Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Una interest naye ndiyo maana unamtetea. Jamaa ni mouvu kuliko wala usilete blah blah za Vasco Da Gama. Mwache avune alichokipanda.

Sent from my N20 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kipindi cha siku tatu sasa, Naona nyuzi nyingi zikim "hiyena hiyena" huyu sabaya.

Miandiko inafanana.
 
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu,leo hii yupo katika mikono ya siasa chafu,no one cares lakin ukweli kabisa Sabaya ali invest muda wake kuwatumikia watu hasa wanyonge...Baada ya Magufuli kufa,akaja CAG na taarifa za kumchafua kuwa Magufuli alikuwa fisadi,walipoona watanzania wamekuwa wakali sasa wanaangamiza Mbegu aliyopanda Magufuli kwa vijana na taifa,wanatutisha kuwa ukiwa mzalendo utaishia kuitwa mlawiti,dikteta,fisadi nk...

Najikuta naumia,kama hayo mapesa acha wapige lakin plz em semeni jambo juu ya Sabaya,tusipokuwa makini he will end up jela,hata babu seya ilikuwa utani utani,ghafla tukaona kweli kafungwa maisha kwa kesi ya kutengeneza tu kisa Jakaya aligombania demu pisi kali na Babu seya,akamtengenezea mazingira ya hatari kweli babu seya akafungwa,kama sio Sauti zenu watanzania katika uchaguzi mkuu 2015,pengine angesahaulika,asante kwa Magufuli..

Leo,mazingira ya Kesi ni yaleyale ya ubakaji sijui ulawiti,hii yote ni defamation tu,kumshusha katika medani za siasa na kumchafua,kama Sabaya anatuhumiwa kwa ukatili huo,Jakaya mnamuogopa nn kumshtaki kwa kumuuwa Mwangosi tena kwa kupigwa bomu hadharani? Kama Sabaya mnasema amelawiti wanawake? Aje kwa Jakaya ambaye aliteua mpaka ma hawara na michepiko yake kuwa ma DC?? Hamkuona? Unafiki ni dhambi mbaya! Kama Sabaya alitumia ofisi vibaya,vipi Jakaya ambaye miaka 10 ya urais zaidi ya nusu ya utawala wake ametumia akizurula nje?

Kama Sabaya mbaya,Jakaya vipi aliyetoa madini kwa Bush yeye akachukua Chandarua? Kwann iwe hivi kwa Sabaya?? Kisa tu ya kumshusha kisiasa? Level ya Sabaya ya utumushi huwezi linganisha na Ridhiwani,Makamba au Nape? Pamoja na haya yote itisheni uchaguzi aibu itawashika,hakuna ubaya aliofanya Sabaya ifike mahala mtoto mdogo mnamuhukumu kikatili ivo...

Lastly,najua Sabaya na vijana wengine wanaweza wakawa na kesho na ndoto kubwa zaidi,wabaya wanataka kuharibu kesho yake sasa wawe easy....
Karibu Arusha usikie ujambazi anaofanya Sabaya ,tembelea Hotel zote kubwa za jijini hapa uone "kijana" wako alivyo acha maumivu ya kutumia bila kulipa
Mwishowe ukimuona mwanamuziki Nandy muulize siku aliyolala hoteli moja Hai kijana wako alivyo taka kumfanyia bila mafanikio
Rejea magazeti ya Raia Mwema kupata habari kamili
 
Kwa kipindi cha siku tatu sasa, Naona nyuzi nyingi zikim "hiyena hiyena" huyu sabaya.

Miandiko inafanana.
 
Ni zamu ya Sabaya kwenda kulawitiwa kama alivyowalawiti wenzake
 
Acheni uchunguzi ufanywe na ukimalizika ,hapo ndipo ukweli utakapodhihirika. Wananchi tuwe na subira!
 
Ukiitafuta heshima kwa bei ya juu, utaambulia dharau kwa bei nafuu.

Aliyechaguliwa kwa nguvu ya umma dhidi ya aliyeteuliwa kwa utashi wa mamlaka ya mteuzi ni watu wawili tofauti, hawana hadhi sawa kiushawishi.
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe

Uwezo wa kijana huyu unasababishwa na nguvu kubwa ya ushawishi kujenga hoja aliyojaliwa nayo yaani katika kuangalia Clip zako zoote usilogwe kumuangalia Sabaya ukiwa umeweka Mb chache kwenye simu yako hauchoki kumsikiliza anajenga hoja ana sauti ya Amri na ya kimamlaka ana utulivu wa hali ya juu kijana huyu mdogo ana kariba ya uongozi ambapo si kila mtu anaweza kuwa nayo

Watu wengi watenda mema walizushiwa toka enzi za kina YESU KRISTO maaana mafarisayo na masadukayo yaliyozoea vya dhulma yaliuchukia ukweli yalipoambiwa Na bwana Yesu kuwa mpeni kaisari vilivyo vyake kaisari na mpeni Mungu vilivyo vyake Mungu yalichukia sana yakamshitakia Yesu kwa Ufalme wa Pontio pilato kwa maneno yenye uzushi na uongo lakini hata pilato alipoona kuwa bwana Yesu hana kosa lolote aliwakwepa Mafarisayo na Masadukayo kwa kuwaaambia mtu huyu anatoka kwenye ufalme wa Herod hata hivyo mafarisayo na Masadukayo na walimu wa dini wanafiki walishinikiza bwana Yesu alisulubiwe

