Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe...
Hii ndoto itakufanya ukojoe kitandani,Kama Kuna mkubwa umelala nae akuamshe ukakojoe.
 
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu,leo hii yupo katika mikono ya siasa chafu,no one cares lakin ukweli kabisa Sabaya ali invest muda wake kuwatumikia watu hasa wanyonge...Baada ya Magufuli kufa,akaja CAG na taarifa za kumchafua kuwa Magufuli alikuwa fisadi,walipoona watanzania wamekuwa wakali sasa wanaangamiza Mbegu aliyopanda Magufuli kwa vijana na taifa,wanatutisha kuwa ukiwa mzalendo utaishia kuitwa mlawiti,dikteta,fisadi nk...

Najikuta naumia,kama hayo mapesa acha wapige lakin plz em semeni jambo juu ya Sabaya,tusipokuwa makini he will end up jela,hata babu seya ilikuwa utani utani,ghafla tukaona kweli kafungwa maisha kwa kesi ya kutengeneza tu kisa Jakaya aligombania demu pisi kali na Babu seya,akamtengenezea mazingira ya hatari kweli babu seya akafungwa,kama sio Sauti zenu watanzania katika uchaguzi mkuu 2015,pengine angesahaulika,asante kwa Magufuli..

Leo,mazingira ya Kesi ni yaleyale ya ubakaji sijui ulawiti,hii yote ni defamation tu,kumshusha katika medani za siasa na kumchafua,kama Sabaya anatuhumiwa kwa ukatili huo,Jakaya mnamuogopa nn kumshtaki kwa kumuuwa Mwangosi tena kwa kupigwa bomu hadharani? Kama Sabaya mnasema amelawiti wanawake? Aje kwa Jakaya ambaye aliteua mpaka ma hawara na michepiko yake kuwa ma DC?? Hamkuona? Unafiki ni dhambi mbaya! Kama Sabaya alitumia ofisi vibaya,vipi Jakaya ambaye miaka 10 ya urais zaidi ya nusu ya utawala wake ametumia akizurula nje?

Kama Sabaya mbaya,Jakaya vipi aliyetoa madini kwa Bush yeye akachukua Chandarua? Kwann iwe hivi kwa Sabaya?? Kisa tu ya kumshusha kisiasa? Level ya Sabaya ya utumushi huwezi linganisha na Ridhiwani,Makamba au Nape? Pamoja na haya yote itisheni uchaguzi aibu itawashika,hakuna ubaya aliofanya Sabaya ifike mahala mtoto mdogo mnamuhukumu kikatili ivo...

Lastly,najua Sabaya na vijana wengine wanaweza wakawa na kesho na ndoto kubwa zaidi,wabaya wanataka kuharibu kesho yake sasa wawe easy....
 
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu,leo hii yupo katika mikono ya siasa chafu,no one cares lakin ukweli kabisa Sabaya ali invest muda wake kuwatumikia watu hasa wanyonge...Baada ya Magufuli kufa,akaja CAG na taarifa za kumchafua kuwa Magufuli alikuwa fisadi,walipoona watanzania wamekuwa wakali sasa wanaangamiza Mbegu aliyopanda Magufuli kwa vijana na taifa,wanatutisha kuwa ukiwa mzalendo utaishia kuitwa mlawiti,dikteta,fisadi nk...

Najikuta naumia,kama hayo mapesa acha wapige lakin plz em semeni jambo juu ya Sabaya,tusipokuwa makini he will end up jela,hata babu seya ilikuwa utani utani,ghafla tukaona kweli kafungwa maisha kwa kesi ya kutengeneza tu kisa Jakaya aligombania demu pisi kali na Babu seya,akamtengenezea mazingira ya hatari kweli babu seya akafungwa,kama sio Sauti zenu watanzania katika uchaguzi mkuu 2015,pengine angesahaulika,asante kwa Magufuli..

Leo,mazingira ya Kesi ni yaleyale ya ubakaji sijui ulawiti,hii yote ni defamation tu,kumshusha katika medani za siasa na kumchafua,kama Sabaya anatuhumiwa kwa ukatili huo,Jakaya mnamuogopa nn kumshtaki kwa kumuuwa Mwangosi tena kwa kupigwa bomu hadharani? Kama Sabaya mnasema amelawiti wanawake? Aje kwa Jakaya ambaye aliteua mpaka ma hawara na michepiko yake kuwa ma DC?? Hamkuona? Unafiki ni dhambi mbaya! Kama Sabaya alitumia ofisi vibaya,vipi Jakaya ambaye miaka 10 ya urais zaidi ya nusu ya utawala wake ametumia akizurula nje?

Kama Sabaya mbaya,Jakaya vipi aliyetoa madini kwa Bush yeye akachukua Chandarua? Kwann iwe hivi kwa Sabaya?? Kisa tu ya kumshusha kisiasa? Level ya Sabaya ya utumushi huwezi linganisha na Ridhiwani,Makamba au Nape? Pamoja na haya yote itisheni uchaguzi aibu itawashika,hakuna ubaya aliofanya Sabaya ifike mahala mtoto mdogo mnamuhukumu kikatili ivo...

Lastly,najua Sabaya na vijana wengine wanaweza wakawa na kesho na ndoto kubwa zaidi,wabaya wanataka kuharibu kesho yake sasa wawe easy....
 
Natamani sana kuendelea kuzungumzia ishu ya wizi wa mabilioni ya pesa katika wizara ya Fedha,lakin a friend in need is a friend indeed...Sabaya ni kijana mwenzetu,hatufahamiani kwa sura wala chochote,ila kazi zake za utumushi ni kama alikuwa daraja la urafiki baina yetu...
Mkuu
Naona Sabaya amebeba content nzima kinyume na heading.

Kama kuna ushahidi dhidi yake aachwe?

Wacha uchunguzi ukamilike, mengine yatafuata. Hana tuhuma za mauaji ujue
 
Mleta mada kama sio mwehu basi wewe una tabia ya mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga halafu makalio anayaacha wazi.
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe...
Asipofungwa Maisha au Kuhukumiwa Adhabu ya Kunyongwa ( Kifo ) sitoona tena uhalali wa uwepo wa Serikali ya Sita ya Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan na Chama chake Tawala cha CCM.

Baada ya Sabaya wamgeukie Makonda.
 
Well said. Our eyes were opened, and they'll keep open forever. Thanks for brave people like you who are willing to stand for truth even if it isn't politically correct and unpalatable to some.
 
Well said. Our eyes were opened, and they'll keep open forever. Thanks for brave people like you who are willing to stand for truth even if it isn't politically correct and unpalatable to some.
 
Inaelekea una chuki binafsi na JK. Na unadhani amehusika katika hili suala la Ole Sabaya.

Amandla...
 
For a truth, kweli hii taifa letu haina upungufu wa wasiojiweza kufikiria, kuwaza, na wajinga wa ajabu, saa baya kaumiza watu kule hai,kuna hata yule mfanya biashara aliyempa saa baya millioni 10, elieleza hii mbere ya boss wa tra, saa baya kabadikia watu kesi, saa baya kaenda kumuteka diwani, kamukosa akwakata watoto wake masikio, kamwambia diwani ajiunge na ccm, diwani kakataa, saa baya kamubadkia kesi ya umbakaji, na kumutia mimba binti wa shule, binti kasema hajawai lala na mume wingine, ajabu dna itatoa matokea huyu mtoto sio wa huyu diwani , diwani kaachiwa huru, mengi sana, kisha mwehu hapa anakuja kumutetea saa baya, kweli shule za kata hazihai kabisa
 
Back
Top Bottom