King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Hahaha hahahaha hahahaha hahahaha we amka weekend hii unasinziaje mapema hivi? Ona sasa ndoto unazoota!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yaliyoleta majuto kwenye jamii nyingi yalianza kiutaniutani.Hahaha hahahaha hahahaha hahahaha we amka weekend hii unasinziaje mapema hivi? Ona sasa ndoto unazoota!!
Babu CCM bado ipo Sana labda miaka miatatu huko ndo ndoto zako zaweza timia.Mambo yaliyoleta majuto kwenye jamii nyingi yalianza kiutaniutani.
Kwahiyo watanzania wataendelea kuwa wapumbavu kwa karne 3 zijazo? Ndio unamaanisha?Babu CCM bado ipo Sana labda miaka miatatu huko ndo ndoto zako zaweza timia.
Kuna tofauti ndogo sana kati ya ccm na chama cha kikomunisti cha China.Menemene tekel na persin .
Nyerere alitabiri chama kisikilize watu wanasemaje ? Na chama kisiposikiliza anguko ni dhahiri !
Mwenye video na aitupie ya nyerere.
Utabiri wa JKN umetimia bado wa Lema.
Kwaheri ya kuonana chama cha mwaka 77.
Sio wapumbavu bali wanaimani kubwa na CCM make ni chama kinachowaletea Maendeleo Kwa Kasi.Kwahiyo watanzania wataendelea kuwa wapumbavu kwa karne 3 zijazo? Ndio unamaanisha?
Ni muda wa moderators wa Bloomberg kula hela maana kila ovu la wale wauza maji chumvi yetu wakitajwa hovyo BLOOMBERG Wanafuta nyuzi.
Itakuwa washapitishiwa mtonyo.Ni muda wa moderators wa Bloomberg kula hela maana kila ovu la wale wauza maji chumvi yetu wakitajwa hovyo BLOOMBERG Wanafuta nyuzi.
China ni super power ya dunia hivyo cppp iko at least secured hii ccm ni super power ya wapi? Maana majiji yote ya TANZANIA wameikataa ndio maana inahamia Dodoma KWA wagogo .Kuna tofauti ndogo sana kati ya ccm na chama cha kikomunisti cha China.
Kama ni rahisi kwa CPPP kuacha uongozi wa China basi ni rahisi CCM kuanguka Tanzania.
Sio mbaya kuota. Ni haki yakoChina ni super power ya dunia hivyo cppp iko at least secured hii ccm ni super power ya wapi? Maana majiji yote ya TANZANIA wameikataa ndio maana inahamia Dodoma KWA wagogo .
Ha ha ha haaaaa. Ramli chonganishiNi muda wa moderators wa Bloomberg kula hela maana kila ovu la wale wauza maji chumvi yetu wakitajwa hovyo BLOOMBERG Wanafuta nyuzi.
Ha ha ha ha haaaaa. Tekeli tekeli na PeresiMenemene tekel na persin .
Nyerere alitabiri chama kisikilize watu wanasemaje ? Na chama kisiposikiliza anguko ni dhahiri !
Mwenye video na aitupie ya nyerere.
Utabiri wa JKN umetimia bado wa Lema.
Kwaheri ya kuonana chama cha mwaka 77.
Utabiri ukibaki ulivyo Katika mfumo wa Sirikali 3 unakuwa na sura Gani ?Mkuu kama ni unabii tu;-
Nabii Boniface victor anatabiri ccm itaendelea kutawala daima,na Rais anaefuata baada ya samiah ni Gwajima josephati sasa sijui tushike lipi!!!
Mi nadhani tuendelee kufanya kazi KWA bidii huku tukiomba amani iendelee kutawala nchini!!
Mungu IBARIKI Tanzania nchi yangu niipendayo SANA!!