Kwa tabiri hizi, CCM tukiendelea kumchekea Rais Samia soon tutageuka kuwa wapinzani!

Kwa tabiri hizi, CCM tukiendelea kumchekea Rais Samia soon tutageuka kuwa wapinzani!

CCM kama wanayaona haya, inabidi wahuishe jina maana limeisha mda wake.
 
Menemene tekel na persin .
Nyerere alitabiri chama kisikilize watu wanasemaje ? Na chama kisiposikiliza anguko ni dhahiri !
Mwenye video na aitupie ya nyerere.
Utabiri wa JKN umetimia bado wa Lema.
Kwaheri ya kuonana chama cha mwaka 77.
Kuna tofauti ndogo sana kati ya ccm na chama cha kikomunisti cha China.

Kama ni rahisi kwa CPPP kuacha uongozi wa China basi ni rahisi CCM kuanguka Tanzania.
 
🙂 🙂 🙂 🙂 CCM bado ipo, akili za watanzania hazijafikia hatua ya kuondoa CCM madarakani miaka 100 ijayo, Watanzania bado wana akili za Simba na Yanga
 
Kuna tofauti ndogo sana kati ya ccm na chama cha kikomunisti cha China.

Kama ni rahisi kwa CPPP kuacha uongozi wa China basi ni rahisi CCM kuanguka Tanzania.
China ni super power ya dunia hivyo cppp iko at least secured hii ccm ni super power ya wapi? Maana majiji yote ya TANZANIA wameikataa ndio maana inahamia Dodoma KWA wagogo .
 
China ni super power ya dunia hivyo cppp iko at least secured hii ccm ni super power ya wapi? Maana majiji yote ya TANZANIA wameikataa ndio maana inahamia Dodoma KWA wagogo .
Sio mbaya kuota. Ni haki yako
 
Moi alidhani KANU itatawala miaka Mia, akaanza kuua maaskofu waliokua wanampinga, mawaziri kina Dr Ouko, kusweka watu ndani kwa charge za michongo na kuwatesa , kuweka watu ndani bila kuwapeleka mahakamani, kilichotokea kila mtu anakijua.
Lungu Zambia sitamzungumzia maana Ni juzi tu na sote twajua kilichotokea.
CCM yenye Hasira kinamna gani Ina mbinu mpya?
 
Menemene tekel na persin .
Nyerere alitabiri chama kisikilize watu wanasemaje ? Na chama kisiposikiliza anguko ni dhahiri !
Mwenye video na aitupie ya nyerere.
Utabiri wa JKN umetimia bado wa Lema.
Kwaheri ya kuonana chama cha mwaka 77.
Ha ha ha ha haaaaa. Tekeli tekeli na Peresi
 
Mkuu kama ni unabii tu;-

Nabii Boniface victor anatabiri ccm itaendelea kutawala daima,na Rais anaefuata baada ya samiah ni Gwajima josephati sasa sijui tushike lipi!!!

Mi nadhani tuendelee kufanya kazi KWA bidii huku tukiomba amani iendelee kutawala nchini!!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yangu niipendayo SANA!!
Utabiri ukibaki ulivyo Katika mfumo wa Sirikali 3 unakuwa na sura Gani ?
 
Namkubali sana Nabii Dr Ian Ndlovu PHD. Miezi 11 iliyopita alitoa utabiri kwamba wakristo wote wamuombee Lady Presidents of East Africa country.

Kwani mungu alimuonesha anatembea kwenye sakafu halafu anateleza mara 2. Baada ya kumuuliza mungu akamwambia huko kuteleza ni 2 foolish decision ambazo atazitenda na zitapeleke upinzani mkubwa ndani ya circle yake na nje ya her circle yaani ndani ya ccm na nje ya ccm. Lakini pia aliendelea akasema itafika kipindi hata weza kutegemea wasaidizi wake kwani ndio watakaokuwa wanamuingiza chaka. Fuatilia hii video hapo chini kutoka divine Kingdom ministries

View: https://youtu.be/fgFjN5MzQVE

Ila alisema mamlaka ya uongozi hutika kwa mungu baba hivyo mungu mwenyewe alimpa uongozi SSH na inatakiwa tumuombee apate hekima ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Ila washauri na machawa wamemzunguka sana na wana influence decisions ambazo zingine si nzuri.
 
Namkubali sana Nabii Dr Ian Ndlovu PHD. Miezi 11 iliyopita alitoa utabiri kwamba wakristo wote wamuombee Lady Presidents of East Africa country.

Kwani mungu alimuonesha anatembea kwenye sakafu halafu anateleza mara 2. Baada ya kumuuliza mungu akamwambia huko kuteleza ni 2 foolish decision ambazo atazitenda na zitapeleke upinzani mkubwa ndani ya circle yake na nje ya her circle yaani ndani ya ccm na nje ya ccm. Lakini pia aliendelea akasema itafika kipindi hata weza kutegemea wasaidizi wake kwani ndio watakaokuwa wanamuingiza chaka. Fuatilia hii video hapo chini kutoka divine Kingdom ministries

View: https://youtu.be/fgFjN5MzQVE

Ila alisema mamlaka ya uongozi hutika kwa mungu baba hivyo mungu mwenyewe alimpa uongozi SSH na inatakiwa tumuombee apate hekima ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Ila washauri na machawa wamemzunguka sana na wana influence decisions ambazo zingine si nzuri.
 
Namkubali sana Nabii Dr Ian Ndlovu PHD. Miezi 11 iliyopita alitoa utabiri kwamba wakristo wote wamuombee Lady Presidents of East Africa country.

Kwani mungu alimuonesha anatembea kwenye sakafu halafu anateleza mara 2. Baada ya kumuuliza mungu akamwambia huko kuteleza ni 2 foolish decision ambazo atazitenda na zitapeleke upinzani mkubwa ndani ya circle yake na nje ya her circle yaani ndani ya ccm na nje ya ccm. Lakini pia aliendelea akasema itafika kipindi hata weza kutegemea wasaidizi wake kwani ndio watakaokuwa wanamuingiza chaka. Fuatilia hii video hapo chini kutoka divine Kingdom ministries

View: https://youtu.be/fgFjN5MzQVE

Ila alisema mamlaka ya uongozi hutika kwa mungu baba hivyo mungu mwenyewe alimpa uongozi SSH na inatakiwa tumuombee apate hekima ya kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Ila washauri na machawa wamemzunguka sana na wana influence decisions ambazo zingine si nzuri.
 
Back
Top Bottom