Mafarisayo na Masadukayo hayajaisha yapo na yanaendelea kuwepo yamejaa dhulma uonevu na ukatili wa kiwango cha hali ya juu watenda wema huwa wanahangaika sana kwenye Falme za Mafarisayo na Masadukayo

Sabaya ni kijana ambaye anaonekana si tu tishio lkn pia ni kiini cha anguko la Wafalme wahalifu makatili na waongo waliojivika ngozi za ukombozi huku mioyo yao ikiwa imejawa na matendo maovu ambayo hata shetani Malaika Michael aliyetupwa Mbinguni kwa ajili ya uasi hawezi kuyafanya


ITOSHE KUSEMA KUWA WANADAMU WAONDOE KWANZA MABANZI NDANI YA MACHO YAO KABLA YA KUWAAMBIA WENZAO WAONDOE VIBANZI NDANI YA JICHO LAO

Nyota ya sabaya haitazimwa kamwe na Waongo wazushi wenye mioyo ya kifarisayo na kisadukayo hata pilato na Herode wangeamua vipi
Wewe ni Sabaya au amekutuma? Je ukiambiwa kuwa Sabaya ni tope na mashonde utasemaje? Go tell it to the birds and boobs.
 
unaweza ukafikir mtu hayupo sawa kumbe c kweli ....

mambo yenu nawaachia wenyeweee....🙌
 
Hio nyota yake isubirie mwendazake afufuke ndo itang'aaa
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe

Uwezo wa kijana huyu unasababishwa na nguvu kubwa ya ushawishi kujenga hoja aliyojaliwa nayo yaani katika kuangalia Clip zako zoote usilogwe kumuangalia Sabaya ukiwa umeweka Mb chache kwenye simu yako hauchoki kumsikiliza anajenga hoja ana sauti ya Amri na ya kimamlaka ana utulivu wa hali ya juu kijana huyu mdogo ana kariba ya uongozi ambapo si kila mtu anaweza kuwa nayo

Watu wengi watenda mema walizushiwa toka enzi za kina YESU KRISTO maaana mafarisayo na masadukayo yaliyozoea vya dhulma yaliuchukia ukweli yalipoambiwa Na bwana Yesu kuwa mpeni kaisari vilivyo vyake kaisari na mpeni Mungu vilivyo vyake Mungu yalichukia sana yakamshitakia Yesu kwa Ufalme wa Pontio pilato kwa maneno yenye uzushi na uongo lakini hata pilato alipoona kuwa bwana Yesu hana kosa lolote aliwakwepa Mafarisayo na Masadukayo kwa kuwaaambia mtu huyu anatoka kwenye ufalme wa Herod hata hivyo mafarisayo na Masadukayo na walimu wa dini wanafiki walishinikiza bwana Yesu alisulubiwe

Mafarisayo na Masadukayo hayajaisha yapo na yanaendelea kuwepo yamejaa dhulma uonevu na ukatili wa kiwango cha hali ya juu watenda wema huwa wanahangaika sana kwenye Falme za Mafarisayo na Masadukayo

Sabaya ni kijana ambaye anaonekana si tu tishio lkn pia ni kiini cha anguko la Wafalme wahalifu makatili na waongo waliojivika ngozi za ukombozi huku mioyo yao ikiwa imejawa na matendo maovu ambayo hata shetani Malaika Michael aliyetupwa Mbinguni kwa ajili ya uasi hawezi kuyafanya


ITOSHE KUSEMA KUWA WANADAMU WAONDOE KWANZA MABANZI NDANI YA MACHO YAO KABLA YA KUWAAMBIA WENZAO WAONDOE VIBANZI NDANI YA JICHO LAO

Nyota ya sabaya haitazimwa kamwe na Waongo wazushi wenye mioyo ya kifarisayo na kisadukayo hata pilato na Herode wangeamua vipi
Onyelile sana ..pingu
 
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu,leo hii yupo katika mikono ya siasa chafu,no one cares lakin ukweli kabisa Sabaya ali invest muda wake kuwatumikia watu hasa wanyonge...Baada ya Magufuli kufa,akaja CAG na taarifa za kumchafua kuwa Magufuli alikuwa fisadi,walipoona watanzania wamekuwa wakali sasa wanaangamiza Mbegu aliyopanda Magufuli kwa vijana na taifa,wanatutisha kuwa ukiwa mzalendo utaishia kuitwa mlawiti,dikteta,fisadi nk...

Najikuta naumia,kama hayo mapesa acha wapige lakin plz em semeni jambo juu ya Sabaya,tusipokuwa makini he will end up jela,hata babu seya ilikuwa utani utani,ghafla tukaona kweli kafungwa maisha kwa kesi ya kutengeneza tu kisa Jakaya aligombania demu pisi kali na Babu seya,akamtengenezea mazingira ya hatari kweli babu seya akafungwa,kama sio Sauti zenu watanzania katika uchaguzi mkuu 2015,pengine angesahaulika,asante kwa Magufuli..

Leo,mazingira ya Kesi ni yaleyale ya ubakaji sijui ulawiti,hii yote ni defamation tu,kumshusha katika medani za siasa na kumchafua,kama Sabaya anatuhumiwa kwa ukatili huo,Jakaya mnamuogopa nn kumshtaki kwa kumuuwa Mwangosi tena kwa kupigwa bomu hadharani? Kama Sabaya mnasema amelawiti wanawake? Aje kwa Jakaya ambaye aliteua mpaka ma hawara na michepiko yake kuwa ma DC?? Hamkuona? Unafiki ni dhambi mbaya! Kama Sabaya alitumia ofisi vibaya,vipi Jakaya ambaye miaka 10 ya urais zaidi ya nusu ya utawala wake ametumia akizurula nje?

Kama Sabaya mbaya,Jakaya vipi aliyetoa madini kwa Bush yeye akachukua Chandarua? Kwann iwe hivi kwa Sabaya?? Kisa tu ya kumshusha kisiasa? Level ya Sabaya ya utumushi huwezi linganisha na Ridhiwani,Makamba au Nape? Pamoja na haya yote itisheni uchaguzi aibu itawashika,hakuna ubaya aliofanya Sabaya ifike mahala mtoto mdogo mnamuhukumu kikatili ivo...

Lastly,najua Sabaya na vijana wengine wanaweza wakawa na kesho na ndoto kubwa zaidi,wabaya wanataka kuharibu kesho yake sasa wawe easy....
Upumbavu kipaji Kisongo on the way...
 
Lijambazi sana ,na bado mungu sio mwanadam,wengine mda wao unakaribia dunia sio yetu tenda yaliyo mema
Well said. Our eyes were opened, and they'll keep open forever. Thanks for brave people like you who are willing to stand for truth even if it isn't politically correct and unpalatable to some.
 
Sijui na sijaelewa ni kwanini umehusisha Rais mstaafu na rafiki yako Sabaya!

All in all, andiko lako halina mashiko ya kumsafisha Sabaya. Huna evidence hata moja kwamba hakufanya anachotuhumiwa. Subiri mpaka TAKUKURU wamalize kumhoji ili tusujue kama ana kesi ya kujibu ama la.
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu,leo hii yupo katika mikono ya siasa chafu,no one cares lakin ukweli kabisa Sabaya ali invest muda wake kuwatumikia watu hasa wanyonge...Baada ya Magufuli kufa,akaja CAG na taarifa za kumchafua kuwa Magufuli alikuwa fisadi,walipoona watanzania wamekuwa wakali sasa wanaangamiza Mbegu aliyopanda Magufuli kwa vijana na taifa,wanatutisha kuwa ukiwa mzalendo utaishia kuitwa mlawiti,dikteta,fisadi nk...

Najikuta naumia,kama hayo mapesa acha wapige lakin plz em semeni jambo juu ya Sabaya,tusipokuwa makini he will end up jela,hata babu seya ilikuwa utani utani,ghafla tukaona kweli kafungwa maisha kwa kesi ya kutengeneza tu kisa Jakaya aligombania demu pisi kali na Babu seya,akamtengenezea mazingira ya hatari kweli babu seya akafungwa,kama sio Sauti zenu watanzania katika uchaguzi mkuu 2015,pengine angesahaulika,asante kwa Magufuli..

Leo,mazingira ya Kesi ni yaleyale ya ubakaji sijui ulawiti,hii yote ni defamation tu,kumshusha katika medani za siasa na kumchafua,kama Sabaya anatuhumiwa kwa ukatili huo,Jakaya mnamuogopa nn kumshtaki kwa kumuuwa Mwangosi tena kwa kupigwa bomu hadharani? Kama Sabaya mnasema amelawiti wanawake? Aje kwa Jakaya ambaye aliteua mpaka ma hawara na michepiko yake kuwa ma DC?? Hamkuona? Unafiki ni dhambi mbaya! Kama Sabaya alitumia ofisi vibaya,vipi Jakaya ambaye miaka 10 ya urais zaidi ya nusu ya utawala wake ametumia akizurula nje?

Kama Sabaya mbaya,Jakaya vipi aliyetoa madini kwa Bush yeye akachukua Chandarua? Kwann iwe hivi kwa Sabaya?? Kisa tu ya kumshusha kisiasa? Level ya Sabaya ya utumushi huwezi linganisha na Ridhiwani,Makamba au Nape? Pamoja na haya yote itisheni uchaguzi aibu itawashika,hakuna ubaya aliofanya Sabaya ifike mahala mtoto mdogo mnamuhukumu kikatili ivo...

Lastly,najua Sabaya na vijana wengine wanaweza wakawa na kesho na ndoto kubwa zaidi,wabaya wanataka kuharibu kesho yake sasa wawe easy....
 
Back
Top Bottom