima yangu. Unataka tuwe wapinzani mara ngapi wakati tushachuuzwa. Heri tungeuzwa. Tumechuuzwa na kusalitiwa ile mbaya. Hata hivyo, ukweli useme. Watendaji wazalendo waliokuwa wakiendesha bandari nao ni wezi tu. Kinachopaswa kufanya ni kuwakamata na ku-audit mali zao ili tuone nini cha kuwafanyia hawa wezi uchwara.
 
Shaloom wana wema!
Nianze kwa nukuu hii ya Jakaya Kikwete, "Samia najua wewe ni zao la upinzani kwa hiyo haishangazi unavyowatendea wapinzani". Jakaya anakumbushia historia ya Samia kuwa anayo damu ya upinzani. Kwa kuwa ni Mzanzibari basi kama anayo hisia za upinzani basi tujue ni muumini wa Serikali tatu.

Pili tukumbuke Urais wa Samia haukuwahi kuwa programmed si na chama wala "ofisi nyeti" bali limetokana na Mungu kuamua ugomvi kati ya Watanzania na Bwana yuleee ikabidi Katiba ielekeze Samia kushika hatamu za uongozi. Hatua hii imewafurahisha mno Wazanzibari kuliko Watanganyika wakiamini kuwa Mungu amesikia kilio chao cha miaka mingi kwamba huu ndio wakati wa kuipata Zanzibar huru kutoka makucha ya Tanganyika. Itawezekana?

Tuanze na utabiri wa Shekh Yaya Hussein mwaka 2005 mwezi April. Yahya alisema, "Rais atakayeshinda Uchaguzi Mkuu atatokea Pwani na anayo sura ya kike. Atakayemfuata atakuwa ni mwanamume kutoka Bara lakini baada yake huyo atakuja Rais mwanamke. Huyo mwanamke atakabidhi kwa upinzani". Kweli, alishinda Jakaya Kikwete kutoka Pwani akiitwa handsome boy. Akafuatia Magufuli kutoka Bara. Kisha akaja Samia Suluhu Hassan (mwanamke). Je, utabiri huu utafika mwisho kwa Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani? Time Will tell.

Mwaka juzi 2021 Askofu na Nabii Ndlovu wa Zimbabwe alitabiri kuwa ameoneshwa katika njozi kuwa mwaka 2022 kuna ndege itaanguka katika moja ya nchi za Afrika Mashariki. Na itaanguka ndani ya maji. Akasema ndege hiyo ikiua watu, basi chama kinachotawala kitaondoka madarakani lakini kwa kumwaga damu. Isipoua kitaondoka kwa Amani. Hapo maana yake ni kwamba ndege lazima ianguke. Alitumia maneno, "rulling system must quit". Alipuuzwa na spinning doctors". Mwaka Jana ndege ya Precision Air ikaanguka Ziwa Victoria na kuua watu 19. Je, unabii huu wa Ndlovu utafika mwisho na hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan kukabidhi nchi kwa upinzani?

Sasa tujenge hoja kwa uhuru wa kutoa maoni chini ya Ibara ya 18 ya Katiba.

Kinachoonekana ni Rais Samia Suluhu Hassan kurejesha demokrasia iliyokuwa imebinywa na mtangulizi wake JPM. Lakini ukweli ni kwamba ameenda mbali zaidi si tu kurejesha uhuru wa demokrasia lakini ameingia hata ndani ya vyama hivyo (Chadema) na kuwaimarisha kisiasa (rejea kauli ya JK hapo juu). Samia anakijenga Chadema hasa. Mwaka 2025 chama hiki kitavuna wabunge wengi sana sawa na hata nusu.

MUHIMU SANA: Katiba Mpya haitopatikana kabla ya 2025 kwa maana kwamba mtu yeyote asitegemee Uchaguzi 2025 utafanyika kwa Katiba Mpya, sahau maana inaweza kukiletea CCM shida kikaamua kumuondoa. Hivyo, msala huo atahakikisha 2026&7 Katiba Mpya inapatikana tayari upinzani ukiwa na nguvu kubwa. Hapo ndipo mpera-mpera wa Upinzani kuelekea 2030 utashika kasi naye hatowafanya kitu maana hatokuwa na cha kupoteza tena. Ifikapo 2030 upinzani utaweza kushinda lakini CCM itakubali kuachia Ikulu? Hapo ndipo ilipo unabii wa Nabii Ndlovu. Upinzani wakifanikisha hilo basi Serikali 3 haitokwepeka. CCM ikikataa kuondoka' Ikulu basi baada ya damu tutasuluhishwa na Jamii za Kimataifa ikiwezeka hata kugawana mkate. Mbowe analijua hili vizuri sana katika maongezi ya maridhiano. Lissu anaposema, "nasikia Kuna kugawana mkate" mueleweni.

Na ikumbukwe waliovujisha mkataba wa DP World ndio hao hao walio nyuma ya dili hili. Ndio walioshauri William Lukuvi na Abdalah Bulembo (maadui) wa Samia kisiasa kusogezwa Ikulu kufanikisha ajenda hii.

My Take: CCM kuweni makini mno na mahaba ya Samia kwa Upinzani kama bado mnataka kuitawala nchi hii. Mbowe si mjinga hata kidogo. Wajerumani, Wamarekani na EU are very smart in the deal. Kuweni macho kabla utabiri wa Nyerere nao kutimia, "Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM". Hayo ndiyo yangu kwa Leo. Mkiona Kuna hoja chukueni mkiona ni upuuzi mnipuuze na kunitemea mate. Kwaherini!
Mkuu kama ni unabii tu;-

Nabii Boniface victor anatabiri ccm itaendelea kutawala daima,na Rais anaefuata baada ya samiah ni Gwajima josephati sasa sijui tushike lipi!!!

Mi nadhani tuendelee kufanya kazi KWA bidii huku tukiomba amani iendelee kutawala nchini!!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yangu niipendayo SANA!!
 
Kuweni macho kabla utabiri wa Nyerere nao kutimia, "Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM".
Hapa unaweza kuwa umeshika penyewe, lakini picha bado ni mbovu sana, haionyeshi ni akina nani huko CCM wanaoweza kutimiza ubashiri huu.
Laiti pangekuwepo na watu wawili au watatu hivi wenye ushawishi wa kutosha kwa wananchi, hili ndilo jambo watu wangetegemea litokee.
Akina nani, Majaliwa, Lukuvi, Kalamaganda, Polepopo, Nchimb, Mtaka, Kalemani, n.k.i?
Wataanzia wapi na lini?Mbona muda unapita haraka sana?
 
Back
Top Bottom