Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
 
Inawezekana na wewe ni mmojawapo hukumuelewa mwalimu. kwa nini mnaogopa sheria? Kama hana hatia si ataachiwa? Mnahangaika na nini sasa? Kweli safari ya mwendazake imeumiza wengi. kunywa maji utulie ujipange upya ndo hivo yameshatokea.
 
Wewe ni mfuasi na shabiki wake siyo?

Kama ndivyo, basi hapo naweza kukuelewa kwa sababu siku zote inzi (flies) hufuata kinyesi au kwenye harufu ya mzoga ulio - oz0!
 
Back
Top Bottom