Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Tusubiri tuone itakavyokuwa. But usitegemee yote yanayoongelewa kuhusu yeye ni ya uongo.
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe

Uwezo wa kijana huyu unasababishwa na nguvu kubwa ya ushawishi kujenga hoja aliyojaliwa nayo yaani katika kuangalia Clip zako zoote usilogwe kumuangalia Sabaya ukiwa umeweka Mb chache kwenye simu yako hauchoki kumsikiliza anajenga hoja ana sauti ya Amri na ya kimamlaka ana utulivu wa hali ya juu kijana huyu mdogo ana kariba ya uongozi ambapo si kila mtu anaweza kuwa nayo

Watu wengi watenda mema walizushiwa toka enzi za kina YESU KRISTO maaana mafarisayo na masadukayo yaliyozoea vya dhulma yaliuchukia ukweli yalipoambiwa Na bwana Yesu kuwa mpeni kaisari vilivyo vyake kaisari na mpeni Mungu vilivyo vyake Mungu yalichukia sana yakamshitakia Yesu kwa Ufalme wa Pontio pilato kwa maneno yenye uzushi na uongo lakini hata pilato alipoona kuwa bwana Yesu hana kosa lolote aliwakwepa Mafarisayo na Masadukayo kwa kuwaaambia mtu huyu anatoka kwenye ufalme wa Herod hata hivyo mafarisayo na Masadukayo na walimu wa dini wanafiki walishinikiza bwana Yesu alisulubiwe

Mafarisayo na Masadukayo hayajaisha yapo na yanaendelea kuwepo yamejaa dhulma uonevu na ukatili wa kiwango cha hali ya juu watenda wema huwa wanahangaika sana kwenye Falme za Mafarisayo na Masadukayo

Sabaya ni kijana ambaye anaonekana si tu tishio lkn pia ni kiini cha anguko la Wafalme wahalifu makatili na waongo waliojivika ngozi za ukombozi huku mioyo yao ikiwa imejawa na matendo maovu ambayo hata shetani Malaika Michael aliyetupwa Mbinguni kwa ajili ya uasi hawezi kuyafanya


ITOSHE KUSEMA KUWA WANADAMU WAONDOE KWANZA MABANZI NDANI YA MACHO YAO KABLA YA KUWAAMBIA WENZAO WAONDOE VIBANZI NDANI YA JICHO LAO

Nyota ya sabaya haitazimwa kamwe na Waongo wazushi wenye mioyo ya kifarisayo na kisadukayo hata pilato na Herode wangeamua vipi
unaweza kuwa mfanyakazi mzuri sana kazini. ukapata tuzo mbali mbali.
lakin sasa kama huna tabia njema ni bure.

hakuna bosi anamtetea mfanyakazi mwenye tabia mbovu kisa anafanya kazi nzuri
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
mlinzi wake naona umekuja kutetea kwa speed ya 4G.
 
Sabaya yuko Mikononi mwa Dola..wewe kama ni mfuasi wake tulia sindano iingie..Unyama mliofanyia watu ni mkubwa na sio yeye tu mmeumiza sana watu nyie .
 
Mngetumia vyema hivyo vijisenti alivyowapa, huwenda asiweze kuendelea kuwapa hivyo visent tena.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Kuanzia leo nitakuwa nikiuhusisha uhuni, uhujumu , uhalifu dhidi ya ubinadamu na jinai zote za Sabaya na watetezi wa Sabaya. Wanasheria kaeni standby kwa hili
 
Nadhani wewe ndiyo mjinga zaidi kuliko hata wao. Unayajua maovu ya huyo jangili? Kabla ya kuwa DC hakuwai kufikishwa mahakamani kwa utapeli?
Ww ndio kilaza mkubwa kabisa!!?
ww hujiulizi toka amedakwa mpaka leo hajafikishwa court...
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Na wewe kama unampenda sana Ole Sabaya nenda kaolewe naye. Siyo kutupigia kelele humu kila wakati. Mchukue ukaishi naye.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Jumapili nilikua PCCB Upanga kwenye selo yao nimemuona huyo Jambazi Sabaya yuko kwenye nondo anaongea na ndugu yake amemletea chakula kwenye mfuko amekua mdogo kama kuku.

Inshort huyu nguruwe hachomoi.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.

Bwana Corticopontine na binamu zako, kwa hakika mlikuwa sahihi kabisa:

"Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana."

😁😁

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom