Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa namna Moja ama nyingine nimenufaika na uwepo wa sabaya hasa alipo kuja dar kufanya interview na cloud nimenufaika snaa na kwa kipindi fln nikiwa singida nimenuafikaa pia ..ila jus kati kabla ajatiwa nguvuni jmn nimepata chochotena kipindi chote watu wanatoa hbr zake niliwashangaa Sana kwn alikuepo tu apa dar akila gambe lake kimy kimya ...

Namshukuru Sana kwa kweli kwani nimeweza kulipa Kodi ya nyumba nilikuwaa nadaiwaa..ila bas ngoja tuone anafikishwaa wapi
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya sabaya

yaani hawa watu wanashindwa kuelewaa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi lkn cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa

Kwenye hili suala la Sabaya huyu kijana anaenda kuwwaaibisha wengi sana akiwemo na FARU JOHN
Ungenyamaza ungeonakana una hekima zaidi ya hivi ulivyoandika ila ni mtizamo wa akili yako ilivyo kama ulivyotaja vilaza,yote yamesemwa kuhusu huyu mtu na raisi kamsimamisha,kupisha uchunguzi!Wewe unaanza kutoa majibu ya uchunguzi wako.Tulia,subiri,Watu wafanyie kazi jambo hili.
 
Sabaya alikata mzizi wa fitna hai kwa kukata sikio la mtu🐒🤣🔪👂
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Ni Tanzania pekee yenye mamburura kama wewe
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Bado una nguvu ya kumuongelea huyo? Hujaelewa kitu inaitwa detention under Presidential Orders aisee.

Fanyeni mambo mengine Rais Samia Suluhu sio mcheza sinema kama yule terminator wenu aliwalea sana majangili.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Kwani Walioagiza achunguzwe na waliomkamata ni wapinzani?
Kingine msipende maisha ya kukariri, kila mtu kujifanya ana akili na hivyo anahimiza watu kuangalia nje ya boksi.
Kuangalia nje ya boksi kunawahusu ninyi mnaoishi ndani ya boksi.
Unamhimizaji kiangalia nje ya boksi mtu anayeishi nje ya boksi!!!?
 
Kwa namna Moja ama nyingine nimenufaika na uwepo wa sabaya hasa alipo kuja dar kufanya interview na cloud nimenufaika snaa na kwa kipindi fln nikiwa singida nimenuafikaa pia ..ila jus kati kabla ajatiwa nguvuni jmn nimepata chochotena kipindi chote watu wanatoa hbr zake niliwashangaa Sana kwn alikuepo tu apa dar akila gambe lake kimy kimya ... Namshukuru Sana kwa kweli kwani nimeweza kulipa Kodi ya nyumba nilikuwaa nadaiwaa..ila bas ngoja tuone anafikishwaa wapi
Mlikuwa mnafanya nini mpaka akakufaidisha namna hiyo mpaka akakulioia Kodi😃😃
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Funga domo lako kwanini ujatuhumiwa wewe ila sabaya
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Mpumbavu anapotoa utetezi Akidhani anaokoa kumbe anazidi kuzamisha jahazi.

Sabaya hapo alipo tayari ameaibika vya kutosha, na kwa nchi inayofuata maadili ya kiungozi hata km akiwa huru leo hana tena sifa ya kuwa kiongozi wa watu.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Ndugu yangu, mbona wahangaika sana? Uchunguzi utasema iliyo kweli. Hofu yako inaanzia wapi?
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.

Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.

Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa kuwa Sabaya hajafukuzwa kazi ila amesimamishwa kazi. Lakini cha ajabu watu wanaanza kuharibu uchunguzi kwa kuleta hoja nyepesi na za kipumbavu kabisa.

Kwenye hili suala la Sabaya, huyu kijana anaenda kuwaaibisha wengi sana.
Uko sahihi kabisa kasimamishwa kazi na yuko sero ak lockup kwa tuhuma za rushwa kubwa kubwa na TAKUKURU wanaendelea kumuhoji
Karibu lunch hapa Tripple seven (777) Msasani niko karibu na counter.
 
Back
Top Bottom